Rais Samia acha kutafuta chaka la kujifichia. Anayetukana sheria ichukue mkondo wake

Rais Samia acha kutafuta chaka la kujifichia. Anayetukana sheria ichukue mkondo wake

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Kutukana ni kosa kisheria. Yeyote anayetukana ama kwenye mkutano wa hadhara au nyumbani kwake, ametenda kosa.

Sasa inashangaza rais anatupotezea muda kwa kulalamika, eti Kuna watu wanatukana. Rais analalamika?

Hii ni ishara ya rais kukosa hoja.

Screenshot_20230911-171633.png
 
Kutukana ni kosa kisheria. Yeyote anayetukana ama kwenye mkutano wa hadhara au nyumbani kwake, ametenda kosa.

Sasa inashangaza rais anatupoteza muda kwa kulalamika, eti Kuna watu wanatukana. Rais analalamika?

Hii ninishara ya rais kukosa hoja.

View attachment 2746068
He he he he Bitozo kaishiwa pumzi. Anarukaruka tu
 
Kutukana ni kosa kisheria. Yeyote anayetukana ama kwenye mkutano wa hadhara au nyumbani kwake, ametenda kosa.

Sasa inashangaza rais anatupoteza muda kwa kulalamika, eti Kuna watu wanatukana. Rais analalamika?

Hii ninishara ya rais kukosa hoja.

View attachment 2746068
Itachukua tu we mzee

Tukana uone
 
Samia msanii tu, anajua siasa za majukwaani haziwezi, aende akaongee nini kule walikopita kina Mbowe na Lissu watu wamuelewe?

Anajua ameharibu pakubwa haaminiwi tena, anachofanya sasa ni kutafuta visingizio tu vya kujikwepesha kujibu hoja na maswali anayoulizwa na wapinzani wake, aliyoshindwa kuyajibu mpaka akaamua kutuzibia masikio.

Sasa ndio ameona ajifichie hapo kwenye "matusi" hivi kwanza hayo matusi ameyasikia kwa masikio gani? yale aliyoziba? au amehadithiwa anatukanwa na wakina Chongolo na Kinana?

Aache usanii wake.
 
Mbona anatuongoza toka March 19, 2021 na nchi imetulia. Unataka atuongoze kivipi tena?
Tanzania imetulia siku zote kwakuwa ni ya makondoo, hata isingekuwa na rais sisi ni wa baridi tu. Kwahiyo hakuna utulivu wowote umeletwa na ubora wa uongozi, bali automatically sisi ni makondoo.

Mama Samia anachomekea anatukanwa maana siku hizi huo ndio utetezi wa CCM wanapopewa ukweli mchungu. Na sababu hasa ya kuona wanatukanwa ni huu mtindo wa chawa kumsifia rais kinafiki, analewa sifa hadi akiambiwa ukweli anasema ni kutukanwa. Nakumbuka kipindi cha dhalimu hili neno kutukanwa lilitumika sana ili kuhadaa umma.
 
Huyu mama hana upeo wa kuweza kuongoza nchi.
Hivi ili mtu aweze kuongoza nchi inabidi aweje??
Maana wengi wetu humu hata kuniongoza wenyewe hatuwezi, kuongoza mahusiano ya wawili tuu hatuwezi, kuongoza familia ni shida.
Kujikomboa kiuchumi kwaajili yetu wenyewe shidaa.
Kujiajiri tuu shida, kushirikiana na jamii katika masuala mbalimbali ngumu mno.
Tukikosolewa na mtu weee unaweza hata ukatamani umuue.. Na hatukubali hata kushauriwa.

Ila ndio sisi sisi tunaouchambua uchumi wa nchi, chambua viongozi sijui kashindwa au kafeli au hawezi kitu.
Wengine tunakosoa kwa lugha chafu zisizo na staha zenye kuudhi na kutia hasira..

Halafu tunataka tunaemkosea au kumkosoa ajibu Amina maana yeye ni Malaika ana moyo wa upepo.

Ila akithubutu kutujibu nongwa na matusi, kejeli, dharau na kusema hakutakiwa kusema hivi wala vile.

Tunamtaka Rais au kiongozi yeyote avumilie chochote anachoambiwa ila sisi humu humu kwenye jukwaa hatuvumiani.

Ole wako uwe na mtazamo au maoni tofauti au ushauri utakula matusi mpaka utamani kuua mtu...

Tunitathimini sana sana, tujikague sana mioyoni mwetu kama sisi ni wakamilifu kuliko hao tunao washambulia kila siku.

Mimi huwa napenda kukosoa kwenye mambo ambayo mimi nimefanikiwa vizuri..

Utasikia Serikali ibuni vyanzo vipya vya mapato wakati anayesema hivyo yeye mwenyewe hana hata chanzo chochote cha mapato, hajui hata abuni nini mamskini. Kachapwa na maisha na kachapika haswaa.

Huwa siwapendi kabisa watawala wetu lakini huwa nachukia zaidi kuwashambulia kwa kufuata mikumbo tuu na vishawishi vya kisiasa.

Nchi yetu hii ukiwatazama hata hao wakosoaji yaani hadi unacheka.

KUKOSOA NDIO KAZI RAHISI KULIKO ZOTE DUNIANI NDIO MAANA WAJINGA WOTE HUJAZANA KWENYE SEKTA HIYO.
 
Kutukana ni kosa kisheria. Yeyote anayetukana ama kwenye mkutano wa hadhara au nyumbani kwake, ametenda kosa.

Sasa inashangaza rais anatupoteza muda kwa kulalamika, eti Kuna watu wanatukana. Rais analalamika?

Hii ninishara ya rais kukosa hoja.

View attachment 2746068
Hotuba yake ya leo umetuonyesha yeye ni mtu wa aina gani. Ana jazba, hajiamini, ana Uswahili mwingi na ni mwanamke zaidi kuliko rais
 
Hivi ili mtu aweze kuongoza nchi inabidi aweje??
Maana wengi wetu humu hata kuniongoza wenyewe hatuwezi, kuongoza mahusiano ya wawili tuu hatuwezi, kuongoza familia ni shida.
Kujikomboa kiuchumi kwaajili yetu wenyewe shidaa.
Kujiajiri tuu shida, kushirikiana na jamii katika masuala mbalimbali ngumu mno.
Tukikosolewa na mtu weee unaweza hata ukatamani umuue.. Na hatukubali hata kushauriwa.

Ila ndio sisi sisi tunaouchambua uchumi wa nchi, chambua viongozi sijui kashindwa au kafeli au hawezi kitu.
Wengine tunakosoa kwa lugha chafu zisizo na staha zenye kuudhi na kutia hasira..

Halafu tunataka tunaemkosea au kumkosoa ajibu Amina maana yeye ni Malaika ana moyo wa upepo.

Ila akithubutu kutujibu nongwa na matusi, kejeli, dharau na kusema hakutakiwa kusema hivi wala vile.

Tunamtaka Rais au kiongozi yeyote avumilie chochote anachoambiwa ila sisi humu humu kwenye jukwaa hatuvumiani.

Ole wako uwe na mtazamo au maoni tofauti au ushauri utakula matusi mpaka utamani kuua mtu...

Tunitathimini sana sana, tujikague sana mioyoni mwetu kama sisi ni wakamilifu kuliko hao tunao washambulia kila siku.

Mimi huwa napenda kukosoa kwenye mambo ambayo mimi nimefanikiwa vizuri..

Utasikia Serikali ibuni vyanzo vipya vya mapato wakati anayesema hivyo yeye mwenyewe hana hata chanzo chochote cha mapato, hajui hata abuni nini mamskini. Kachapwa na maisha na kachapika haswaa.

Huwa siwapendi kabisa watawala wetu lakini huwa nachukia zaidi kuwashambulia kwa kufuata mikumbo tuu na vishawishi vya kisiasa.

Nchi yetu hii ukiwatazama hata hao wakosoaji yaani hadi unacheka.

KUKOSOA NDIO KAZI RAHISI KULIKO ZOTE DUNIANI NDIO MAANA WAJINGA WOTE HUJAZANA KWENYE SEKTA HIYO.
Swali dogo hivyo ndiyo uitake tuzo ya Oscar kwa uandishi mrefu hivi?
 
Back
Top Bottom