Rais Samia aendelea kumuenzi Hayati Dk. John Joseph Pombe Magufuli

Rais Samia aendelea kumuenzi Hayati Dk. John Joseph Pombe Magufuli

Kuna mafuriko ya threads hapa JF za kumtukuza Samia kwa kila aina ya sifa za kweli na za uongo
Je ile buku saba imerudi?
 
Mwambie Mbowe afanye ukarabati wa ufipa, muda unazidi kuyoyoma.
Hahahahaha.........Chama ni watu siyo majengo. Chama tawala pamoja na kuwa na majengo kubwakubwa lakini imebaki kuiba kura kwa sababu haina watu wa kuipigia kura.
 
Rais Samia Suluhu Hassan tayari amefanikisha ujenzi wa daraja la Tanzanite |Surrender bridge lenye urefu wa kilometer moja nukta sifuri tatu ( 1.03Km) lililogharimu Jumla ya TZS 243.7BL,

Nimasaa machache tu baada kuwasili katika uwanja wa ndege wa JKNIA Rais Samia Suluhu alienda moja kwa moja mahali linapojengwa daraja la Tanzanite ambalo hata hivyo ujenzi wake uko ukingoni, Hii inaonesha kwa kiasi gani Rais Samia anaguswa na miradi hii mikubwa inayojengwa kwa fedha za Watanzania,

Hongera Sana Rais Samia Suluhu Hassan huu ndio Uzalendo wa kweli daraja limekwisha sasa kazi iendele kwa kasi & weledi mkubwa,



Daraja la salenda linajengwa kwa fedha kutoka korea na asilimia chache ndio zimetolewa na serikali na mchakato wake ulianza wakati wa Kikwete tena ikiwa tayari baadhi ya fedha zikiwa zimeanza kutengwa ila utekelezaji wake umefanyika wakati wa Magufuli na hata daraja la ubungo ni hivyo hivyo.
 
Timu jini jiwe mnalazimisha aenziwe
Miradi aliyoiacha Kikwete na kutekelezwa wakati wa Magufuli na hata ile ambayo tayari ikiwa imeanza kutekelezwa yote wapambe wa jiwe wanalazimisha kuwa ni ya huyo mungu wao.
 
Kwani wale wachezaji wa Pingapinga FC wao wanasemaje kuhusu hili Daraja?

PingaPinga FC hawajielewi. Kuna kipindi wakawa wanadanganyana waisusie VodaCom, huku wakihimiza michango ya uanchama itumwe kwa M-Pesa. Yaani unawaangalia, unaishia kupiga makofi kwa mshangao unaondoka huku ukiwaonea huruma kwa kushika tama.
 
Kumuenzi mtu nikufanya yale aliyokuwa anafanya marehemu tumeona tangu Magufuli afe anawatengua viongozi aliwateua marehemu mifumo yote ya uongozi ametengua isitoshe Magufuli alikuwa anatumia mfumo mmoja hv unaitwa ujamaa na kujitegemea ambao huu unatumiwa na Russia ,North Korea China yaani kwenye huu mfumo hakuna taifa dogo kulitegemea taifa kubwa lkn samia alivyoingia katengua kaweka ubepari yaan taifa kubwa kutawala taifa dogo au taifa dogo kutegemea taifa kubwa ndo hii misaada inayoletwa haya niambie kaenzi nini Apo miradi mingap imesimama tangu magu aondoke mfano kwetu Mbagala mwendo kasi imesimama tangu mzee amekufa hakuna kinachofanyika.jibu sasa kaenzi nin

Kwenye huu mradi wa mbagala, tusiipe shaka nafasi. Hebu tumpe muda.
 
Back
Top Bottom