Lakini si waliajiriwa na Serikali yenyewe?Ni Mei Mosi ambpo Samia ametoa maagizo haya kuwa walioondolewa kwa vyeti feki enzi za Magufuli walipwe stahiki zao kama mafao ya kustaafu
Je ni sahihi kuwalipa hasa ikizingatiwa walitenda uhalifu kuingia kazini?
Unajua sheria ingefata mkondo nani angeshitakiwa na kuhukumiwa ?kama ni stahiki zao mahakama si zipo kwanini hawajaenda?Raisi wa awamu ya 5(RIP) aliposema anataka baadhi ya watu waishi kama mashetani alikuwa ameyaona wapi hayo mashetani yanavyoishi maana naona unataka kutumia neno shetani kuanzisha mdahalo.
Ukiadhibu kwa kumyang'anya mtu fedha bila kufuata utaratibu tuliojiwekea ili kiwango cha adhabu kilinganishwe na kosa kuhakikisha haki inapatikana unakuwa hujatumia ubinadamu, kinyume cha ubinadamu ni ushetani au Unyama. Ndo maana nikasema tusitoe adhabu kama mashetani.
Taratibu za kuajiri zinamtaka mwajiri kujithibitishia uhalali wa nyaraka za muajiriwa.Common sense ukijumlisha na sheria unadhani nani wakulaumiwa na nani mwenye makosa
Ndiyo ni halali yangu kwakuwa nitauza nipate hela najenga majumbana kuwasaidia maskini!! km yangekuwa si halali wangenikamata nayo!! lkn nimepita nayo salalma ni halali yangu ndiyo! nitauza yangu yatatimia!!
kwani napiata nayo ili iweje??? nikauze nipate hela niishi vizuri baaasiL
Unafikiri kabla hiyo experience hawajaipata wangapi waliumia au kufa kabisa?Una uhakika hawaijui??? ..unaelewa experiential learning???..wangekuwa hawaijui wasingezalisha,kampuni zingekufa kibudu...natural death....Mama Samia hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Ndicho alichofanya magufuliTaratibu za kuajiri zinamtaka mwajiri kujithibitishia uhalali wa nyaraka za muajiriwa.
Kwanini serikali haijaenda mahakamani?Unajua sheria ingefata mkondo nani angeshitakiwa na kuhukumiwa ?kama ni stahiki zao mahakama si zipo kwanini hawajaenda?
Baada ya watu kufanya kazi miaka Zaid ya 30?Ndicho alichofanya magufuli
Hekima na Busara zimetumika hata mama amesema walipwe 5% ni muendelezo wa hekima na busara huoKwanini serikali haijaenda mahakamani?
Ukaguzi wa vyeti ni endelevu ukikoswa leo sio lazima na kesho ukosweBaada ya watu kufanya kazi miaka Zaid ya 30?
Mkuu kama umesaha walipewa nafasi ya kukata rufaa kama kuna waliofukuzwa kimakosaKwanza kabisa, hatujui hata kama tuhuma ni za kweli, hatujui makubaliano ya ajira yalikuwaje.
Mchakato mzima umeendeshwa kibabe sana, watu hawakusikilizwa katika due process.
Kuna watu wamebadilisha majina tu wakaambiwa wana vyeti feki, ni wengi sana hawa.
Nenda mahakamani upinge kulipwa haki zao!Ukaguzi wa vyeti ni endelevu ukikoswa leo sio lazima na kesho ukoswe
Ufanisi wa kazi hauletwi na chetiKwa sababu majambazi wanatumia muda, akili na nguvu kuiba wakikamatwa walipwe kwanza kwa sababu wametumia efforts?
Hizo ni assumption zako wewe. Sheria ingefuata mkondo kungekuwa na kesi kisha hukumu ingetoka ambapo ingetegemeana na hati ya mashtaka aliyoifungua mwajiriwa husika.Unajua sheria ingefata mkondo nani angeshitakiwa na kuhukumiwa ?kama ni stahiki zao mahakama si zipo kwanini hawajaenda?
Cheti hakifanyi kazi bali ujuziUnafanyaje kazi ambayo huijui?
Hata wenye maarifa stahiki mbona hata faida zao hatuoni!?Ni Mei Mosi ambpo Samia ametoa maagizo haya kuwa walioondolewa kwa vyeti feki enzi za Magufuli walipwe stahiki zao kama mafao ya kustaafu
Je ni sahihi kuwalipa hasa ikizingatiwa walitenda uhalifu kuingia kazini?
Bila kusahau hasara waliyoisababisha kwa kutoa huduma hafifu kutokana na kutokuwa na maarifa yanayotakiwa
Hawajapewa hizo unazosema HAKI CHIEF asilimia 5% we unaita Haki zao?Nenda mahakamani upinge kulipwa haki zao!
Ujuzi ambao unatoka wapi?Cheti hakifanyi kazi bali ujuzi
Ndio jasho la kazi yao au huelewiHawajapewa hizo unazosema HAKI CHIEF asilimia 5% we unaita Haki zao?
Sasa hawa walio kuja kuokoa jahazi ndo wazuri sasa mkuu tunawaenzi na kuwapa moyo wa shukrani kwa kuokoa jahazi? au mie ndo sijaelewa??Unafikiri kabla hiyo experience hawajaipata wangapi waliumia au kufa kabisa?