Rais Samia aagiza walioondolewa na Hayati Magufuli kwa vyeti feki walipwe

Rais Samia aagiza walioondolewa na Hayati Magufuli kwa vyeti feki walipwe

Watz tuache roho mbayaa,watu wapewe Chao,kwani nani aliwaajiri? wengine ni marehemu sahii.
 
Tulipwe tu kwakweli mama anaupiga mwingi ccm oyeeeeh
haaha dah hongereni sana kwa hilo .

Nakumbuka nilikuwa SHRO ofisi flani nikamsaidia jamaa kupata ajira alikuwa ni dereva mzuri sana alikuwa ananiendeshaga nikiwa na safari zangu binafsi za mikoani.

Yaani mzur sana kwani pia alikuwa fundi wa ishu ndogo ndogo za magari na leseni nzuri na cheti cha NIT lakini alikuwa hana cheti cha form four na tulikuwa tunahitaji madereva 5 pale ofisin nilimwambia jamaa ajiongeze atengeneze cheti cha form 4 feki kweli jamaa akaniletea baada ya kama siku 2 hivi nikamshortlist kwenye usaili na nkamsaidia ilikuwa miaka ya 2000 huko,
jamaa alikuwa smart sana akapanda cheo hadi kuwa principle driver na CEO wa hiyo taasisi alimpendekeza awe dreva wake.
Ishu ya vyeti feki ilivyoibuka naye akapatikana cheti chake cha form four feki nikamatafuta wenye simu akaendelea kunishukuru sana kwani alinieleza ile ajira ilimsaidia kupata nyumba 2 na kuhudumia familia yake vizuri pamoja na kufumfungulia mke biashara ya bucha la samaki. Nilimuoneaa huruma sana nikifiiria mimi ndiye niliyemuelekeza akatengeneze cheti feki
Ngoja kesho nijaribu kutafuta namba yae kwa wadau wa pale kama watakuwa nayo nimsalimie.

Kwa mujibu wa Penal Code yetu hilo kosa lipo hivi nahisi Samia atakuwa ametumia hiyo bolded part kudeal na hii ishu

Punishments for Forgery 337.
"Any person who forges any document is guilty of an offence which, unless otherwise stated, is a felony, and he is liable, unless owing to the circumstances of the forgery or the nature of the thing forged some other punishment is provided, to imprisonment for seven years."

wa Ma HR wote waliozembea kukagua vyeti penal code inaeleza hivi sio kosa kubwa
Neglect of official duty 121.
Every person employed in the public service who wilfully neglects to perform any duty which he is bound either by common law or by Statute or Ordinance to perform, provided that the discharge of such duty is not attended with greater danger than a man of ordinary courage and activity might be expected to encounter is guilty of a misdemeanour.
 
Tatizo ndiyo lipo hapo. Je walioajiri hii lugha wanaijua.

Tunaunga mkono kwa nguvu zote walipwe pesa zao. Nyinyi ndiyo mazulumati hata wafanyakazi wa ndani mkijifanya na kimombo.

Mbona kufa hamtoi sifa au great. Tukumbuke hata kufa kunafanana Wanaojiona wapo juu zaidi ya wengine tukaliulize kaburi. Kaburi linamaliza kiburi chote jamani.

Sijawahi kusikia mtu amekufa kiprofession Fulani kumzidi mwenzake. Tukumbuke haya ni maisha ya hapa duniani.

Nimetoa huu mfano ili kila mtu ajipime. Maisha ni yetu sote na waliosababisha hayo yote ni sisi wenyewe.

Tusifukuzane Kama mbwa, mungu katupa utashi wa kujua nzuri na baya.

Kuna wale wanawasakama na kuwadhalili hawa watu kwangu binafsi sioni kosa lao kosa lipo kwa serikali na aliyewaajiri.

Ukitaka kujua mzulumati hakosi sababu sijui kwa Nini!!! Yaani unakuta mtu naheshoma zake tena kapeea cheo Cha kuhudumia jamii badala ya kutafuta muafaka na kurekebosha yaliyopita anamwita mwizi. Mpeleke polisi Sasa.


Tena ikiwezekana Mama warudishe kazini wamalize miaka yao ya kustaafu ili wale wenye roho mbaya wakatafute dasban kabisa.
hata sijui umeandika kitu gani. Nimeonyesha kua SAA walimfukuza Ribani baada ya kugundua kuwa alikuwa akirusha ndege kwa miaka 20 huku akitumia cheti cha kufoji. Halafu wakamtaka arudishe hata malipo aliyolipwa kwa kutumia checti hicho cha kufoji ingawa hakuwa kusababisha ajali yoyote. Wakasema ile kutumi chetio cha kufoji tu ni kosa kubwa sana. majibu yako yamekuja bila kuwa na mwelekeo wowote.
 
Ni watanzania wenzetu walifanya wao kazi kwa kutumia akili zao na nguvu zao. Vyeti havikufanya kazi bali viliwawezesha kupata kazi. Ni SAHIHI WALIPWE
Kwa hiyo hawakustahili kufukuzwa kama vyeti ni irrelevant
 
haaha dah hongereni sana kwa hilo .

Nakumbuka nilikuwa SHRO ofisi flani nikamsaidia jamaa kupata ajira alikuwa ni dereva mzuri sana alikuwa ananiendeshaga nikiwa na safari zangu binafsi za mikoani.

Yaani mzur sana kwani pia alikuwa fundi wa ishu ndogo ndogo za magari na leseni nzuri na cheti cha NIT lakini alikuwa hana cheti cha form four na tulikuwa tunahitaji madereva 5 pale ofisin nilimwambia jamaa ajiongeze atengeneze cheti cha form 4 feki kweli jamaa akaniletea baada ya kama siku 2 hivi nikamshortlist kwenye usaili na nkamsaidia ilikuwa miaka ya 2000 huko,
jamaa alikuwa smart sana akapanda cheo hadi kuwa principle driver na CEO wa hiyo taasisi alimpendekeza awe dreva wake.
Ishu ya vyeti feki ilivyoibuka naye akapatikana cheti chake cha form four feki nikamatafuta wenye simu akaendelea kunishukuru sana kwani alinieleza ile ajira ilimsaidia kupata nyumba 2 na kuhudumia familia yake vizuri pamoja na kufumfungulia mke biashara ya bucha la samaki. Nilimuoneaa huruma sana nikifiiria mimi ndiye niliyemuelekeza akatengeneze cheti feki
Ngoja kesho nijaribu kutafuta namba yae kwa wadau wa pale kama watakuwa nayo nimsalimie.

Kwa mujibu wa Penal Code yetu hilo kosa lipo hivi nahisi Samia atakuwa ametumia hiyo bolded part kudeal na hii ishu

Punishments for Forgery 337.
"Any person who forges any document is guilty of an offence which, unless otherwise stated, is a felony, and he is liable, unless owing to the circumstances of the forgery or the nature of the thing forged some other punishment is provided, to imprisonment for seven years."

wa Ma HR wote waliozembea kukagua vyeti penal code inaeleza hivi sio kosa kubwa
Neglect of official duty 121.
Every person employed in the public service who wilfully neglects to perform any duty which he is bound either by common law or by Statute or Ordinance to perform, provided that the discharge of such duty is not attended with greater danger than a man of ordinary courage and activity might be expected to encounter is guilty of a misdemeanour.
Napenda sana watu mnaojua kuelezea Habari, Hongera Kwa Moyo mwepesi mkuu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Walipwe,mwendazake hesabu zake zilikuwa za dhuluma sana mfano unawapandishaje madaraja watumishi bila kupandisha mishahara pia?!
 
Neno HAKI kwa Lugha yetu inaonekana halieleweki vizuri....

Mtuhumiwa uliyemtuhumu kwa Cheti Feki,, leo unamlipa Mafao...
Kama alichofanya kilikuwa ni sahihi kwanini usimrudishe kazini aendeleee... na wale ambao hawakustaafu na wana vyeti Feki nao walipwe..?


Au mm ndio sijaelewa alichosema?
 
Kama ameshindw kuongeza mshahara . Ataweza hili.. ?😂
 
Mama anataka kuleta siasa kwenye mambo ya sheria. Angalia wenzetu wakimkamata mwenye cheti feki, hata kama alifanya kazi yake vizuri.

Senior SAA pilot fired for flying with fake licence for 20 years - report​


A senior pilot was asked to resign from SAA earlier this year after it was found that he had flown commercial airplanes for more than 20 years with a fake licence, Mail & Guardian reported on Friday. SAA reportedly discovered that William Chandler's airline transport pilot licence had been forged.

This was reportedly after an investigation into a "reportable incident" on a flight he piloted. The Mail & Guardian reported that that the incident involving Flight SA206 from OR Tambo International Airport to Frankfurt, Germany, occurred in November over Swiss airspace.

According to the paper, Chandler was the monitoring pilot (co-pilot) on the trip and had the controls at the time of the incident.
SAA spokesperson Tlali Tlali reportedly said an investigation into the incident led to the discovery that Chandler's licence was fake.
In a statement issued on Friday, Tlali confirmed this saying Chandler had made false representations to the airline and claimed that he was qualified and had an Airline Transport Pilot License (ATPL), when he only had a Commercial Pilot License.

"It is an SAA requirement that all pilots obtain an ATPL license within five years of their employment as pilots at SAA. This is linked to Senior First Officer status and forms part of their conditions of employment as regulated in the SAA Pilots Regulating Agreement. Any pilot failing to obtain this license, will have their employment terminated with the airline," said Tlali.

Promotion turned down

It also reportedly explained why Chandler opted not to be promoted to the rank of captain in 2005, as he would have had to submit his certification. Chandler reportedly joined SAA as a pilot in 1994. The airline now wants Chandler to pay back the money he fraudulently earned, including perks. This could run into millions, Tlali told the paper.

On Friday Tlali said that Chandler did not present a safety risk to SAA's operation as he was in possession of a valid Commercial Pilot Licence and was the commander of the aircraft. “The pilot had successfully completed all required safety training. However, we find it disconcerting that misrepresentations were made about the type of license that the pilot claimed to possess,” said Tlali.

In 2010, a Swedish pilot who flew passenger jets for 13 years without a licence was fined R32 000 and banned from flying for 12 months, The Telegraph reported. Despite doctoring his expired pilot's licence and being banned from flying for a year by a Dutch court, the court noted he had never caused an accident in the 13 years.
Tuache porojo!! Mchakato wenyewe nao ulikuwa FAKE na wa KIBAGUZI.. marehemu aliamua chagua wanyonge na kuwanyonga...
Mbona hakwenda vyombo vya dola!? Nijibu hili swali tuone!? Ita MATAGA wote uone kama watajibu hili!

Mama walipe pesa zao zotee...
 
Hapana raisi kakosea sana ivi unajua watu kwa kugushi vyeti vyao waliwakosesha watu wangapi ajira walizostaili wapewe....je miaka yote iyo waliokaa bila ajira na wao tunawasaidiaje? Magufuli was right....kma mtu alikua anachezea mshahara wake wakt anajua anavyeti feki na akufnya la maana shauri yake


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huenda Tatizo lako ni kukosa ajira, kama ndivyo nakuelewa.
 
Je ! Ni sahihi kutowalipa ilhali walikatwa pesa zao na walilitumikia taifa kwa haki!??
Walitumikia taifa kwa haki ipi? Umeshawahi kuwaza ni watu wangapi wenye sifa walikosa kazi kwa ajili yao? Udanganyifu ni kosa kama makosa mengine ya jinai
 
Kama ni haki yao basi walipwe tu.
Hata waliodhulumiwa ushindi wao kwenye uchaguzi 2020 walipwe haki zao ikiwemo kupewa ushindi waliodhulumiwa.
Hata Tundu Lissu alipwe haki zake zote za matibabu na kuvuliwa ubunge wake kihuni.

Kama kuna mtu kanyang'anywa haki zake pasipo halali ni vyema akarudishiwa haki zake. Kila mtu apewe haki zake.

Na kama kuna mtu aliiba haki za mtu mwingine au alilipwa haki isiyostahili ni vyema haki hiyo akanyang'anywa na akalazimishwa kuiresha kule alikoiiba. Mfano ni wale wabunge wa Covid 19. Wale ni wezi na malaya walioiba haki za kisiasa, wachukuliwe hatua mara moja.
Sasa kama hao unaowaita covid 19 unaona walipata ubunge isivyo halali sasa wanatofauti gani na hawa vyeti feki? Maana na wao walipata hizo kazi isivyo halali.
 
Feki wapi we bwege..wakati watu waliajiriwa na mamlaka sahihi!?
Waliajiriwa kwa kuzidanganya hizo mamlaka sahihi. Ni sawa uende benki ugushi cheki ulipwe, baadae ukikamatwa useme nililipwa na mamlaka sahihi Kwahiyo sina kosa.
 
Waliajiriwa kwa kuzidanganya hizo mamlaka sahihi. Ni sawa uende benki ugushi cheki ulipwe, baadae ukikamatwa useme nililipwa na mamlaka sahihi Kwahiyo sina kosa.
Mfano ulioutoa wa cheki ya Benki hauendani na maudhui ya maelekezo ya mama. Tunaongelea haki zao siyo kurudi kazini
 
Hili jambo lisingekuwa na mwisho mzuri kama lingebaki hivi, Katika kuadhibu tunaadhibiana kwa akili ili kurekebishana sio nguvu tu kwa sababu tunazo na tunaweza kuadhibu.

Mtu kakutumikia miaka 30 ukagundua aligushi cheti cha form four, anastahili adhabu ni kweli, lakini sio kwa kukata mikono yake ili asiweze kufanya kazi tena, asiwe sehemu ya uchumi wako tena awe tegemezi 100%.

Kufanya hivyo ni kujipa mzigo maana ni mwananchi wako. Aadhibiwe lakini kwa kutumia ubinadamu na upimaji wa kosa na adhabu anayostahili.

Kuwapa 5% ya makato waliyokatwa wakati wanafanya kazi raisi katumia busara kulizika hili suala rasmi.

Sasa si rahisi usikie malalamiko ya kuomba huruma kutoka kwa watu hawa tena, watumie hicho watakachojipata kuanzisha biashara halali na serikali iwe makini katika kuajiri jambo hili lisijirudie.
Ujue kuna waliofoji hadi digrii

Chukulia mtu form four division zero alifoji digrii ya udaktari watu wangapi watakuwa wakifa mikononi mwaka kwa kufanya kazi isiyostahili

Kiwango cha watoto kufeli kilikuwa kikubwa mno huko nyuma sababu ya hao walimu wavyeti Feki mtoto anamaliza darasa la saba akiwa hajui kusoma wala kuandika sababu huyo mwalimu chetu Feki hajawahi kanyaga chuo cha walimu

Kumlipa chochote ni uhuni alitakiwa huyo mwenye cheti feki aburuzwe mahakamani afilisiwe na kurejesha peas zote aliyowahi lipwa kama mshahara au posho
 
Back
Top Bottom