Pre GE2025 Rais Samia aagiza mahindi kununuliwa kwa Tsh 700 kwa kilo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mia 700 ndio nini?
 
Very wrong , kama mahindi yapo mengi kuliko watumiaji bei ilitakiwa kushuka sio kuongezeka,

Okay now ni msimu wa mavuno bei 700 kwa kg sasa msimu wa masika ukifika hali itakuwaje?

Mwakani watakao lima mahindi wata_yapeleka wapi? Kama 700 ni bei ya ndani unadhani hii itavutia wanunuzi kutoka nje?
Nani atavutiwa kuja kununua mahindi yetu?

Demand and supply ni kama laws of gravity huwezi kufanya janja janja ukawa Sawa, matokeo ya hii bei tutayaona mwakani mpaka mwaka keshokutwa.

Solution ilikua ni kufungua mipaka watu wauze nje ndani kuwe na equilibrium.
 
Kwanini soko lisiamue bei ya mahindi?
Kwani wakulima wanailimia serikali?
Yaani wakulima walime kwa nguvu zao halafu bei ipangwe kwa huruma za Rais! Huu ni uwendawazimu wa kiwango cha SGR.
 
Wewe hujui taabu wanayopata wakulima, kilo 1 ilitakiwa kuuzwa 1,000

cc Lucas Mwashambwa
 
Naona wivu umekushika baada ya kuona wakulima wanakwenda kufaidika na jasho lao.nakushauri kuwa na wewe nenda ukalime ufaidike
 
Kwanini soko lisiamue bei ya mahindi?
Kwani wakulima wanailimia serikali?
Yaani wakulima walime kwa nguvu zao halafu bei ipangwe kwa huruma za Rais! Huu ni uwendawazimu wa kiwango cha SGR.
Naona huelewi kitu chochote kile.unafahamu wafanyabiashara walikuwa wananunua shilingi ngapi mahindi huku mitaani? Hujuwi kuwa bei hiyo iliyotangazwa na Mheshimiwa Rais imekuwa neema kubwa sana kwa wakulima waliokuwa wameanza kunyonywa na wafanyabishara waliokuwa wananunua kwa bei ndogo?
 
Naona wivu umekushika baada ya kuona wakulima wanakwenda kufaidika na jasho lao.nakushauri kuwa na wewe nenda ukalime ufaidike
Nalima na nafanya biashara ya mazao ,by the way uelewa wako ni finyu kijana.

Siandiki siasa nazungumzia uchumi kuku wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…