Rais Samia aajiri vijana 18,449 serikalini kukuza ufanisi wa kazi

Rais Samia aajiri vijana 18,449 serikalini kukuza ufanisi wa kazi

Hivi vyeti feki walitolewa wangapi?, Vipi kuhusu watumishi hewa?, Na ndio maana mwamba alisema wazi haiwezekani miaka yote hii tunalipa wafanyakazi hewa na kazi zinaenda basi tuwatoe hawa hewa na vyeti feki na kisha ndio masuala mengine yaendelee
 
Rais Samia Suluhu Hassan ameendeleza juhudi zake za kuwawezesha vijana na kuboresha ufanisi wa kazi katika taasisi za serikali. Ndani ya miezi sita ya kwanza ya mwaka 2023,serikali imeajili vijana 18,449.

Idadi hiyo inajumuisha walimu wapatao 13,130 ambao wamepata nafasi za ajira katika sekta ya elimu. Aidha, kada ya Afya imepokea watumishi wapya 5,319, wanaosaidia kuboresha huduma za afya kwa wananchi.

Licha ya mipango mbalimbali ya kuwawezesha vijana kujiajiri, Rais Samia ameendelea kutoa vibali vya ajira kwa taasisi za serikali zenye uhitaji. Hatua hii inalenga kutoa fursa kwa vijana wenye ujuzi na talanta, wakati huo huo kukuza ufanisi wa kazi katika taasisi hizo.

Rais Samia ameonyesha dhamira yake ya kusaidia vijana kujenga kazi na kuchangia katika maendeleo ya nchi. Utekelezaji wa sera hii ya ajira kwa vijana unaonyesha nia ya serikali ya kujenga taifa lenye nguvu kazi ya vijana wenye ujuzi na kuchangia katika ukuaji wa uchumi.

Mafanikio haya yanathibitisha jitihada za serikali katika kutoa fursa za ajira kwa vijana na kuboresha sekta muhimu kama elimu na afya. Wananchi wana matumaini kuwa hatua hii italeta mabadiliko chanya katika utoaji wa huduma na kukuza ustawi wa taifa.
ASANTE Mama Samia. Wakumbuke na wale vijana "Contractors" kule TANESCO wametumika muda mrefu bila ajiria. REA haieleweki.
 
Rais Samia Suluhu Hassan ameendeleza juhudi zake za kuwawezesha vijana na kuboresha ufanisi wa kazi katika taasisi za serikali. Ndani ya miezi sita ya kwanza ya mwaka 2023,serikali imeajili vijana 18,449.

Idadi hiyo inajumuisha walimu wapatao 13,130 ambao wamepata nafasi za ajira katika sekta ya elimu. Aidha, kada ya Afya imepokea watumishi wapya 5,319, wanaosaidia kuboresha huduma za afya kwa wananchi.

Licha ya mipango mbalimbali ya kuwawezesha vijana kujiajiri, Rais Samia ameendelea kutoa vibali vya ajira kwa taasisi za serikali zenye uhitaji. Hatua hii inalenga kutoa fursa kwa vijana wenye ujuzi na talanta, wakati huo huo kukuza ufanisi wa kazi katika taasisi hizo.

Rais Samia ameonyesha dhamira yake ya kusaidia vijana kujenga kazi na kuchangia katika maendeleo ya nchi. Utekelezaji wa sera hii ya ajira kwa vijana unaonyesha nia ya serikali ya kujenga taifa lenye nguvu kazi ya vijana wenye ujuzi na kuchangia katika ukuaji wa uchumi.

Mafanikio haya yanathibitisha jitihada za serikali katika kutoa fursa za ajira kwa vijana na kuboresha sekta muhimu kama elimu na afya. Wananchi wana matumaini kuwa hatua hii italeta mabadiliko chanya katika utoaji wa huduma na kukuza ustawi wa taifa.
AJIRA ZA NCHI NI KADA 2 TU UALIMU NA UNESI KADA NYINGINE FANYENI UMACHINGA
 
Rais Samia Suluhu Hassan ameendeleza juhudi zake za kuwawezesha vijana na kuboresha ufanisi wa kazi katika taasisi za serikali. Ndani ya miezi sita ya kwanza ya mwaka 2023,serikali imeajili vijana 18,449.

Idadi hiyo inajumuisha walimu wapatao 13,130 ambao wamepata nafasi za ajira katika sekta ya elimu. Aidha, kada ya Afya imepokea watumishi wapya 5,319, wanaosaidia kuboresha huduma za afya kwa wananchi.

Licha ya mipango mbalimbali ya kuwawezesha vijana kujiajiri, Rais Samia ameendelea kutoa vibali vya ajira kwa taasisi za serikali zenye uhitaji. Hatua hii inalenga kutoa fursa kwa vijana wenye ujuzi na talanta, wakati huo huo kukuza ufanisi wa kazi katika taasisi hizo.

Rais Samia ameonyesha dhamira yake ya kusaidia vijana kujenga kazi na kuchangia katika maendeleo ya nchi. Utekelezaji wa sera hii ya ajira kwa vijana unaonyesha nia ya serikali ya kujenga taifa lenye nguvu kazi ya vijana wenye ujuzi na kuchangia katika ukuaji wa uchumi.

Mafanikio haya yanathibitisha jitihada za serikali katika kutoa fursa za ajira kwa vijana na kuboresha sekta muhimu kama elimu na afya. Wananchi wana matumaini kuwa hatua hii italeta mabadiliko chanya katika utoaji wa huduma na kukuza ustawi wa taifa.
Hakuna Rais atakuja kuvunja rekodi hii..

Mwisho ilitakiwa Ajira 21,000 zingine hasa za Afya zimeenda wapi? Wameajiri elfu 5 badala ya elfu 8 kulikoni?
 
sasa angekuwa kma mama hivi miaka yake mitano bwam yule Vijaja wengi wengekuwa vizur msongamano ungepungua kuliko uliopo saivi, Jiwe alisababisha umasikini endelefu kidogo kwa vijana wa taifa hili,
Kuna wapumbavu wanamsifu 😁😁
 
Hivi vyeti feki walitolewa wangapi?, Vipi kuhusu watumishi hewa?, Na ndio maana mwamba alisema wazi haiwezekani miaka yote hii tunalipa wafanyakazi hewa na kazi zinaenda basi tuwatoe hawa hewa na vyeti feki na kisha ndio masuala mengine yaendelee
Tukusaidiaje au mfuate kaburini maana huelewi hata ulichoandika,kisome uone.
 
Loliondo amechukua wanyama wote Sasa sijui hizo fedha zimekusaidiaje
Amechukua wanyama wote kawapeleka wapi? 🤣🤣🤣🤣

Ndio kwanza Simba na faru wameongezeka..

Mwisho amenisaidia Kwa wadogo zangu kupata Ajira ambazo zilishindikana Kwa Mwendazake..

Sasa wewe ambae ulikuwa unaona hela za Bandari ulinisaisia nini? Uliza swali jingine
 
Amechukua wanyama wote kawapeleka wapi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ndio kwanza Simba na faru wameongezeka..

Mwisho amenisaidia Kwa wadogo zangu kupata Ajira ambazo zilishindikana Kwa Mwendazake..

Sasa wewe ambae ulikuwa unaona hela za Bandari ulinisaisia nini? Uliza swali jingine
kesho wanakuja kukuchukua wewe ambayo ni chawa
 
Back
Top Bottom