GWAMAKA USWEGE
JF-Expert Member
- Feb 23, 2023
- 1,398
- 5,198
Kuwafukuza kina Lukuvi kwa mbwembwe, leo hii kayalamba matapishi yake kawarudisha wamsaidie baada ya mambo kumshinda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema ndiyo walizuia huduma za jamii kwa Wamasai?Hivi akili yako imechanganyika na haja kubwa au ndogo?chadema wanataka kumchonganisha mama na wamasai wallah
Sasa ninyi mliokuwa mnasupport maasai kuhama ndio mnaonekana hamnazo!!Aseee Tanganyika!!..
Tayari problem solved na aliye anzisha problems.
kuna chokochoko wanazipandikizaChadema ndiyo walizuia huduma za jamii kwa Wamasai?Hivi akili yako imechanganyika na haja kubwa au ndogo?
Hii ni nzuri.
Kiongozi ni kusikilizana na unaowaongoza...!!!
Tengeneza tatizo halacu jisifu kulitatua. Ccm mna shida sanaRais Samia Suluhu Hassan ameagiza kurejeshwa kwa huduma za kijamii ikiwemo za elimu na afya zilizokuwa zimesitishwa katika Tarafa ya Ngorongoro.
Hayo yamesemwa leo Ijumaa Agosti 23, 2024 na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri (Sera, Bunge na Uratibu), William Lukuvi akizungumza na wananchi wa kata 11 zilizopo Tarafa ya Ngorongoro, akiwasilisha maagizo ya Rais aliyewatuma kuwasilikiza wananchi hao waliokuwa wamekusanyika na kukesha kwa siku 5 wakitaka kujua hatima ya malalamiko yao.
Aidha amesema Rais ameagiza uchaguzi katika tarafa hiyo kwa kutumia mipaka ya zamani, ufanyike kama unavyofanyika maeneo mengine nchini.
Kwa hiyo Rais amekubaliana na hizo chokochoko?kuna chokochoko wanazipandikiza
hatua zinaendelea nduguKwa hiyo Rais amekubaliana na hizo chokochoko?
Hivi kabla ya zoezi kuanza alikuwa halijui au?Safi sana Rais Samia, hili zoezi la Ngorongoro liwe na UTU na UBUNADAMU.
Huyo anayoweza ni haya tuumsikubali, ni kuwaweka sawa baadaye awatimue. Alifikiri nini wakati ana jenga wazo la kuwafurusha? Huyo ni Muongo!