KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,159
- 5,070
. .kabla ya mambo kuharibika. Hili la kusubiri watu waandamane si busara kwa viongozi. Wakumbuke wanaongoza watu na si mifugo.Hii ni nzuri.
Kiongozi ni kusikilizana na unaowaongoza...!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
. .kabla ya mambo kuharibika. Hili la kusubiri watu waandamane si busara kwa viongozi. Wakumbuke wanaongoza watu na si mifugo.Hii ni nzuri.
Kiongozi ni kusikilizana na unaowaongoza...!!!
Kujirudi sio mbaya, ndio sifa za kiongozi.Hivi kabla ya zoezi kuanza alikuwa halijui au?
Kibiriti cha mmasai kimejaa mlijaribu kukitingisha bilali wahed mafisiem,aisee hii nchi tukinyooka kama wamasai kumbe katiba mpya ni chapRais Samia Suluhu Hassan ameagiza kurejeshwa kwa huduma za kijamii ikiwemo za elimu na afya zilizokuwa zimesitishwa katika Tarafa ya Ngorongoro.
Hayo yamesemwa leo Ijumaa Agosti 23, 2024 na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri (Sera, Bunge na Uratibu), William Lukuvi akizungumza na wananchi wa kata 11 zilizopo Tarafa ya Ngorongoro, akiwasilisha maagizo ya Rais aliyewatuma kuwasilikiza wananchi hao waliokuwa wamekusanyika na kukesha kwa siku 5 wakitaka kujua hatima ya malalamiko yao.
Soma Pia:
- Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe
- Njama: Vituo vyote vya kupigia kura Jimbo la Ngorongoro vimefutwa, ila watu bado wapo na Jimbo bado lipo
Aidha amesema Rais ameagiza uchaguzi katika tarafa hiyo kwa kutumia mipaka ya zamani, ufanyike kama unavyofanyika maeneo mengine nchini.
Chadema ndo walikua wamesitisha hizo uduma? Siasa za vyama mbona zinawafanya watu kua wapumbavuchadema wanataka kumchonganisha mama na wamasai wallah
Hatuna rais, tuna muimba taarab za mipasho tuRais Samia Suluhu Hassan ameagiza kurejeshwa kwa huduma za kijamii ikiwemo za elimu na afya zilizokuwa zimesitishwa katika Tarafa ya Ngorongoro.
Hayo yamesemwa leo Ijumaa Agosti 23, 2024 na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri (Sera, Bunge na Uratibu), William Lukuvi akizungumza na wananchi wa kata 11 zilizopo Tarafa ya Ngorongoro, akiwasilisha maagizo ya Rais aliyewatuma kuwasilikiza wananchi hao waliokuwa wamekusanyika na kukesha kwa siku 5 wakitaka kujua hatima ya malalamiko yao.
Soma Pia:
- Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe
- Njama: Vituo vyote vya kupigia kura Jimbo la Ngorongoro vimefutwa, ila watu bado wapo na Jimbo bado lipo
Aidha amesema Rais ameagiza uchaguzi katika tarafa hiyo kwa kutumia mipaka ya zamani, ufanyike kama unavyofanyika maeneo mengine nchini.
Mmepiga kelele huduma zimerejeshwa shida nini tena, mbona hamridhiki /nyie chadema au mnaona "MTAKOSA JAMBO LA KUPIGA NALO KELELE 😀😀😀😀😀😀MAIGIZO
Gazeti gani hilo?Kichwa cha habari cha gazeti kilipaswa kuwa, wamasai wafanikiwa kumshinda Samia, mama asalimu amri kwa aibu!
Akili za THE BIG SHOWchadema wanataka kumchonganisha mama na wamasai wallah
Mnaona aibu baada ya kushushuliwa na huyo mama yenu anayetukana watu mbwa.TUMEKWISHA MAZIMA TUSIFURAHIE BAADA YA MIAKA 20 HATUNA TENA NGORONGORO, TUMEPUUZWA KWA UPUMBAVU WETU, HASARA ITAKUWA YA TANZANIA BARA KWA SIKU ZA USONI, TUSIFURAHI KWA HILI, TUMEKWISHA, NAKAZIA TUMEKWISHA, ACHA NIENDELE NA KAHAWA YANGU HAPA
-->>lililofanyika kwa issue ya ngorongoro ni mpumbavu mwache na upumbavu wake!
-->Bado nasisitiza masai waondolewe aidha wapunguzwe kwa 3/4.
---Idiot yoyote ni ngumu sana kunielewa - - -
Bora ukae kimya tu bro kuliko kujidhalilisha kwa comments kama hizi. Hata kama wewe ni CCM viongozi wako ni binadamu wakikosea waseme au kaa kimya kuliko kusapoti ujinga ila kama wewe ni chawa sikulaumu.kuna chokochoko wanazipandikiza
Yaani Lukuvi anaakili zaidi ya Waziri........... Aliyeondoa hizo hudumaRais Samia Suluhu Hassan ameagiza kurejeshwa kwa huduma za kijamii ikiwemo za elimu na afya zilizokuwa zimesitishwa katika Tarafa ya Ngorongoro.
Hayo yamesemwa leo Ijumaa Agosti 23, 2024 na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri (Sera, Bunge na Uratibu), William Lukuvi akizungumza na wananchi wa kata 11 zilizopo Tarafa ya Ngorongoro, akiwasilisha maagizo ya Rais aliyewatuma kuwasilikiza wananchi hao waliokuwa wamekusanyika na kukesha kwa siku 5 wakitaka kujua hatima ya malalamiko yao.
Soma Pia:
- Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe
- Njama: Vituo vyote vya kupigia kura Jimbo la Ngorongoro vimefutwa, ila watu bado wapo na Jimbo bado lipo
Aidha amesema Rais ameagiza uchaguzi katika tarafa hiyo kwa kutumia mipaka ya zamani, ufanyike kama unavyofanyika maeneo mengine nchini.
Yaani Lukuvi anaakili zaidi ya Waziri........... Aliyeondoa hizo hudumaRais Samia Suluhu Hassan ameagiza kurejeshwa kwa huduma za kijamii ikiwemo za elimu na afya zilizokuwa zimesitishwa katika Tarafa ya Ngorongoro.
Hayo yamesemwa leo Ijumaa Agosti 23, 2024 na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri (Sera, Bunge na Uratibu), William Lukuvi akizungumza na wananchi wa kata 11 zilizopo Tarafa ya Ngorongoro, akiwasilisha maagizo ya Rais aliyewatuma kuwasilikiza wananchi hao waliokuwa wamekusanyika na kukesha kwa siku 5 wakitaka kujua hatima ya malalamiko yao.
Soma Pia:
- Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe
- Njama: Vituo vyote vya kupigia kura Jimbo la Ngorongoro vimefutwa, ila watu bado wapo na Jimbo bado lipo
Aidha amesema Rais ameagiza uchaguzi katika tarafa hiyo kwa kutumia mipaka ya zamani, ufanyike kama unavyofanyika maeneo mengine nchini.