Rais Samia aagiza Wazazi waliofiwa na watoto 4 kwenye ajali watibiwe kwa VIP Class Muhimbili, JK, MOI na Hospital zote nchini!

Rais Samia aagiza Wazazi waliofiwa na watoto 4 kwenye ajali watibiwe kwa VIP Class Muhimbili, JK, MOI na Hospital zote nchini!

Mkuu wa Mkoa wa DSM Chalamila amesema Rais Samia ameumizwa Sana na Vifo vya Wanafamilia 4 waliofariki Kwenye Ajali huko Mbwewe Chalinze.

Chalamila amesema Rais Samia anajua Kuwa Mzee Msuya na mkewe walikuwa wanawategemea Watoto wao hawa waliofariki hivyo ameagiza Wazazi hawa Wawe Wanatibiwa kwa huduma ya VIP Class pale Muhimbili, JK, MOI na Hospital zote za Serikali.

Kadhalika Kesho Ujumbe wa Serikali utatembelea familia Moja Moja.za marehemu hawa kutoa rambirambi rasmi za Serikali.

RIP Sia Msuya na ndugu zako
Saa100 anapenda sana cheap politics
 
Mkuu wa Mkoa wa DSM Chalamila amesema Rais Samia ameumizwa Sana na Vifo vya Wanafamilia 4 waliofariki Kwenye Ajali huko Mbwewe Chalinze.

Chalamila amesema Rais Samia anajua Kuwa Mzee Msuya na mkewe walikuwa wanawategemea Watoto wao hawa waliofariki hivyo ameagiza Wazazi hawa Wawe Wanatibiwa kwa huduma ya VIP Class pale Muhimbili, JK, MOI na Hospital zote za Serikali.

Kadhalika Kesho Ujumbe wa Serikali utatembelea familia Moja Moja.za marehemu hawa kutoa rambirambi rasmi za Serikali.

RIP Sia Msuya na ndugu zako
Huyu mama ajitafakari na aache mihemuko! Watanzania wazee wasio na uwezo ni wengi sana hivyo serikali ingeweka utaratibu mzuri ili wote wanufaike na kodi yetu na siyo kutafuta Kiki ya kisiasa kwa kutumia kodi zetu!
 
Huo mfuko unatafunwa vizuri sn na mafisadi
Halafu sasa hivi wanahangaika kusumbua wanachama kujihakiki wakati wezi wamo nao ndani.

Wameanzisha uhakiki kama mifuko ya jamii inavyofanya kwa wastaafu yani kuna mateso mengi mno sasa unafikiria wazee wa vijijini na wagonjwa wanavyopata tabu na usipojihakiki hulipwi wanaassume umekufa. MBAYA SANA

Nchi ngumu sana hii
 
Halafu sasa hivi wanahangaika kusumbua wanachama kujihakiki wakati wezi wamo nao ndani.

Wameanzisha uhakiki kama mifuko ya jamii inavyofanya kwa wastaafu yani kuna mateso mengi mno sasa unafikiria wazee wa vijijini na wagonjwa wanavyopata tabu na usipojihakiki hulipwi wanaassume umekufa. MBAYA SANA

Nchi ngumu sana hii
Ummy kamwekwa na mafisadi kupiga pesa hapo
 
Mkuu wa Mkoa wa DSM Chalamila amesema Rais Samia ameumizwa Sana na Vifo vya Wanafamilia 4 waliofariki Kwenye Ajali huko Mbwewe Chalinze.

Chalamila amesema Rais Samia anajua Kuwa Mzee Msuya na mkewe walikuwa wanawategemea Watoto wao hawa waliofariki hivyo ameagiza Wazazi hawa Wawe Wanatibiwa kwa huduma ya VIP Class pale Muhimbili, JK, MOI na Hospital zote za Serikali.

Kadhalika Kesho Ujumbe wa Serikali utatembelea familia Moja Moja.za marehemu hawa kutoa rambirambi rasmi za Serikali.

RIP Sia Msuya na ndugu zako

Pia soma: Pwani: Magari yagongana uso kwa uso, wanne wafariki
Utu wema ni akiba
 
Hii ni Kiki

Huduma za afya especially kwa wazee zinapaswa kuboreshwa nchi nzima ili wazee wasiteseke na kutumia muda mwingi kwenye foleni wakisubiri huduma

Kuna kipindi hapo nyuma walianza kuzingatia hilo kwa kuwapa kipaumbele wazee na kuna baadhi ya hospital waliweka na bandiko sasa sijui kama utaratibu huo unaendelea au kazi iendelee😏
 
Wamepewa IDs au watakuwa wanajitambulisha kuwa wao ndiyo walifiwa watoto?

Wamtafute yule Mzee Rubani mstaafu aliyeambiwa atakuwa anapanda ndege za ATCL bure kama anakwea bure kweli.😁

Ndiyo maana watumishi wa TRA walikuwa wanawaambia wafanyabiashara wa Kariakoo kwamba,"HATUFANYI KAZI KWA MATAMKO YA WANASIASA MAJUKWAANI".
 
Kwanza huyo Mzee Msuya angerudishiwa shamba lake analo taka Kudhilumiwa na Jiji la Dodoma Kwa kushirikiana Wavamizi ambao Jiji linawalinda kupitia Diwani anayeuza maeneo Nkuhungu
Huyu Mzee shamba alilipata akiwa kijana akiwa DC Leo amestahafu anadhulumiwa haki yake na Uongozi mzima wa Mkoa unashabikia dhuluma ya wananchi wenye miliki Kudhilumiwa na Wavamizi
Ukweli ni Maafisa Ardhi wa Jiji Mabalozi na Diwani ndio wahalifu
 
Kwanza huyo Mzee Msuya angerudishiwa shamba lake analo taka Kudhilumiwa na Jiji la Dodoma Kwa kushirikiana Wavamizi ambao Jiji linawalinda kupitia Diwani anayeuza maeneo Nkuhungu
Huyu Mzee shamba alilipata akiwa kijana akiwa DC Leo amestahafu anadhulumiwa haki yake na Uongozi mzima wa Mkoa unashabikia dhuluma ya wananchi wenye miliki Kudhilumiwa na Wavamizi
Ukweli ni Maafisa Ardhi wa Jiji Mabalozi na Diwani ndio wahalifu
Hilo shamba angekuwa amewaachia watoto wapambane nalo sasa na uzee wotw huo nguvu ya kupambana na mashamba anao kweli
Ni maoni tu
 
Mkuu wa Mkoa wa DSM Chalamila amesema Rais Samia ameumizwa Sana na Vifo vya Wanafamilia 4 waliofariki Kwenye Ajali huko Mbwewe Chalinze.

Chalamila amesema Rais Samia anajua Kuwa Mzee Msuya na mkewe walikuwa wanawategemea Watoto wao hawa waliofariki hivyo ameagiza Wazazi hawa Wawe Wanatibiwa kwa huduma ya VIP Class pale Muhimbili, JK, MOI na Hospital zote za Serikali.

Kadhalika Kesho Ujumbe wa Serikali utatembelea familia Moja Moja.za marehemu hawa kutoa rambirambi rasmi za Serikali.

RIP Sia Msuya na ndugu zako

Pia soma: Pwani: Magari yagongana uso kwa uso, wanne wafariki
R.I.P marehemu na pole kwa wafiwa Mungu awape nguvu na Subira 🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom