Ze Bulldozer
JF-Expert Member
- Jun 12, 2020
- 1,070
- 568
Unatakaje?Ofsa wewe wakshua eeeh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatakaje?Ofsa wewe wakshua eeeh!
Daaah bahati mbaya sana Mimi sio wa hivyo kabisaKuna mafuriko ya threads hapa JF za kumtukuza Samia kwa kila aina ya sifa za kweli na za uongo
Je ile buku saba imerudi?
Mwambie Mbowe afanye ukarabati wa ufipa, muda unazidi kuyoyoma.Watanzania wanafuatilia uonevu unaoendelea dhidi Mbowe, hiyo daraja unamtangazia nani? Piteni wenyewe kwa raha zenu manyang'au.
Siku zote wakshua hawawezi kujua maumivu yetu tunayoyapata kutoka kwa hawa wana siasa .Unatakaje?
You surely sound like one, si kwa sifa unazomwaga kiasi hicho😎Daaah bahati mbaya sana Mimi sio wa hivyo kabisa
Unataka tukashifu haya mazuri mkuu?You surely sound like one, si kwa sifa unazomwaga kiasi hicho😎
Sure, 100%Mwambie Mbowe afanye ukarabati wa ufipa, muda unazidi kuyoyoma.
Nchii hii inakwebda vizuri SanaSiku zote wakshua hawawezi kujua maumivu yetu tunayoyapata kutoka kwa hawa wana siasa .
Hahahahaha.........Chama ni watu siyo majengo. Chama tawala pamoja na kuwa na majengo kubwakubwa lakini imebaki kuiba kura kwa sababu haina watu wa kuipigia kura.Mwambie Mbowe afanye ukarabati wa ufipa, muda unazidi kuyoyoma.
Rais Samia Suluhu Hassan tayari amefanikisha ujenzi wa daraja la Tanzanite |Surrender bridge lenye urefu wa kilometer moja nukta sifuri tatu ( 1.03Km) lililogharimu Jumla ya TZS 243.7BL,
Nimasaa machache tu baada kuwasili katika uwanja wa ndege wa JKNIA Rais Samia Suluhu alienda moja kwa moja mahali linapojengwa daraja la Tanzanite ambalo hata hivyo ujenzi wake uko ukingoni, Hii inaonesha kwa kiasi gani Rais Samia anaguswa na miradi hii mikubwa inayojengwa kwa fedha za Watanzania,
Hongera Sana Rais Samia Suluhu Hassan huu ndio Uzalendo wa kweli daraja limekwisha sasa kazi iendele kwa kasi & weledi mkubwa,
Miradi aliyoiacha Kikwete na kutekelezwa wakati wa Magufuli na hata ile ambayo tayari ikiwa imeanza kutekelezwa yote wapambe wa jiwe wanalazimisha kuwa ni ya huyo mungu wao.Timu jini jiwe mnalazimisha aenziwe
kazi iendeleeMiradi aliyoiacha Kikwete na kutekelezwa wakati wa Magufuli na hata ile ambayo tayari ikiwa imeanza kutekelezwa yote wapambe wa jiwe wanalazimisha kuwa ni ya huyo mungu wao.
Unayohoja but kazi iendeleeMiradi aliyoiacha Kikwete na kutekelezwa wakati wa Magufuli na hata ile ambayo tayari ikiwa imeanza kutekelezwa yote wapambe wa jiwe wanalazimisha kuwa ni ya huyo mungu wao.
Huyu mama GiniusUnayohoja but kazi iendelee
Kwani wale wachezaji wa Pingapinga FC wao wanasemaje kuhusu hili Daraja?
Kumuenzi mtu nikufanya yale aliyokuwa anafanya marehemu tumeona tangu Magufuli afe anawatengua viongozi aliwateua marehemu mifumo yote ya uongozi ametengua isitoshe Magufuli alikuwa anatumia mfumo mmoja hv unaitwa ujamaa na kujitegemea ambao huu unatumiwa na Russia ,North Korea China yaani kwenye huu mfumo hakuna taifa dogo kulitegemea taifa kubwa lkn samia alivyoingia katengua kaweka ubepari yaan taifa kubwa kutawala taifa dogo au taifa dogo kutegemea taifa kubwa ndo hii misaada inayoletwa haya niambie kaenzi nini Apo miradi mingap imesimama tangu magu aondoke mfano kwetu Mbagala mwendo kasi imesimama tangu mzee amekufa hakuna kinachofanyika.jibu sasa kaenzi nin
Sikatai shida miradi ishaanza kuaribika hata kabla haijaanza kutumika mpk iishe tumeteseka sana foleni hata masaa 2 tunakaa apa rangi 3Kwenye huu mradi wa mbagala, tusiipe shaka nafasi. Hebu tumpe muda.
Itaanza kutumika soon chief vuta subraSikatai shida miradi ishaanza kuaribika hata kabla haijaanza kutumika mpk iishe tumeteseka sana foleni hata masaa 2 tunakaa apa rangi 3
Upi huo?Sikatai shida miradi ishaanza kuaribika hata kabla haijaanza kutumika mpk iishe tumeteseka sana foleni hata masaa 2 tunakaa apa rangi 3