Kuna wakati hata referee wa chandimu anaweza kumuita mchezaji na kumwambia "oya Madenge unacheza rafu sana hebu jirekebishe".Kama kweli wanasiasa wanatukana majukwaani sidhani kama ni kosa kwa Rais kuonya kwa njia hii.
Tukusoane kwa heshima na siyo matusi.