Rais Samia; Achana na hoja ya Haki Sawa inakupotezea Ushawishi ndani ya jamii

Rais Samia; Achana na hoja ya Haki Sawa inakupotezea Ushawishi ndani ya jamii

Hoja ya kijinsia ya kutetea wanawake inapendeza ikiongelewa na mwanaume, ikiongelewa na kusisitizwa na kulazimishwa na mwanamke inaonekana Kama ni ubabe. Huyu Mama angewafunda wanawake wenzake kuheshimu wanaume angeona jinsi wanaume wanavyowatetea wanawake na kwa style hii ataanzisha vita baridi baina ya wanawake na wanaume.


Nafikiri unaishi mtaani
 
Bi mkubwa nakukumbusha just in case ulisahau mwaka fulani ulialikwa na wanawake kama.mgeni rasmi katika siku ya wanawake duniani enzi hizo ukiwa Makamu wa Rais.

Siku hiyo uliwaambia wanawake kwamba wewe pamoja na kuwa Makamu wa Rais ila ukifika nyumbani unakuwa mke na unapiga magoti kwa mumeo na kumuandalia chakula, leo umesahau ile kauli ya kwamba wanawake hawapo sawa na wanaume? Dini yako ya kiislam imekulea hivyo? Havi mashababi na maulamaa saivi wanakutazama tu.

Sipati picha Talibani wanatutazamaje sa hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1956813View attachment 1956814View attachment 1956815


Hapo kwenye picha tuu ndio ulipoharibu Mkuu.

Kwingine uko sawa
 
RAIS SAMIA, ACHANA NA HOJA YA HAKI SAWA. INAKUPOTEZEA USHAWISHI NDANI YA JAMII.

Na, Robert Heriel.

Kwa maoni na mtazamo wangu ambao kimsingi nauamini, ninaona mbele zaidi miaka kadhaa ijayo. Naomba Mhe. Rais uachane na hoja ya Haki Sawa bhaina ya Mwanamke na Mwanaume.

Hakunaga haki Sawa baina ya mwanamke na Mwanaume.
Nature ipo hivyo na ndivyo ilivyoamua. Kwa kawaida watu wote wanaolazimisha usawa wa haki Kwa vitu tofauti hupambana na Nature/Asili. Hupambana na Dunia ambaye ndiye Mama wa wote tuliopo Duniani, achilia mbali Mungu Baba muumba wa Dunia na vyote vilivyomo.

Mama Samia, nakusihi achana na hoja hiyo ikiwezekana usiizungumzie tena uwapo kwenye majukwaa. Ni afadhali Wasaidizi wako wa chini ndio uwape jukumu Hilo la kulizungumzia Jambo hilo, lakini wewe Kama Rais achana nalo Hilo. Linakupotezea Ushawishi mkubwa katika Mazingira halisi na yakawaida.

Hakunaga haki Sawa Kwa vitu ambavyo havipo Sawa. Hakunaga usawa Kwa vitu vyenye wajibu na majukumu tofauti.
Wanawake Wana haki zao, na wanaume wanahaki zao kulingana na jinsia.
Watoto wanahaki zao na watu wazima wanahaki zao kulingana na hirimu, rika na umri.

Kidini, katika dini kubwa zote na hapa naomba nizitaje, Dini ya kiislamu Kwa madhehebu yake yote, hakuna haki Sawa baina ya mwanamke na Mwanaume. Mwanaume anapewa nafasi zaidi kuliko mwanamke
Dini ya Kikristo Kwa madhehebu yake mengi, Hakuna hayo mambo ya Haki Sawa.
Dini zote za kiutamaduni za Afrika, hakuna haki Sawa baina ya mwanamke na Mwanaume.

Labda Wapagani ndio huweza kuwa na usawa katika mambo yasiyo Sawa.

Nataka kusema nini Mhe. Rais?

Hili suala la Haki Sawa achana nalo kabisa, na Kama lipo moyoni mwako na unalipenda, nakushauri tafuta watu wakulisemea wawe vipaza sauti vyako wewe jifiche na uendelee na hoja zingine.

Wanawake wenyewe wanajijua hawapo Sawa na Wanaume alafu unawaambia wapo Sawa Kwa kweli haikai vizuri. Sisi ambao tuko mtaani, vijiweni au hata watu wako wanaweza kukupa mrejesho katika hili, mtaani hakunaga hayo mambo ya Haki Sawa.

Na usijesema ni Sisi wanaume ndio tunawakandamiza bali hata wanawake wenyewe wengi wao hawautaki huo mfumo wa haki Sawa baina ya mwanamke na Mwanaume.

Mfumo dume ndio mfume sahihi na unaopendwa na Nature Duniani kote, hata Kwa hao wazungu mfumo dume upo licha ya wao kupambana Karne Kwa Karne kuuondoa.

Mhe. Samia, hoja ya Haki Sawa inakuondolea ushawishi ndani ya jamii mpaka Kwa wanawake wengi.

Nitakupa Mfano,
Kuna Mama mmoja anaitwa Joyce Kiria nafikiri niwa WANAWAKE LIVE.
Huyu Mama tangu nimjue anapigania zaidi haki za wanawake, Kwa sehemu kubwa anafanya vizuri kutetea haki za wanawake, ingawaje kuna sehemu anapuyanga lakini hiyo sio hoja ya leo.

Dada Joyce hana uungwaji Mkono mkubwa, Hana ushawishi mkubwa ndani ya jamii licha ya kufahamika zaidi ya miaka kumi sasa.
Sababu kubwa inayopelekea asiwe na ushawishi licha ya kufurukuta ni kutaka kusawazisha Gap baina ya mwanamke na Mwanaume. Anapambana na Nature Jambo ambalo ni hakika atashindwa na ameshashindwa.

Lakini ukiangalia wanawake wenzake ambao haya miaka kumi huenda hawana, yaani wajuzi juzi, kina Dada Irene Mbowe, kina Pastor Rose Shaboka hawa wanaushawishi mkubwa Sana na wanapendwa na kufuatiliwa ndani ya jamii Kwa sababu wanatetea haki za wanawake lakini sio kutaka HAKI SAWA.

Mhe. Rais nataka ujue kwenye nchi yetu mambo yapo Sawa kabisa, changamoto zilizopo ni ndogo Sana. Mpaka unakuwa Rais ni majibu kuwa nchi hii wanawake mnanafasi kubwa ndani ya nchi lakini hampo Sawa Kama wanaume.
Ukweli ni kuwa hamtakuja muwe Sawa na Wanaume dunia ingalipo.

Taifa la Marekani ambalo linajitia ndio Baba WA demokrasia na haki za binadamu mpaka hivi leo tangu lipate uhuru miaka ya karne ya 18 mpaka hivi leo Karne zaidi ya mbili unusu halijatawaliwa na Mwanamke. Hivyo Kwa nchi yetu changa wewe kuwa Rais na ukiwa Kama mwanamke ni Jambo la kushukuru Mungu na kuiona nchi hii inawajali na kuwathamini WANAWAKE.

Kama nchi ingekuwa haiwajali wanawake ni wazi Leo hii usingekuwa Rais, wala baadhi ya viongozi wakubwa wakike wasingekuwa kwenye nafasi hiyo.

Sikatai changamoto zipo lakini hiyo ni Nature kwani hata wanaume wenyewe nao wanapata changamoto hizo hizo.

Mhe. Rais, kitu ambacho nahisi/Kwa hisia zangu, wanawake wengi hawakijui ni kuwa changamoto mnazopitia wanawake kwenye harakati za maisha ndizo hizo hizo wanazopitia Wanaume.

Sema wanawake wanapenda mambo rahisi, wanapenda kupendelewa, wanapenda kupewa hata Kwa wasichokitolea jasho, Jambo ambalo ni ngumu.

Mhe. Rais, utaungana na Mimi kuna kazi za wanaume na zipo kazi za wanawake, Hilo halihitaji ubishi. Lakini haimaanishi Kazi ikiwa yakiume haiwezi kufanywa na Mwanamke, halikadhalika na kazi ikiwa ya kike haiwezi kufanywa na Mwanaume.

Ndio maana hata vitabu vya dini vinaeleza kuwa, Mwanaume atakula Kwa jasho, na Mwanamke atazaa Kwa uchungu.

Kuongoza au kutawala ni KAZI ya kiume. Lakini haimaanishi wanawake hawawezi kuifanya, wanaweza, lakini kutokana na Nature na maumbile ya wanawake walivyo hawataki kuvuja jasho, hawataki kuhenyeka ndio maana Mungu akaona kazi hiyo wanaume ndio waifanye.

Sasa Kwa vile dunia inageuka wanawake nao wanataka kufanya kazi za kiume, Kazi za kuvunja jasho lakini hawataki kuvuja jasho hapo ndio tatizo linapotokea.

Ndugu Mhe. Rais Samia Suluhu.
Hapa Duniani hakuna mwanaume yeyote aliyepata Urais au uongozi wowote wa juu pasipo kuhenyeka, pasipo kutoa jasho, pasipo kupelekwa Msobe Msobe. Hayo ni mambo ya kawaida kwenye maisha ya kuvuja jasho, kazi za kiume.

Hata katika mambo ya kawaida, iwe utafutaji wa maisha, wanaume tunavuja jasho, tunahenyeka, ndio maana kuna muimbaji aliwahi Imba "Wanaume tumeumbwa Mateso kuhangaika"
Hii ni tofauti na nyie.

Wanawake mnapenda upendeleo hata Kwa kuvunja kanuni ya Asili. Yaani ufanye kazi ya kiume alafu hutaki kuvuja jasho, ukihenyeshwa kidogo mnasema mnanyanyaswa, mnakandamizwa, sijui mnatukanwa na kudhalilishwa,
Ukijiingiza kwenye kazi za kiume hayo ni mambo yakawaida Sana. Huko ndilo kuvuja jasho.

Wanawake wanafikiri kuwa wanaume wakienda kuomba kazi basi tunapata kirahisi Kwa sababu ya uanaume wetu. Wakati mambo ya kuzinguliwa, kutukanwa na kunyanyaswa kwetu ni ishu ya kawaida mno, Kwa sababu kwetu wanaume tunapenda kurahisisha mambo.

Kuhusu kuombwa Rushwa hata wanaume tunaombwa Rushwa. Iwe ya Pesa au ya ngono.
Kuna rafiki yangu yeye ni mchezaji mpira, miaka kadhaa iliyopita alipata bingo la kuchezea timu Fulani kubwa hapa Bongo, baada ya hatua zote za kusajiliwa kukaribia kukamilika, yule aliyemuunganisha akampeleka Kwa boss mmoja hivi,
Hiyo Boss akamuomba Uroda Mshikaji, yaani mwanaume anaombwa kulalwa na Mwanaume mwenzake.

Mshikaji sharti hilo likamshinda na kazi akakosa. Yupo mpaka Leo anaranda Randa na Timu za mchangani huko Morogoro.
Jamaa halalamiki

Lakini Kwa wanawake wanavyopenda kulalamika hii kwao ingekuwa big deal.

Mhe. Rais, nataka nikuambie kuwa, unaposema haki Sawa naomba uwaambie pia nao wajiandae Kuvuja jasho. Wasidhani mambo ni mteremko kisa wao ni wanawake.

Hakuna upendeleo hapa, jasho lazima mvuje ikiwa tuu mtajiingiza kwenye kazi za Kiume.

Lazima mnyanyaswe, mkandamizwe, ikiwezekana mteseke Kwa sababu mmetaka mambo yasiyo wahusu.

Heshima mliyo nayo wanawake ni kubwa na inawatosha, lakini Kwa vile mnataka heshima zaidi na yamwanaume ambayo kimsingi sio asili yenu basi hamna budi kuvuja jasho, kuteswa na kunyanyaswa.

Kwa mfano,
Wanawake wanataka haki ya kufanya kazi na kumiliki Mali Kama wanaume,
Tumewapa hiyo nafasi, mnafanya kazi, lakini ajabu ni kuwa mkiambiwa mchangie pato la Familia mnasema hela ya mwanamke niya mwanamke, ya mwanaume ndio ya familia, huo ni upumbavu, tena kwa mwanaume Kama Mimi nakuzaba makofi. Sasa unaenda kufanya kazi ili iweje.

Hutaki kuchangia pato la familia kaa nyumbani lea familia nakuletea pesa, ukijitia kihere here kunisaidia kuvuja jasho/kutaka kufanya kazi ya kuzalisha kipato basi utagewa na majukumu ya kipato ulichozalisha Kwa sehemu.


Mwisho;
Wanawake tunawapenda, na ndio maana tunafanya kila liwezekanalo ili mfurahi.
Mkijiingiza kwenye kazi za kiume jueni kuvuja jasho hakuepukiki Jambo ambalo ninyi hamlitaki.

Mhe. Samia. Achana na hoja ya Haki Sawa haitakujenga wala kuijenga jamii kivyovyote vile.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Hii ngoja tukaipost kwenye instagram account yake maana naona kakomalia kitu hakiwezekani....kila kukicha oooh wanaume bila sisi wasingekuwapo yumewazaa sisi...mbegu wanatoaga wapi??
Aachane na hii hoja haimjengi bali inambomoa...kuna mambo ya msingi ya yeye kufanya sio kupiga ngumi ukutani...
 
Mwanamke yeyote mwenye malezi bora ya kiafrika anajua nafasi ya baba/mwanaume na mama/mwanamke name abadan hawezi kutaka wawesawa...
Siasa za kijinga zinatufanya tuuache ukweli ili kutafuta sifa za kisiasa nahivyo kuvuna kura kwa kugawa watu.
Mwanaume ni mwanaume hakuna wakuligeuza hilo naye alipewa dunia aitawale kisha akapewa msaidizi.
msaidizi wa ndani hawezi kugeuka Kuwa mkuu wa nyumba.
Mama anajua Nchi bado iko na wajinga wengi watamuunga mkono

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
 
Mwanamke yeyote mwenye malezi bora ya kiafrika anajua nafasi ya baba/mwanaume na mama/mwanamke name abadan hawezi kutaka wawesawa...
Siasa za kijinga zinatufanya tuuache ukweli ili kutafuta sifa za kisiasa nahivyo kuvuna kura kwa kugawa watu.
Mwanaume ni mwanaume hakuna wakuligeuza hilo naye alipewa dunia aitawale kisha akapewa msaidizi.
msaidizi wa ndani hawezi kugeuka Kuwa mkuu wa nyumba.


Kama watahitaji Uanaume basi wasikatae na Mateso yake
 
Hoja ya kijinsia ya kutetea wanawake inapendeza ikiongelewa na mwanaume, ikiongelewa na kusisitizwa na kulazimishwa na mwanamke inaonekana Kama ni ubabe. Huyu Mama angewafunda wanawake wenzake kuheshimu wanaume angeona jinsi wanaume wanavyowatetea wanawake na kwa style hii ataanzisha vita baridi baina ya wanawake na wanaume.
Keshaanzisha vita baridi...mke wangu hamkubali kabisa na mie ndio najazia hapo hapo namkandia anazidi kumkataa...bi mkubwa wangu hamuelewi kabisa...
 
Hii ngoja tukaipost kwenye instagram account yake maana naona kakomalia kitu hakiwezekani....kila kukicha oooh wanaume bila sisi wasingekuwapo yumewazaa sisi...mbegu wanatoaga wapi??
Aachane na hii hoja haimjengi bali inambomoa...kuna mambo ya msingi ya yeye kufanya sio kupiga ngumi ukutani...


Upo sahihi kabisa
 
Sasa kama hana hoja za maana na za kimaendeleo afanyeje?Hiyo ndiyo hoja pekee aliyonayo.Hilo ndilo chaka lake la kuficha madhaifu ya uongozi wake.

Unamlazimisha aongee cha maana ambacho hana?Unamlazimisha aongee cha maana wakati kichwani ni debe tupu?

Cha maana ni sisi sasa kufanya yetu kwa kuwa mamlaka hutoka kwetu na uwezo wa kumweka pembeni tunao.


😄😄😄😄

We jamaa unanifurahishaga kweli.

Mimi nafikiri hii ni ishu ndogo tuu, mbona kwingine Yuko vizuri tuu mkuu
 
Hayupo vizuri sehemu yoyote ile.Tunapaswa tumpumzishe mara moja.

Mimi namuona kama Rais Mzuri anayeenda kuwa bora kama ataachana na kujiona duni kwa jinsia yake.

Huoni tangu aingie hata kuandika makala zinazomkosa Rais kwangu ni kama zimepungua, ni kutokana naona hakuna mapungufu makubwa yanayodhuru na kuumiza watu
 
Kwa wale waumini wenye imani juu ya uwepo wa Mungu Muumbaji, basi hutambua bayana kuwa mwanamke aliumbwa kwa kusudi kuwa ni msaidizi wa mwanaume. Kwa mantiki hiyo hakuna hakuna haki sawa kati yao kupitia majukumu waliyopewa na Muumba wao.

Kwa kupitia maandiko matakatifu tunapata maarifa ya kwamba, mara baada ya wanadamu wa kwanza kuanguka dhambini na kufukuzwa katika bustani ya Edeni, walipewa majukumu ya kudumu. Mwanaume alipewa jukumu la kufanya kazi kupitia nguvu zake ili aweze kuishi na kuitunza familia yake, bali mwanamke alipewa majukumu ya nyumbani ikiwemo la kuzaa na kuongea uzao wa wanadamu.

Kwa si jambo jema kwa mtu kusimama mbele za viongozi wa kidini na kuwahubiria kuhusu kile kinachokinzana na ukweli juu imani ambayo wanayopaswa kuizingatia.

For the believers, GOD's truth will always prevail no matter how is perceived by human beings. Such truth might be not practical and relevant within human mind, but that is a reality itself.
 
Mtoa mada ananitia moyo kuona bado Tanzania tuna watu wana hekma na busara. kwa sasa hali ni mbaya katika taasisi hii ya familia na mahusiano. chanzo ni kuhamishwa kwa kanuni za malezi kijamii na kidini. tunatembelea upepo wowote unaovuma hasa huu wa teknolojia na utandawazi. Tuko katika zama ambazo aliyeharibikiwa nae anakuwa mzazi! Zama ambazo aliyepinda ndo anapewa dhamana ya kuelekeza. kipofu anamuongoza kipofu!

Hata hivyo ili wanawake warudi kwenye asili yao sharti wanaume wajirudishie uanaume wao katika kuwajibika! Ukweli ni kwamba wanaume ndo tumepwaya sasa wanawake wana njaa na kiu wanapambana kutoka kwenye cage. Wanaume weng wameamua kwa hiari yao kujigeuza wanawake bila kubadili viungo. "Shida, njaa na ubaya havina jinsia na havizoeleki!"
 
Kwa wale waumini wenye imani juu ya uwepo wa Mungu Muumbaji, basi hutambua bayana kuwa mwanamke aliumbwa kwa kusudi kuwa ni msaidizi wa mwanaume. Kwa mantiki hiyo hakuna hakuna haki sawa kati yao kupitia majukumu waliyopewa na Muumba wao.

Kwa kupitia maandiko matakatifu tunapata maarifa ya kwamba, mara baada ya wanadamu wa kwanza kuanguka dhambini na kufukuzwa katika bustani ya Edeni, walipewa majukumu ya kudumu. Mwanaume alipewa jukumu la kufanya kazi kupitia nguvu zake ili aweze kuishi na kuitunza familia yake, bali mwanamke alipewa majukumu ya nyumbani ikiwemo la kuzaa na kuongea uzao wa wanadamu.

Kwa si jambo jema kwa mtu kusimama mbele za viongozi wa kidini na kuwahubiria kuhusu kile kinachokinzana na ukweli juu imani ambayo wanayopaswa kuizingatia.

For the believers, GOD's truth will always prevail no matter how is perceived by human beings. Such truth might be not practical and relevant within human mind, but that is a reality itself.


Umenena vyema Mkuu
 
mtoa mada ananitia moyo kuona bado Tanzania tuna watu wana hekma na busara. kwa sasa hali ni mbaya katika taasisi hii ya familia na mahusiano. chanzo ni kuhamishwa kwa kanuni za malezi kijamii na kidini. tunatembelea upepo wowote unaovuma hasa huu wa teknolojia na utandawazi. Tuko katika zama ambazo aliyeharibikiwa nae anakuwa mzazi! Zama ambazo aliyepinda ndo anapewa dhamana ya kuelekeza. kipofu anamuongoza kipofu!
Hata hivyo ili wanawake warudi kwenye asili yao sharti wanaume wajirudishie uanaume wao katika kuwajibika! Ukweli ni kwamba wanaume ndo tumepwaya sasa wanawake wana njaa wanapambana kutoka kwenye cage. Wanaume weng wameamua kwa hiari yao kujigeuza wanawake bila kubadili viungo. "Shida, njaa na ubaya havina jinsia na havizoeleki!"


Mwanaume hawezi kuwajibika ikiwa tayari mamlaka yake imechukuliwa au kawapa WANAWAKE.

Hata MUNGU, hawezi kuwajibika na maisha ya binadamu wakati tayari binadamu keshabeba/kajipa majukumu ya mungu.
 
Back
Top Bottom