Rais Samia afanya mabadiliko Wakuu wa Mikoa. Ally Hapi, Kigaigai, Kafulila na Eng. Robert Gabriel watemwa

Haswaaa Mtaka kashushwa kistaarabu wallah, yule anafaa kuwepo ktk Jiji.
 
Hizi teuz za usiku wa manane bila kujua ushatumbuliwa, unaweza jikuta unafika ofsin na bodaboda dreva wako kakugomea[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nasuviri mkeka wa wakuu wa wilaya, naamini shogaa angu atakuwepo, tulambe asali na sisi, weraaaaaaaaaah.

Kwa mkeka huu, ujao wa wilaya lazima awepo. Weuweeeeeeeh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kuna kitu kinaniambia kafulila anapangiwa kazi nyingine kubwa zaidi
 
Yule mjeshi kipenzi chake chuma JPM ie yule wa kagera nae wamekula kichwa!!duuh
 
Huyu kafukuzwa, Fired
 
Maskini. Ndio kwanza nyumba yake iko kwenye lenta! Sijui atakuja kupanga upade mmoja Sinza! [emoji3][emoji3][emoji3]
Hilo pagala lipo wapi[emoji3][emoji3][emoji3]

NB: Bora yeye ana pagala mimi sina hata kiwanja
 
Basi Kafulila alipoteuliwa nilikuwa na shida fulani nilimpigia simu mara 70 na text 10 hakujibu mpaka leo anatenguliwa. Nadhani ajifunze siyo kila mtu wa anayekupigia simu ana njaa
We sema ulitaka kumpiga mzinga ndiomaana akakupotezea!
Halafu hao mbona wanateuliwa nafasi zingine soon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…