Una mawazo finyu sanaKwangu mi naona poa tu, acha tushindane nao tuone mbinu zao na sisi tutoboe tuwe kama guangzhou
Huu ni uoga wa viongozi. Dunia ni kijiji, unaweza kwenda popote ukafanya kazi. Tunahitaji wageni sana watakaofanya kazi hadi za machinga.Rais Samia, amesema haiwezekani wageni kuingia nchini na kufanya biashara za machinga, huku akieleza kuwa vijana wetu (Kitanzania) watafanya nini? na kuagiza Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo kuhakikisha suala hilo linasimamiwa ipasavyo ili kulinda fursa za ajira kwa wananchi wa ndani.
Pia, Soma: Samia: Msiruhusu Wageni Kufanya Biashara za Wenyeji
Amechelewa. Yaweza kuwa gea ya kusaka kura na kupumbaza wadanganyika tu.Rais Samia, amesema haiwezekani wageni kuingia nchini na kufanya biashara za machinga, huku akieleza kuwa vijana wetu (Kitanzania) watafanya nini? na kuagiza Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo kuhakikisha suala hilo linasimamiwa ipasavyo ili kulinda fursa za ajira kwa wananchi wa ndani.
Pia, Soma: Samia: Msiruhusu Wageni Kufanya Biashara za Wenyeji
Acheni uoga na uvivu. Unahisi mchina atakudhibia ridhiki?Una mawazo finyu sana
Awaache tu hao wageni wafanye hizo biashara. Maana hao vijana wake anao wazungumzia, tayari wameshagundua biashara ya UCHAWA, na ambayo kwao ndiyo inalipa zaidi kuliko hiyo biashara ya umachinga.Rais Samia, amesema haiwezekani wageni kuingia nchini na kufanya biashara za machinga, huku akieleza kuwa vijana wetu (Kitanzania) watafanya nini? na kuagiza Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo kuhakikisha suala hilo linasimamiwa ipasavyo ili kulinda fursa za ajira kwa wananchi wa ndani.
Pia, Soma: Samia: Msiruhusu Wageni Kufanya Biashara za Wenyeji
Sio wameingiaje....Yaani kufanya kazi inabidi waongee na serikali (T.R.A) Sasa siku zoote hizo hawaonekaniKuna vitu vinachekesha aisee hao watu wameingiaje Tanzania😁😁
Hayo mbona kila siku anayasema na kuyarudia lkn hakuna kinachofanyika, wachina wapo hadi mtwara wamegeuka kangomba na wengine wanatembeza korosho kwenye mabasiRais Samia, amesema haiwezekani wageni kuingia nchini na kufanya biashara za machinga, huku akieleza kuwa vijana wetu (Kitanzania) watafanya nini? na kuagiza Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo kuhakikisha suala hilo linasimamiwa ipasavyo ili kulinda fursa za ajira kwa wananchi wa ndani.
Pia, Soma: Samia: Msiruhusu Wageni Kufanya Biashara za Wenyeji