Lakini si waliajiriwa na Serikali yenyewe?Ni Mei Mosi ambpo Samia ametoa maagizo haya kuwa walioondolewa kwa vyeti feki enzi za Magufuli walipwe stahiki zao kama mafao ya kustaafu
Je ni sahihi kuwalipa hasa ikizingatiwa walitenda uhalifu kuingia kazini?
Walikuwa wanazalisha na kuchangia pato la Taifa,walikuwa wanakatwa kodi ambayo ilikuwa inaendesha shughuli za serikali harafu Serikali inawafukuza bila huruma?
Kwa uharifu wao hawawezi kurudishwa kazini kwa sababu hawana sifa lakini serikali iwalipe mafao yao.