Yego mlaunu
JF-Expert Member
- Jun 12, 2020
- 234
- 269
Si tukajua mahakamani ndipo sehemu ya mwisho ya upatikanaji wa haki,kumbe hata Rais nae anaweza kutoa hukumu kwa maelezo yako?Kwani yule aliye pindisha kesi ya kule Lindi ni Jaji au Hakimu?
Maana Mhe. Rais alisema Jaji alienda kutizama na akaamua kuwa wafugaji hawana makosa wakati ukweli ni kwamba kulikuwa na makosa kwa mujibu wa maelezo ya RC
Kwa kauli ya Mhe. Rais inaonyesha wazi kuwa aliye pindisha haki alikuwa Jaji.
Ndio maana nimejiuliza, inakuwaje Jaji apindishe haki?!!!
Huko juu kwa majaji kuna rushwa kubwa kubwa hasa, zaid8 zinaanzia 50m kupanda juu.Sina uhakika sana kwa Majaji wa Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufani. Lakini huku kwa Mahakimu wa Mahakama za Hakimu Mkazi hadi Mahakama za Mwanzo, RUSHWA ndiyo mhimili wa HAKI
Mahakama ziangalie rufaa zisizokuwa na mashiko!Hasa zenye lengo la kupoteza Wakati.Jana akiapisha Majaji aliowateua kuwa Majaji wa Mahakama ya Rufani, Rais Samia alisema "Kuna Tatizo Mahakama"
Jaji Prof Ibrahim Juma, kiukweli kazi ya u-CJ ni kubwa kuliko uwezo wake. Haya yalikuwa ndiyo mauteuzi ya Magufuli.
Huyu CJ ukimfuatilia siku zote ni mtu wa kulalamika kama mtuhumiwa tu. Miaka yote 7 kwenye kiti hicho hajafanya REFORM yoyote ya Mahakama. Je nini kufanyike kupunguza matatizo ya Mahakama?View attachment 2633301
Mungu Waangu mbona unanitisha tena! Maana soon napelekwa huko kwa Majaji! Lakini naamini hicho kitu hakiwezekani,labda kwenye kesi za Biashara kubwa kubwa,na wenyewe Wana Mahakama zao,tena ziko very nazifu kuliko hizi zetu za kugombea Aridhi na Mirathi!!!Huko juu kwa majaji kuna rushwa kubwa kubwa hasa, zaid8 zinaanzia 50m kupanda juu.
Mwisho wa siku Sheria inasema Rufaa ni haki yako kikatiba! Sasa jukumu la kuchujaa sababu za rufaa ni Mahakama wenyewe!!Mahakama ziangalie rufaa zisizokuwa na mashiko!Hasa zenye lengo la kupoteza Wakati.
Tangu walipoanza kushirikiana na vyombo vya ccm kubambika watu kesi mahakama imekosa heshim.kabisa.Jana akiapisha Majaji aliowateua kuwa Majaji wa Mahakama ya Rufani, Rais Samia alisema "Kuna Tatizo Mahakama"
Jaji Prof Ibrahim Juma, kiukweli kazi ya u-CJ ni kubwa kuliko uwezo wake. Haya yalikuwa ndiyo mauteuzi ya Magufuli.
Huyu CJ ukimfuatilia siku zote ni mtu wa kulalamika kama mtuhumiwa tu. Miaka yote 7 kwenye kiti hicho hajafanya REFORM yoyote ya Mahakama. Je nini kufanyike kupunguza matatizo ya Mahakama?View attachment 2633301
Yeye si mkuu wa mhimili? Au bora liende tu?Mtu mmoja hawezi kuleta mageuzi. Sana sana atajitengenezea maadui.
Hata zisizokuwa na mashiko!Rufaa ni haki ya kikatiba kwa mwananchi wa Tanzania
Nani mwenye mamlaka ya kutambua rufaa zenye mashiko,na zile rufaa zisizo na mashiko!!?? Na Je rufaa isiyo na mashiko unaijuawaje kabla haijafanyiwa maamuzi!!??Hata zisizokuwa na mashiko!
Huyo Kimwakaleli msamehe tu ameandika kitukuyu tukuyuNani mwenye mamlaka ya kutambua rufaa zenye mashiko,na zile rufaa zisizo na mashiko!!?? Na Je rufaa isiyo na mashiko unaijuawaje kabla haijafanyiwa maamuzi!!??
Naunga mkono hoja, hili nami nililisema Ukosekanaji wa Haki kwenye Mhimili wa Mahakama, kunaweza kuwa kunachangiwa na Majaji/Mahakimu wenye uwezo mdogo kubaini haki?Jana akiapisha Majaji aliowateua kuwa Majaji wa Mahakama ya Rufani, Rais Samia alisema "Kuna Tatizo Mahakama"
Jaji Prof Ibrahim Juma, kiukweli kazi ya u-CJ ni kubwa kuliko uwezo wake. Haya yalikuwa ndiyo mauteuzi ya Magufuli.
Huyu CJ ukimfuatilia siku zote ni mtu wa kulalamika kama mtuhumiwa tu. Miaka yote 7 kwenye kiti hicho hajafanya REFORM yoyote ya Mahakama. Je nini kufanyike kupunguza matatizo ya Mahakama?View attachment 2633301
Nini kifanyike sasa wadau kuondokana kwenye mkwamo huu?Naunga mkono hoja, hili nami nililisema Ukosekanaji wa Haki kwenye Mhimili wa Mahakama, kunaweza kuwa kunachangiwa na Majaji/Mahakimu wenye uwezo mdogo kubaini haki?
P
MAJAJI WA CCM LAZIMA KUWE NA MATATIZO JAJI ANAGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CCMJana akiapisha Majaji aliowateua kuwa Majaji wa Mahakama ya Rufani, Rais Samia alisema "Kuna Tatizo Mahakama"
Jaji Prof Ibrahim Juma, kiukweli kazi ya u-CJ ni kubwa kuliko uwezo wake. Haya yalikuwa ndiyo mauteuzi ya Magufuli.
Huyu CJ ukimfuatilia siku zote ni mtu wa kulalamika kama mtuhumiwa tu. Miaka yote 7 kwenye kiti hicho hajafanya REFORM yoyote ya Mahakama. Je nini kufanyike kupunguza matatizo ya Mahakama?View attachment 2633301
Mageuzi yapi unayahitaji??Kwani huyu Profesa Ibrahim Juma anastaafu lini? Pengine ni wakati wa kupata Jaji Mkuu mwingine atakayeleta mageuzi