Watu wa dasilaaaamu bhana mnajikutaga maninja sana kumbe hamjui hata mikondo ya maji ilivo,,,wasilipwe hata Mia mbovu kwani wao hawaoni mafuriko??Kiwanja Dar ni shs ngapi? yeye akipewa 4M anaweza kujenga nyumba ya kuishi na kununu kiwanja Dar? wakati hao wananchi wana nunua na kujenga serikali ya CCM ilikuwa wapi? ni kutafuta sifa za hovyo bila sababu za msingi.
Hivi wao wakati wanajenga waliona hayo mazingira ni sawa au,,,make mtu asifanye ujinga arushe lawama kwa serikaliWalikuwa wapi kuwapa hiyo kifuta jacho mapema? Kiangazi
Kabisa kabisa !!Tatizo wewe unaiangalia Jangwani ya sasa hivi, unadhani Yanga kuomba eneo wajenge uwanja mkubwa hawana akili?
Watu wakiiangalia Ile Jangwani mate yanawatoka Kwa uchu....such a potential land....hayo mafuriko yanazuilika, ni mipango tu
Including which one ??!😅🙏Tuombe uzima maana walisema dar, Zanzibar na pemba after 50s years kina cha bahari kitapungua hivyo maji yatapanda juu, Wazanzibar wajanja wameshaanza kununua maeneo morogoro! na kuendelea na maisha,ghalaga bhao!, UMUHIMU WA MUUNGANO NI MKUBWA MNO KWA MUSTAKIBALI WA FUTURE!
The president of Kiribati, Anote Tong, is in talks with Fiji's military government to buy up to 5,000 acres of land in order to relocate the 102,697 people that live in his country.
President Tong tells The Telegraph that this is their last resort: "Our people will have to move as the tides have reached our homes and villages."
->>In fact duniani Vipo visiwa 11 hatarini.
Naunga mkono hoja !💯Huyu mama ana moyo wa pekee,hapendi dhuruma,mungu amrehemu,nadhani apewe miaka 10 mingine
hii chai imezidi tangawizi, hebu punguza kidogoKuna kipindi alikuwa anashauriana na RC kiazi Makala,eti wajenge soko la Machinga pale Jangwani![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
yangu macho tu mimi naishi kwangu upepo kwa wingi, labda mafuriko ya Nuhu lakini kwa haya madogo tu hayanipati. Namshukuru Mungu.Tulia dada angu haya mambo huyawezi
Inabidi Serekali ifanye kazi Kwa weledi, ukishalipa fidia ni muhimu sana kuvunja jengo lenyewe na Sio kuacha kama ilivyo sasa ubungo maziwaKifuta jasho au?
Maana mvua ikiisha wataendelea kuishi hapo hapo kama miaka yote
Kwani unauhakika hizo nyumba zilikuwa na hiyo cement!? Nyingine za udongo tuuMfuko wa saruji wenye 42.5 ni tshs 17500 bei ya reja reja.
Sawa mkuuyangu macho tu mimi naishi kwangu upepo kwa wingi, labda mafuriko ya Nuhu lakini kwa haya madogo tu hayanipati. Namshukuru Mungu.
Lineup tayari kupata pesaHuyu mama ana moyo wa pekee,hapendi dhuruma,mungu amrehemu,nadhani apewe miaka 10 mingine
Kwani hiyo 4m ni pamoja na nyumba? Kwa maelezo mbona kama hiyo milioni 4 ni kwa ajili ya kipande cha ardhi tu? Tusipotoshe! Wenye nyumba watapata na hela ya kwenda kujengea bwana!Kiwanja Dar ni shs ngapi? yeye akipewa 4M anaweza kujenga nyumba ya kuishi na kununu kiwanja Dar? wakati hao wananchi wana nunua na kujenga serikali ya CCM ilikuwa wapi? ni kutafuta sifa za hovyo bila sababu za msingi.
We hujaona EATV taarifa ya saa 1 leo? hata uwe na ghorofa ni 4MKwani hiyo 4m ni pamoja na nyumba? Kwa maelezo mbona kama hiyo milioni 4 ni kwa ajili ya kipande cha ardhi tu? Tusipotoshe! Wenye nyumba watapata na hela ya kwenda kujengea bwana!
Mbona wangehama fasta bila kulipwa chochote! Kwani wakati mnajenga hapo mimi nilikuwa madarakani? Nawauliza nilikuwa madarakani?Lineup tayari kupata pesa
View: https://www.instagram.com/p/CztYIWjvScj/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Amewahurumia kama binadamu ila wangekutana na mtu kama Jiwe wangeisoma namba 😂😂
Mbona halo juu ku a jamaa yeye amelipwa jumla milioni 15 yaani 4 kwa ajili ya eneo na 11 kwa ajili ya kibanda alichokuwa nacho?We hujaona EATV taarifa ya saa 1 leo? hata uwe na ghorofa ni 4M
Mtaje ni yupi? ni flat mazeeMbona halo juu ku a jamaa yeye amelipwa jumla milioni 15 yaani 4 kwa ajili ya eneo na 11 kwa ajili ya kibanda alichokuwa nacho?
Usitishe watu wewe! Na mbona wanehama!Wamuulize Yusuf Makamba akiwa mkuu wa mkoa wa Dar essalaam na uzoefu wake kipindi chake kuhamisha hao watu
Ana kitu ambacho hawezi sahau aweza sahau yote lakini sio hao wakazi wa jangwani
Wewe moto wa Jehanamu una kuhusu!Kwanini wasikopeshwe nyumba kwa masharti nafuu? atafutwe Mwekezaji apewe hilo eneo awajengee nyumba nje
Yaani wewe itakuwa unaandika tokea Mars. Vinginevyo mbinguni huendi!Wajengewe nyumba za bei nafuu wakopeshwe kwa muda mrefu hata wa miaka 5-10 au atafutwe mwekezaji achukue hayo maeneo awalipe fidia ya kueleweka wananchi waondoke.
Sasa mtu awe anatoka Mkuranga kuja kufanya kazi Dar!?Hakuna cha kupinga wala kuleta kelele wamepewa hiyo milioni 4 kwa ajili ya ardhi, kisha nyumba inathamininiwa, nimeona mtu hapo kapata milioni 15, ardhi milioni 4 na nyumba milioni 11.
Sio lazima wake dar(mjini) nje ya dar kuna maeneo makubwa tu kwa bei nzuri tu, mkuranga hapo heka milioni 2+ na lina mimea fresh tu.