Rais Samia aagiza walioondolewa na Hayati Magufuli kwa vyeti feki walipwe

Rais Samia aagiza walioondolewa na Hayati Magufuli kwa vyeti feki walipwe

Ni Mei Mosi ambpo Samia ametoa maagizo haya kuwa walioondolewa kwa vyeti feki enzi za Magufuli walipwe stahiki zao kama mafao ya kustaafu
Je ni sahihi kuwalipa hasa ikizingatiwa walitenda uhalifu kuingia kazini?
Bila kusahau hasara waliyoisababisha kwa kutoa huduma hafifu kutokana na kutokuwa na maarifa yanayotakiwa
Stop that nonsense, hasara gani? Walikuwa na expertise kubwa kuliko wenye madegree na "madictionary"! Nina ushahidi mkubwa wa hili! Kuna dentist mmoja alikuwa na wateja "wote" kuliko madaktari wengine ie wagonjwa wengi walikuwa wanaenda kwake alivyokuwa smart! And many many other witnesses...,..
 
Nasema hivi, hii sio awamu ya roho kutu, sote ni watoto wa nchii hii
Fikiria mtu alikuwa dereva, ameendesha gari ya serikali 20yrs Halafu useme eti hana qualifications, Na mafao yake udhulumu.
Mfukuze umpe Na mafao yake basi maana alikuwa anafanya na anakatwa mshahara.
Yule mtu amekufa kwa laana za wengi
 
Walipwe kila kitu walichofanyia kazi kwa muda wote bila chenga, uajiri wa seriakli miaka yote ulikuwa wa ovyo tuu wa kujuana, ukabila na bila kufuata sifa zinazotakiwa
 
Mkuu kama umesaha walipewa nafasi ya kukata rufaa kama kuna waliofukuzwa kimakosa
Na wapo wenye kasoro kama ulizotaja walikata rufaa na kurudi kazini
Zoezi zima lengo lake lilikuwa kupunguza wafanyakazi bila kuwalipa stahiki zao.

Pia, watu walioendelea siku hizi wanaangalia ufanisi wa mtu kazininkuliko vyeti.

Ni sisi tu bado tunalimbuka.

Wewe mtu dereva wa gari, ana ujuzi wa miaka mingi wa udereva.

Unaenda kumuondoa kazini kwa sababu hana cheti.

Wakati kaendesha watu miaka na miaka kwa ufanisi mkubwa.

Ni uonevu tu na ushamba tu.

Watu wanaoendesha dunia kina Elon Musk na Google washasema kwenye usaili wao wanaangalia uwezo wa mtu kuliko vyeti

Sisi bado tunalimbuka na vyeti.
 
Walipwe kila kitu walichofanyia kazi kwa muda wote bila chenga, uajiri wa seriakli miaka yote ulikuwa wa ovyo tuu wa kujuana, ukabila na bila kufuata sifa zinazotakiwa
Wanatakiwa walipwe stahiki zao zote sio janja janja ambayo serikali inataka kufanya Ili kuwapunja..

Pia kuna wale walibomolewa makazi na Jiwe,walipwe.
 
Ni Mei Mosi ambpo Samia ametoa maagizo haya kuwa walioondolewa kwa vyeti feki enzi za Magufuli walipwe stahiki zao kama mafao ya kustaafu
Je ni sahihi kuwalipa hasa ikizingatiwa walitenda uhalifu kuingia kazini?
Bila kusahau hasara waliyoisababisha kwa kutoa huduma hafifu kutokana na kutokuwa na maarifa yanayotakiwa
Magufuli alikuwa mwehu yule,angewalipa jasho lao ndio awafukuze vinginevyo wanadai riba na fidia.
 
Ahsante Magufuli kwa kutuondoshea makanjanja kwenye taasisi za umma.

Huwezi kuwa mwalimu feki unayefundisha watoto wetu! Haiwezekani.

Stahiki pekee mnayostahili ni kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria na kulipa fidia ya madhara mliyosababishia taifa hili.
Kanjanja hatakiwi ila ukibugi tuu kwa uzembe wako ukamtumia lazima uwalipe hakuna janja janja hapo.
 
Waliobomolewa kimara kwa uonevu walipwe fidia nao
 
Je ! Ni sahihi kutowalipa ilhali walikatwa pesa zao na walilitumikia taifa kwa haki!??

Mama anataka kuleta siasa kwenye mambo ya sheria. Angalia wenzetu wakimkamata mwenye cheti feki, hata kama alifanya kazi yake vizuri.

Senior SAA pilot fired for flying with fake licence for 20 years - report​


A senior pilot was asked to resign from SAA earlier this year after it was found that he had flown commercial airplanes for more than 20 years with a fake licence, Mail & Guardian reported on Friday. SAA reportedly discovered that William Chandler's airline transport pilot licence had been forged.

This was reportedly after an investigation into a "reportable incident" on a flight he piloted. The Mail & Guardian reported that that the incident involving Flight SA206 from OR Tambo International Airport to Frankfurt, Germany, occurred in November over Swiss airspace.

According to the paper, Chandler was the monitoring pilot (co-pilot) on the trip and had the controls at the time of the incident.
SAA spokesperson Tlali Tlali reportedly said an investigation into the incident led to the discovery that Chandler's licence was fake.
In a statement issued on Friday, Tlali confirmed this saying Chandler had made false representations to the airline and claimed that he was qualified and had an Airline Transport Pilot License (ATPL), when he only had a Commercial Pilot License.

"It is an SAA requirement that all pilots obtain an ATPL license within five years of their employment as pilots at SAA. This is linked to Senior First Officer status and forms part of their conditions of employment as regulated in the SAA Pilots Regulating Agreement. Any pilot failing to obtain this license, will have their employment terminated with the airline," said Tlali.

Promotion turned down

It also reportedly explained why Chandler opted not to be promoted to the rank of captain in 2005, as he would have had to submit his certification. Chandler reportedly joined SAA as a pilot in 1994. The airline now wants Chandler to pay back the money he fraudulently earned, including perks. This could run into millions, Tlali told the paper.

On Friday Tlali said that Chandler did not present a safety risk to SAA's operation as he was in possession of a valid Commercial Pilot Licence and was the commander of the aircraft. “The pilot had successfully completed all required safety training. However, we find it disconcerting that misrepresentations were made about the type of license that the pilot claimed to possess,” said Tlali.

In 2010, a Swedish pilot who flew passenger jets for 13 years without a licence was fined R32 000 and banned from flying for 12 months, The Telegraph reported. Despite doctoring his expired pilot's licence and being banned from flying for a year by a Dutch court, the court noted he had never caused an accident in the 13 years.
 
Mfano darasa la saba waliondolewa kwa uonevu
 
Punguza porojo Mkuu,kughushi nyaraka za Jamhuri ni kosa la jinai.Hawa kwa Magufuli aliwasamee,walipaswa kushitakiwa na kufungwa.Kama walikuwa na haki mbona hawakuishitaki serikali?
Jeshini aliwatoa? Kughushi ni kosa ila ukishamtumia kwenye Kazi ,chetinhakihalalishi dhuluma..

Sio kila Kazi inahitaji cheti .
 
Back
Top Bottom