Pre GE2025 Rais Samia aamsha shangwe baada ya kuwalipia tiketi abiria wote waliosafiri kwa treni ya kisasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kulipia nauli raia ama kuwapa free entry Kuna impact gani kwa mtanzania anae ishi mwabagalu..
 
Upotevu wa fedha huo
 
Kwann asiongezee bidii kwa kujitolea na hizo pesa za mfukoni kwake ili kuokoa maisha ya wananchi wake?? Kuliko kulipia nauli watu ambao wana uwezo wa kuandaa safari ili wakashangae treni
 
Kwann asiongezee bidii kwa kujitolea na hizo pesa za mfukoni kwake ili kuokoa maisha ya wananchi wake?? Kuliko kulipia nauli watu ambao wana uwezo wa kuandaa safari ili wakashangae treni
Niambie ni wapi ambako Rais Samia hajafikisha mkono wake na kugusa maisha ya watu, kwa kuyapatia matumaini na nuru.
 
Nimependa sana huo ukarimu wa mama.
Napenda kujua namna alivyowalipia.Jee walikuwa wameshakata tiketi wakarudishiwa pesa au lilitoka tangazo kabla ya kukata tiketi kuwa watalipiwa.
Nahofia lingetoka tangazo la kulipiwa mwanzo watu wengi wasio na jamaa huko waendako wangejaza treni nzima na wenye shida ya kusafiri wangeshindwa kwa kiminyano cha kupata viti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…