Rais Samia aagiza walioondolewa na Hayati Magufuli kwa vyeti feki walipwe

Rais Samia aagiza walioondolewa na Hayati Magufuli kwa vyeti feki walipwe

Acha kutetea majizi ya vyeti bwana mdogo!

Nendeni shule muepuke kuchonga vyeti steshenari.
Mimi sitetei kuiba cheti, natetea mtu aliyefanya kazi, alafu kwa akili za ki-sukumagang, unataka asilipwe stahiki zake! Kuna watu wana vyeti vizuri tu, Lakini hawafanyi kazi Au wanafanya kazi fake! Tatizo la Tanzania kutukuza vyeti ndo limeleta Hali hii,! Kwa mfano wewe, cheti kina majina yako Lakini uliiba mitihani!
 
Adhabu ipi? Wakifunguliwa mashtaka pia mtakuja kusema wanaonewa? Adhabu ipi inawafaa?
Adhabu inatolewa na mahakama. Walitakiwa washtakiwe kama kuna fidia idaiwe. Raisi hakushtaki kwa sababu ya gharama na yeye alitaka kupunguza matumizi bila gharama yoyote
 
Kama ishu ni vyeti na sio kumridhisha Makonda kwa kunangwa ana vyeti feki. Mbona majeshini akutoa vyeti feki wala kugusa. Hii sio dabo standard?
 
Ni Mei Mosi ambpo Samia ametoa maagizo haya kuwa walioondolewa kwa vyeti feki enzi za Magufuli walipwe stahiki zao kama mafao ya kustaafu
Je ni sahihi kuwalipa hasa ikizingatiwa walitenda uhalifu kuingia kazini?
Inawezekana na wewe ulisomeshwa au ulitibiwa na mwenye vyeti feki.
 
Ni Mei Mosi ambpo Samia ametoa maagizo haya kuwa walioondolewa kwa vyeti feki enzi za Magufuli walipwe stahiki zao kama mafao ya kustaafu
Je ni sahihi kuwalipa hasa ikizingatiwa walitenda uhalifu kuingia kazini?

Kisheria sio sahihi lakini upande wa pili Serikali walikuwa wazembe muda mrefu sana. Na hawa watu Walifanya kazi katika hali hiyo na kuzalisha. So kama mama anatoa huruma. Ni vyema.
 
Utakuwaje na ujuzi bila shule? [emoji23]
Unaweza kuwa na shule na usiwe na ujuzi
(Tatizo walilo nalo graduates wengi sababu ya kusoma ili kufaulu mitihani na si kupata ujuzi).

Waajiri tunajua hii tofauti. Kuna vyeti feki wameendelea kutumika nyuma ya pazia sababu ya ujuzi, unamwita unamueleza tatizo anakupa ushauri unaelekeza vijana waufate na jambo linafanikiwa.
 
Ni Mei Mosi ambpo Samia ametoa maagizo haya kuwa walioondolewa kwa vyeti feki enzi za Magufuli walipwe stahiki zao kama mafao ya kustaafu
Je ni sahihi kuwalipa hasa ikizingatiwa walitenda uhalifu kuingia kazini?
Hata kama sio mchawi, ila una roho ya kichawi
 
Je ! Ni sahihi kutowalipa ilhali walikatwa pesa zao na walilitumikia taifa kwa haki!??
Walikiwa na vyeti fake lakini hakuna uthibitisho kuwa walitoa hufuma fake. Aliyewaajiri wenye vyeti fake naye ni mhalifu. Kwa kuwa tumeamua kuisamehe Serikali iliyofanya uhalifu kwa kutoa ajira kwa wahalifu, basi tuwasamehe wote.
 
Ndio maana watoto wetu wanajazwa ujinga mashuleni shauri ya walimu feki.

Unakutana na mtoto hawezi hata kujieleza lugha inayoeleweka kumbe shida imeanzia huko kwa walimu wenye vyeti vya kugundisha na gundi steshenari.

Ahsante JPM kwa kuwatimua hawa makanjanja.

Na hizo stahiki hampati ng'ooo! Ngoja. Tutaelewana tu.
Binafsi naafiki tatizo la elimu lililopo. Limezalisha wengi ambao huwezi hata kumwachia jambo muhimu afanye huku wewe uliyemuachia ukiwa na amani kuwa litafanyika kwa ufasaha. Vyeti feki hata wasipolipwa hilo tatizo halitaondoka sababu kwa asilimia kubwa linasababishwa na wenye vyeti halali bila ujuzi na sio wenye ujuzi na vyeti feki.

Asilimia ya wasio na ujuzi na vyeti feki ni ndogo sana ukilinganisha na wasio na ujuzi na vyeti halali.
 
Ni Mei Mosi ambpo Samia ametoa maagizo haya kuwa walioondolewa kwa vyeti feki enzi za Magufuli walipwe stahiki zao kama mafao ya kustaafu
Je ni sahihi kuwalipa hasa ikizingatiwa walitenda uhalifu kuingia kazini?
Uhalifu gani? ulishiriki au unajua namna watumishi wa umma wanavyopatikana mzee? shida yenu hamjui kitu afu mnajidai mnajua? siyo kwamba kila alilolifanya magufuli basi linapaswa kuenziwa. huo ni ujinga kama aliokuwa nao yeye MAGUFULI.
Wale watu walifukuzwa bila kufuata utaratibu wa kisheria kama walivyoajiriwa kisheria.
mbona majambazi wanapewa haki ya kusikilizwa hata wakiua? mfano Jambazi SABAYA kule A rusha sasa Kisongo
wale watu hawatengenezi wala kutoa vyeti.
issue ya mafao wale walikuwa wanatoa jasho lao, walilipwa kutokana na jasho lao kwa kuchangia wao na waajiri. kama wamefanya kosa na kufukuzwa kazini sawa, walipwe stahiki zao
 
Hicho cheti feki hakiwezi kukusaidia.

Wapishe wenye taaluma halali mzee!

Utachelewa.
Unafanya assumptions zisizokuwepo. Jikitite kwenye hoja ninayokueleza, hizo assumption unazoassume hazitabadili uhalisia.
 
Ni Mei Mosi ambpo Samia ametoa maagizo haya kuwa walioondolewa kwa vyeti feki enzi za Magufuli walipwe stahiki zao kama mafao ya kustaafu
Je ni sahihi kuwalipa hasa ikizingatiwa walitenda uhalifu kuingia kazini?
How sure mambo mengine kaa kimya
 
Back
Top Bottom