Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Kheee!
Wezi badala ya kua jela wanalipwa [emoji15]
Kuwaelewa viongozi wa Tanzania kazi sana.
Wezi badala ya kua jela wanalipwa [emoji15]
Kuwaelewa viongozi wa Tanzania kazi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una roho ya ki.she.tani kama mwendazakeHii nchi nzuri sana.
Unaiba halafu unalipwa.
Hongereni kwa kulipa wezi.
Hili jambo lisingekuwa na mwisho mzuri kama lingebaki hivi, Katika kuadhibu tunaadhibiana kwa akili ili kurekebishana sio nguvu tu kwa sababu tunazo na tunaweza kuadhibu.Hii nchi nzuri sana.
Unaiba halafu unalipwa.
Hongereni kwa kulipa wezi.
Haki?!Je ! Ni sahihi kutowalipa ilhali walikatwa pesa zao na walilitumikia taifa kwa haki!??
Duh.Hizo pesa zipo au ni mashairi ya jukwaani tu
Mkuu; Swali lako hapo mwisho kama likizingatiwa kwa mujibu wa maneno yako ni HATARI kweli-kweli. Kama HAKI itazingatiwa basi ni vizuri waanze na waliowaajiri au tuseme wale walioridhika na Documents zao na kuwaingiza kazini. i.e. Waziri/Katibu mkuu/DED e.tc. wote wawajibishwe kwa pamoja wao na walioingia kazini.Ni Mei Mosi ambpo Samia ametoa maagizo haya kuwa walioondolewa kwa vyeti feki enzi za Magufuli walipwe stahiki zao kama mafao ya kustaafu
Je ni sahihi kuwalipa hasa ikizingatiwa walitenda uhalifu kuingia kazini?
Ni haki yao kabisa. Tuache zulma, tuangalie makosa yalikuwa upande gani? Serikali ndiyo iliwaingiza halafu wewe unakuja humu Jf unawatukana. Halafu unakuta huyo huyo ndiye kamnusuru mama yako na wewe ulipozaliewa. Tuambizane ukweli. Hata Mimi lazima wapo walionisaidia mpaka hapa nilipo japo siwajuiNi Mei Mosi ambpo Samia ametoa maagizo haya kuwa walioondolewa kwa vyeti feki enzi za Magufuli walipwe stahiki zao kama mafao ya kustaafu
Je ni sahihi kuwalipa hasa ikizingatiwa walitenda uhalifu kuingia kazini?
Tusitoe adhabu kama mashetani. Tuwe na kipimo cha adhabu. Samia hajakosea kutowarudisha kazini na kuwapa hizo 5% walizokatwa.Kuajiriwa na mamlaka sahihi haiondoi ukweli kwamba walighushi.
WalipweNi Mei Mosi ambpo Samia ametoa maagizo haya kuwa walioondolewa kwa vyeti feki enzi za Magufuli walipwe stahiki zao kama mafao ya kustaafu
Je ni sahihi kuwalipa hasa ikizingatiwa walitenda uhalifu kuingia kazini?
hoja hasa hiiHizo pesa zipo au ni mashairi ya jukwaani tu
Walitumikia taifa kwa njia isiyo halali kupitia vyeti walivyokuwa navyo ndiyo maana ndiyo maana hadi sasa tuna kizazi cha kusifu na kuabudu kwani waliowengi walitengenezwa na watu hao, bado wapo wengi sana hawajaisha! Unatafta cheti cha shahada unaajiriwa na serikali mtu wa hivo unafikri atakuwa wa aina gani na wakiwa watano sehemu moja unafikri serikali wataisema kwa lolote hata kama kuna baya[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]Je ! Ni sahihi kutowalipa ilhali walikatwa pesa zao na walilitumikia taifa kwa haki!??
Kwani unaumia nini,!? Pesa zako!?Haki?!
Kumbe hata mhalifu ana haki!.
Acheni wivu... hamna jema nyinyi!??Walitumikia taifa kwa njia isiyo halali kupitia vyeti walivyokuwa navyo ndiyo maana ndiyo maana hadi sasa tuna kizazi cha kusifu na kuabudu kwani waliowengi walitengenezwa na watu hao, bado wapo wengi sana hawajaisha! Unatafta cheti cha shahada unaajiriwa na serikali mtu wa hivo unafikri atakuwa wa aina gani na wakiwa watano sehemu moja unafikri serikali wataisema kwa lolote hata kama kuna baya[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Je ungekuwa wewe ungeongea hivi? Je kilichofanya kazi muda wote ni cheti au huyo mtumishi? je unauhakika gani katika ndugu au jamaa zako hakuna aliyepitia haya? maisha ni kuhangaika mtu hajaiba amehangaika kutafuta maisha wewe unakuja na kauli hii.Mama yupo sahihi na Mungu tunaomba amlipe mema.Fikiria kuna waliokutibu hospitali, somesha, kukuhudumia kwa njia yoyote ile.Kwa Haki vipi na cheti FEKI?
Walitumikia kwa haki wakati walighushi vyeti?