Rais Samia aagiza Wazazi waliofiwa na watoto 4 kwenye ajali watibiwe kwa VIP Class Muhimbili, JK, MOI na Hospital zote nchini!

Rais Samia aagiza Wazazi waliofiwa na watoto 4 kwenye ajali watibiwe kwa VIP Class Muhimbili, JK, MOI na Hospital zote nchini!

Kiongozi mzima wa nchi anatoa maagizo ya kibaguzi kwa kuwagawa wananchi kwamba hawa wapewe huduma hii wale wengine wasipewe eti kisa tu wamefiwa! Sasa hao amesikia msiba wao je wale wengine ambao hakusikia masaibu yaliyowakuta na wafanyeje wakati nchi yao ni hii hii na Rais wao ni yeye? Viongozi waache unafiki na waache ubaguzi kwa sababu huko mitaani kuna wazee kibao ambao hali zao mbaya na hawana watu wa kuwasaidia kiafya wala mahali pa kulala pia wapo watoto wengi sana wanaohitaji matibabu wazazi wao wamebaki kuzurura mitaani na kwenye vyombo vya habari kuomba misaada bila mafanikio.
Binafsi natoa wito kwa serikali kuboresha zaidi sekta ya afya kwa kuwekeza zaidi katika vifaa tiba,wataalamu wa afya na huku wakiweka gharama ambazo wengi watazimudu na pale inapotokea wachache miongoni mwetu wameshindwa kulipia gharama za matibabu basi kuwe na utaratibu maalum wa kuwasaidia kupata matibabu kama wengine lakini hii tabia ya kujifanya mwema kwa watu wachache tena bila ya vigezo vilivyo wazi,usikute ni kutokana na uhusiano binafsi kwa mmoja wa hao marehemu ndio kigezo kilichotumika.
Kwani Wazee si matibabu ni bure Tanzania nzima!? Na hata Kodi ya jengo wao hawalipi ni bure! Sasa hapa ndiyo sielewi Kama ni kweli matibabu kwa Wazee ni bure!!
 
Kwani Wazee si matibabu ni bure Tanzania nzima!? Na hata Kodi ya jengo wao hawalipi ni bure! Sasa hapa ndiyo sielewi Kama ni kweli matibabu kwa Wazee ni bure!!
Sio kweli mimi hapa ni mzee sijawahi kupewa hata aspirin bure !! Ukienda pale JKCI muhimbili ukionyesha kadi ya wazee utaelekezwa kwenye dawati liko pale utamkuta jamaa atakupiga maswali mpaka utachukia maana ni maswali ya kukudhalilisha !!

Eti unakaa kwenye nyumba au chumba nani anakulipia nani anakupa chakula !!
Yaani maswali ya kumdhalilisha Mzee !!
Bogus kabisa !!
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Chalamila amesema Rais Samia ameumizwa sana na vifo vya wanafamilia 4 waliofariki kwenye ajali huko Mbwewe Chalinze.

Chalamila amesema Rais Samia anajua kuwa Mzee Msuya na mkewe walikuwa wanawategemea watoto wao hawa waliofariki, hivyo ameagiza wazazi hawa wawe wanatibiwa kwa huduma ya VIP Class pale Muhimbili, JK, MOI na Hospital zote za Serikali.

Kadhalika kesho ujumbe wa Serikali utatembelea familia moja moja za marehemu hawa kutoa rambirambi rasmi za Serikali.

RIP Sia Msuya na ndugu zako.

Pia soma: Pwani: Magari yagongana uso kwa uso, wanne wafariki
Huku ni Ku tafuta Kiki za, kipuuzi, hii ni PR stunt ya kijinga sana, huwezi, Ku tafuta umaarufu kupitia msiba wa watu, kabla ya hapo wala halikuwa hawafahamu sasa kujipemdekeza kwa, ni ni?
Hiyo familia haipo vibaya kiiivyo!
Ni upuuzi, tu,
Yaani maccm akili zao, huwa, sawa,
Kipindi kile jeshi, LA, polisi lilivyomuua mwanafunzi wa ustawi wa jamii kwa risasi, IJP, Siro alienda kijijini kwa wazazi wa yule binti, kutoa rambi rambi, na wakaahidi kumsomesha mdogo wa marehemu!!
Yaani, umeua kwa uzembe, harafu unajikosha kutoa msaada.
 
Huku ni Ku tafuta Kiki za, kipuuzi, hii ni PR stunt ya kijinga sana, huwezi, Ku tafuta umaarufu kupitia msiba wa watu, kabla ya hapo wala halikuwa hawafahamu sasa kujipemdekeza kwa, ni ni?
Hiyo familia haipo vibaya kiiivyo!
Ni upuuzi, tu,
Yaani maccm akili zao, huwa, sawa,
Kipindi kile jeshi, LA, polisi lilivyomuua mwanafunzi wa ustawi wa jamii kwa risasi, IJP, Siro alienda kijijini kwa wazazi wa yule binti, kutoa rambi rambi, na wakaahidi kumsomesha mdogo wa marehemu!!
Yaani, umeua kwa uzembe, harafu unajikosha kutoa msaada.
Akwilina!!!
 
N
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Chalamila amesema Rais Samia ameumizwa sana na vifo vya wanafamilia 4 waliofariki kwenye ajali huko Mbwewe Chalinze.

Chalamila amesema Rais Samia anajua kuwa Mzee Msuya na mkewe walikuwa wanawategemea watoto wao hawa waliofariki, hivyo ameagiza wazazi hawa wawe wanatibiwa kwa huduma ya VIP Class pale Muhimbili, JK, MOI na Hospital zote za Serikali.

Kadhalika kesho ujumbe wa Serikali utatembelea familia moja moja za marehemu hawa kutoa rambirambi rasmi za Serikali.

RIP Sia Msuya na ndugu zako.

Pia soma: Pwani: Magari yagongana uso kwa uso, wanne wafariki
I sawa! Ila tumalize ya bandari kwanza.
 
Back
Top Bottom