Rais Samia aagiza wote waliotajwa kwa wizi wa Fedha za Umma kwenye Ripoti ya CAG washughulikiwe

Rais Samia aagiza wote waliotajwa kwa wizi wa Fedha za Umma kwenye Ripoti ya CAG washughulikiwe

Haya mambo mazito sana. Inamaana kumbe hii ripot ya CAG hua ni kutimiza wajibu tu, hili nalo hadi Mama alisemee kwamba waliotajwa kufuja pesa za umma wachukuliwe hatua? Kuna maana gani sasa ya kuwa na hiyo ripoti?
 
Rais wa Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania ikiwemo TAKUKURU Mhe Samia Suluhu Hassan amesema haya...

"Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"


==
Ukweli ni kwamba Tanzania sasa kumekucha na Rais ni Jemedari Mkuu Samia Suluhu Hassan

Moto kwa majizi yote ya fedha za umma ni rasmi sasa unawaka na siku zao zinahesabika kwa vidole,

Wale wote waliokuwa wanamchukulia " Poa Mama " sasa wakae mkao wa kunyolewa,

Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone,

Ushauri wangu nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea na kuangalia asiowataka tu,
Wanawachelewesha Wakamatwe haraka,
 
Rais wa Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania ikiwemo TAKUKURU Mhe Samia Suluhu Hassan amesema haya...

"Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"


==
Ukweli ni kwamba Tanzania sasa kumekucha na Rais ni Jemedari Mkuu Samia Suluhu Hassan

Moto kwa majizi yote ya fedha za umma ni rasmi sasa unawaka na siku zao zinahesabika kwa vidole.

Wale wote waliokuwa wanamchukulia " Poa Mama " sasa wakae mkao wa kunyolewa

Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone

Ushauri wangu nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea na kuangalia asiowataka tu
Mama ni another levels,
 
Rais wa Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania ikiwemo TAKUKURU Mhe Samia Suluhu Hassan amesema haya...

"Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"


==
Ukweli ni kwamba Tanzania sasa kumekucha na Rais ni Jemedari Mkuu Samia Suluhu Hassan

Moto kwa majizi yote ya fedha za umma ni rasmi sasa unawaka na siku zao zinahesabika kwa vidole.

Wale wote waliokuwa wanamchukulia " Poa Mama " sasa wakae mkao wa kunyolewa

Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone

Ushauri wangu nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea na kuangalia asiowataka tu
Sasa wewe JPM aliwachekea nani na hali walikoma paka wakakimbia nchi.

Uchawa uliopitiliza SANA
 
Anaweza? Hili sio suala la masikhara...asipepese macho akiletewa mafaili..haya mafaili yanamajina ambayo lazima usiku ukose usingizi..

vijana walimpima JPM walipompa faili fulani, naye akasema apigwe pingu tu hakuna namna dah wale vijana wakaona hiki kweli chuma ikabidi Mzee wa Lupaso aokoe jahazi, dah sijui ingekuaje leo hii japo naamini ungekuwa ndio mwanzo wa Tanzania waitakao wengi...ile movie mzee wa Lupaso angeicha tu mwisho wake..
Mkuu nasikia mpaka makofi MTU alipigwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha porojo kijana. Huyo mzee wako wa Lupaso na kijana wake kama wangekuwa na nguvu hizi unazozisema hapa, wasingetangulizwa udongoni kizembe zembe hivi.
Mkuu mm jambo hili nawaza sana, hawa jamaa wamelichezaje picha hilo , ama wametumia gia kubwa ya illuminat,
 
Wapigaji ni network, hata hao wanaoagizwa kuchunguza ni sehemu ya wapigaji. Hii michezo iko miaka nenda miaka rudi. Tutabaki na mwendo huu nenda mbele rudi nyuma.
Kama jeshi letu linaweza kuwa la kizalendo basi linatakiwa kuchukua hatua muafaka.
 
Anaweza? Hili sio suala la masikhara...asipepese macho akiletewa mafaili..haya mafaili yanamajina ambayo lazima usiku ukose usingizi..

vijana walimpima JPM walipompa faili fulani, naye akasema apigwe pingu tu hakuna namna dah wale vijana wakaona hiki kweli chuma ikabidi Mzee wa Lupaso aokoe jahazi, dah sijui ingekuaje leo hii japo naamini ungekuwa ndio mwanzo wa Tanzania waitakao wengi...ile movie mzee wa Lupaso angeicha tu mwisho wake..
Ondoeni hizi HADITHI za kijinga mtu wenu alikuwa anaumiza wasiomkubali tu hakuwa na lolote
 
Mnapenda sana kum overrate JPM ila jiulize Makonda na Sabaya wakati wanafanya madudu alikua haoni? Lugola na Nchambi walifungwa? Vipi waliobeba pesa za ESCROW Kwenye masandarusi wapo jela gani? Walioingiza serikali hasara ya matrillion kwenye Tanzanite na dhahabu wapo jela gani? In fact si alimpa Mwanyika ubunge wa Njombe?

JPM alikamata watendaji tu ila hakugusa wanasiasa, otherwise kamati Kuu nzima ya CCM wangekua jela sahivi.
Wapuuzi hao watu achana nao wanadhani watz wote ni mabwege
 
Wapigaji ni network, hata hao wanaoagizwa kuchunguza ni sehemu ya wapigaji. Hii michezo iko miaka nenda miaka rudi. Tutabaki na mwendo huu nenda mbele rudi nyuma.
Kama jeshi letu linaweza kuwa la kizalendo basi linatakiwa kuchukua hatua muafaka.
Daaah, Hii kali kwelikweli,
 
Rais wa Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania ikiwemo TAKUKURU Mhe Samia Suluhu Hassan amesema haya...

"Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"


==
Ukweli ni kwamba Tanzania sasa kumekucha na Rais ni Jemedari Mkuu Samia Suluhu Hassan

Moto kwa majizi yote ya fedha za umma ni rasmi sasa unawaka na siku zao zinahesabika kwa vidole.

Wale wote waliokuwa wanamchukulia " Poa Mama " sasa wakae mkao wa kunyolewa

Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone

Ushauri wangu nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea na kuangalia asiowataka tu
 
Rais wa Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania ikiwemo TAKUKURU Mhe Samia Suluhu Hassan amesema haya...

"Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"


==
Ukweli ni kwamba Tanzania sasa kumekucha na Rais ni Jemedari Mkuu Samia Suluhu Hassan

Moto kwa majizi yote ya fedha za umma ni rasmi sasa unawaka na siku zao zinahesabika kwa vidole.

Wale wote waliokuwa wanamchukulia " Poa Mama " sasa wakae mkao wa kunyolewa

Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone

Ushauri wangu nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea na kuangalia asiowataka tu
 
Rais wa Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania ikiwemo TAKUKURU Mhe Samia Suluhu Hassan amesema haya...

"Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"


==
Ukweli ni kwamba Tanzania sasa kumekucha na Rais ni Jemedari Mkuu Samia Suluhu Hassan

Moto kwa majizi yote ya fedha za umma ni rasmi sasa unawaka na siku zao zinahesabika kwa vidole.

Wale wote waliokuwa wanamchukulia " Poa Mama " sasa wakae mkao wa kunyolewa

Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone

Ushauri wangu nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea na kuangalia asiowataka tu
Hakuna jipya, tatizo lipo kwenye mfumo
 
Back
Top Bottom