Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Ni wapi mkuu nimeonyesha kuvutiwa na dhalimu?Kwa hiyo na wewe unamtamani DHALIMU afufuke arudi kwenye kiti chake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wapi mkuu nimeonyesha kuvutiwa na dhalimu?Kwa hiyo na wewe unamtamani DHALIMU afufuke arudi kwenye kiti chake?
Kuna wakati hata referee wa chandimu anaweza kumuita mchezaji na kumwambia "oya Madenge unacheza rafu sana hebu jirekebishe".Kama kweli wanasiasa wanatukana majukwaani sidhani kama ni kosa kwa Rais kuonya kwa njia hii.nashangaa sheria zipo wazi, Sasa malalamiko ya nn! mkuu wa nchi unalalamika inashangaza.