Isack Lusajo
Senior Member
- Nov 3, 2021
- 108
- 208
Mwendo kasi na daraja ili la kivuko kwa waenda kwa miguuUpi huo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwendo kasi na daraja ili la kivuko kwa waenda kwa miguuUpi huo?
PingaPinga FC hawajielewi. Kuna kipindi wakawa wanadanganyana waisusie VodaCom, huku wakihimiza michango ya uanchama itumwe kwa M-Pesa. Yaani unawaangalia, unaishia kupiga makofi kwa mshangao unaondoka huku ukiwaonea huruma kwa kushika tama.
Vitamalizika soon bossMwendo kasi na daraja ili la kivuko kwa waenda kwa miguu
Hakika, wanamponda lakini yeye anaishi katika alicho sema.Hongera Sana Rais Samia walisema utashindwa leo wako wapi?
Chapa kazi mama yetu
Acha ulimbwende na tutapita kwa madaha yote.
Unacheka nini sasa?Hahahahaha.........
Balaa tupuUnacheka nini sasa?
Haya sawa.Balaa tupu
Rais Samia Suluhu Hassan katika kuwaenzi wazee wetu Dk Jakaya Mrisho Kikwete na Hayari Dk John Pombe Magufuli tayari amefanikisha ujenzi wa daraja la Tanzanite |Surrender bridge walio liasisi lenye urefu wa kilometer moja nukta sifuri tatu ( 1.03Km) lililogharimu Jumla ya TZS 243.7BL,
Nimasaa machache tu baada kuwasili katika uwanja wa ndege wa JKNIA Rais Samia Suluhu alienda moja kwa moja mahali linapojengwa daraja la Tanzanite ambalo hata hivyo ujenzi wake uko ukingoni, Hii inaonesha kwa kiasi gani Rais Samia anaguswa na miradi hii mikubwa inayojengwa kwa fedha za Watanzania,
Hongera Sana Rais Samia Suluhu Hassan huu ndio Uzalendo wa kweli daraja limekwisha sasa kazi iendele kwa kasi & weledi mkubwa,
Kucheka kunahitaji kibali kutoka chato?Unacheka nini sasa?
Lazima upate kibali toka kwa Mbowe.Kucheka kunahitaji kibali kutoka chato?
Nyie jamaa nyieLazima upate kibali toka kwa Mbowe.
Aisee.Nyie jamaa nyie
AmenHongera Sana Rais Samia walisema utashindwa leo wako wapi?
Chapa kazi mama yetu
Hilo daraja sio serikali ilfanikisha iwe ya Magufuli au Samia limejengwa kwa hela za wakorea
Serikali haikuwa na mpango wa kujenga iwe ya Magufuli , Kikwete, nyerere Wala Mwinyi.
Credit ziende kwa wakorea
Hata mimi nilimshangaa sana huyu jamaaMataga umeuchukua ubongo wako kutoka kabatini ukarudisha kwenye fuvu lako la kichwa. Bado jitombashisho Kinuju mama D Et al
Kwani wale wachezaji wa Pingapinga FC wao wanasemaje kuhusu hili Daraja?
Boss wake aliyempa maisha ataachaje sasa kumkumbuka.