Hata ubunge ukiundiwa zengwe la kufutwa uanachama si unatoka tu. Tu seme tu siasa si hasa yatoshaYeye kukuhamisha au kukuachisha anapojisikia ni dharau zaidi Bora nifanye michongo mingine kuliko Leo nipo DSM kesho kigoma keshokutwa sina kazi. Ndo maana wengi wanataka ubunge it offers more job security
Kama juzi kwenye kikao dodoma cha kufunga mafunzo ya sensa kaagiza madarasa ya mitihani yaendelee kwenda shule wakati wizara husika ilitoa walaka kufunga shule zote wakati wa likizo ya sensa. Mzee baba alikuwa anaongea kwa mamlaka kama waziri vile.Sifa nazo zilizidi anabishana hata na maagizo ya wakuu wake kama mawaziri...
Bado na wakili mmoja DC huko Songea! Wanapewa vyeo na hela kuwaongoza watanzania, walihongwa vyeo, vyeo vya rushwa havidumu. Silinde nae ubunge na uwaziri 26 asahau. Wasilalamike kuachwa, wakumbuke walipataje hizo nafasi.David Kafulila alikuwa anamsifia Rais na CCM juzi tu, sioni alipohamishiwa.
Ndio alipangiwa wilaya ya mbozi,akakataa.Ally Masanywa alimchomolea marehemu uteuzi wa ukuu wa wilaya
Kocha anayehitaji matokeo anapanga kikosi anachokiamini.Rais Samia Suluhu amefanya mabadiliko ya wakuu wa mikoa nchini huku akiingiza majina mapya tisa akiwemo Albert Chalamila aliyetuuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Kagera.
Wakuu wa mikoa 10 wamebaki kwenye vituo vyao vya kazi vya awali huku 7 wakihamishwa vituo vya kazi.
Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mara, Ally Hapi ameachwa kwa orodha mpya, dhahma hiyo pia imewakumba aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Simiyu, David Kafulila.
Pia aliyekuwa katibu mkuu wa Bunge na badae kupewa mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kigaigai nae ametemwa.
======
Mkeka wa wakuu wa mikoa.
View attachment 2306342View attachment 2306343
View attachment 2306345
Teuzi zote za kuliwa kichwa ufanyika usikuHuu uteuz wa usiku wa manane Ni balaaa tupu, unaamka kibarua kimeota mbawa[emoji848]
Sasa akapumzikeTOKA MAKTABA online :
Stephen Kagaigai ni nani :
View attachment 2306492
Katibu Mpya wa Bunge, Stephen Kagaigai ni nani?
Rais Dkt. John Magufuli amemteua Steven Kagaigai kuwa Katibu mpya wa Bunge la Tanzania, kuchukua nafasi ya Dkt. Thomas Kashililla ambaye atapangiwa kazi nyingine. Tafadhali kwa mwenye kujua dondoo za wasifu wa Steven Kagaigai atuwekee hapa tafadhali, ili tumfahamu huyu mtendaji mkuu wa mhimili...www.jamiiforums.com
Kama karudishwa basi hata hawa waliondolewa waterejeshwa mbeleniNaona chalamila karudishwa dimbani, akae Kwa heshima sasa
Hiv huyu si anarudi jeshini sasa?
Kwani ukipigwa chini mfano upo mkoa mwingine na v8 linarudi tupuunakuta msg ya dereva wa V8 inasema bye sir
teuzi za samia ni za kibaguzi,anateua upande mmoja utasema anateua viongozi wa madrasa!
Mamluki wote watatoka , Bado Nassary na Lijua Kali
Achana na hao Robert Gabriel Luhumbi ndo msukuma na Ally Hapi ni mnyamwezi wa tabora huko!Wasukuma kweli !! Lakini Tanzania hatuna ukabila imetokea tu hiyo watapangiwa kazi nyingine Labda !!
Roho mbaya tuu,waliotemwa ni wachapakazi wazuri tuu na baadhi ya walioteuliwa ni zero brain..Rais Samia Suluhu amefanya mabadiliko ya wakuu wa mikoa nchini huku akiingiza majina mapya tisa akiwemo Albert Chalamila aliyetuuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Kagera...