Rais Samia aagiza waliokuwa wanaishi Bonde la Mto Msimbazi kinyume na sheria kulipwa Tsh. Milioni 4 kila mmoja

Kiwanja Dar ni shs ngapi? yeye akipewa 4M anaweza kujenga nyumba ya kuishi na kununu kiwanja Dar? wakati hao wananchi wana nunua na kujenga serikali ya CCM ilikuwa wapi? ni kutafuta sifa za hovyo bila sababu za msingi.
Sawa solution unataka iwe ipi ?
 
Mlisikia wa Jangwani, ndio walipewa viwanja mapwe Pande.


Hawakupewa viwanja watu wote huko mabwepande, naona watu wanapotosha

Waliopewa viwanja ni wale Ambao nyumba zao zilikua zinafikiwa na Maji

Huu mradi wa World Bank unaenda kuchukua eneo lote la mto Msimbazi hata kama nyumba yako ilikua haipati mafuriko kwa fidia/ posho ya aina moja
 
Kiwanja Dar ni shs ngapi? yeye akipewa 4M anaweza kujenga nyumba ya kuishi na kununu kiwanja Dar? wakati hao wananchi wana nunua na kujenga serikali ya CCM ilikuwa wapi? ni kutafuta sifa za hovyo bila sababu za msingi.
LAKINI HIVI ATHARI ANAPATA NANI? MIMI NDIYO NINGEKUWA SERIKALI NAWAACHA TU MI NAENDELEA NASHUGHURI ZANGU WAKIZAMA SHAURI YAO
 

Hao wananchi waje huku Igangabilila kuna plot za kuhesabu miguu, milion 2 unajenga
 
Kama ni hivyo imekaa vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…