Pre GE2025 Rais Samia Aagiza urejeshwaji wa huduma za kijamii Ngorongoro

Pre GE2025 Rais Samia Aagiza urejeshwaji wa huduma za kijamii Ngorongoro

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Inside10

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2011
Posts
29,909
Reaction score
32,414
Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kurejeshwa kwa huduma za kijamii ikiwemo za elimu na afya zilizokuwa zimesitishwa katika Tarafa ya Ngorongoro.

Hayo yamesemwa leo Ijumaa Agosti 23, 2024 na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri (Sera, Bunge na Uratibu), William Lukuvi akizungumza na wananchi wa kata 11 zilizopo Tarafa ya Ngorongoro, akiwasilisha maagizo ya Rais aliyewatuma kuwasilikiza wananchi hao waliokuwa wamekusanyika na kukesha kwa siku 5 wakitaka kujua hatima ya malalamiko yao.

Soma Pia:

Aidha amesema Rais ameagiza uchaguzi katika tarafa hiyo kwa kutumia mipaka ya zamani, ufanyike kama unavyofanyika maeneo mengine nchini.
 
Hii inaweza kuwa mlolongo wa ushahidi wa kesi kwenda The Hague ICC Mahakama ya Kimataifa Uholanzi ambapo Uhuru na Ruto waliponea chupuchupu lakini je makamanda wa polisi wana kinga ya kutoshitakiwa ?

CHAKULA KUTUMIKA KAMA SILAHA YA KIVITA, AZIMIO LA UMOJA WA MATAIFA LAONYA


Jeshi la Polisi Karatu ladaiwa kuzuia chakula na mizigo kuingia Ngorongoro


View: https://m.youtube.com/watch?v=ov3Jd148cQc

Wananchi wa tarafa ya Ngorongoro ambao wanafanya maandamano ya amani katika tarafa hiyo wamesema kuwa Jeshi la Polisi Karatu linazuia magari yenye mizigo na chakula kuingia Ngorongoro.Wananchi hao wamesema kuwa zoezi hilo limewalenga wao waandamani.
 
Hii inaweza kuwa mlolongo wa ushahidi wa kesi kwenda The Hague ICC Mahakama ya Kimataifa Uholanzi ambapo Uhuru na Ruto waliponea chupuchupu lakini je makamanda wa polisi wana kinga ya kutoshitakiwa ?

CHAKULA KAMA SILAHA YA KIVITA


Jeshi la Polisi Karatu ladaiwa kuzuia chakula na mizigo kuingia Ngorongoro​


View: https://m.youtube.com/watch?v=ov3Jd148cQc

Wananchi wa tarafa ya Ngorongoro ambao wanafanya maandamano ya amani katika tarafa hiyo wamesema kuwa Jeshi la Polisi Karatu linazuia magari yenye mizigo na chakula kuingia Ngorongoro.Wananchi hao wamesema kuwa zoezi hilo limewalenga wao waandamani.

Hiki kibibi kina wendawazimu. TISS inafanya nini? Waki-neutralize kama kinaleta za kuleta.
 
Shirika la Mpango wa Chakula Duniani WFP, NA AZIMIO LA KUPINGA MATUMIZI YA CHAKULA KAMA SILAHA YA KIVITA

Kupitia umoja wa mataifa UN baraza la usalama na baraza kuu la UN imepiga marufuku kutumia chakula kama silaha ya kivita.

Tanzania ni mwanachama wa kudumu wa Umoja wa Mataifa na imesaini makubaliano hayo na Azimio la Umoja wa Mataifa ya kutotumia chakula kama silaha ya kivita..

Sasa huko Karatu na Ngorongoro nchi ya Tanzania inakiuka maazimio ya Umoja wa Mataifa, hivyo wadau kama UN, WFP, FAO, EU / UMOJA WA ULAYA, wadau wa maendeleo kama nchi kubwa za Marekani ya Kaskazini, Ulaya zinaweza kuchukua hatua dhidi ya ....

World Food Programme (WFP)
www.wfp.org › stories › un-barre...
The day the UN barred using hunger and starvation as weapons of war

24 May 2022 — The day the UN barred using hunger and starvation as weapons of war · Ukraine: 'Failure to open Black Sea ports....
 
Back
Top Bottom