Buyuni Kwetu
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,120
- 2,153
Kwani akitaka kugombea urais ni lazima awe Dodoma?Antony Mtaka ali faa abaki DODOMA ili awe Rais ajaye wa Tz. Hii kumuhamishahamisha ni kumuogopa au??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani akitaka kugombea urais ni lazima awe Dodoma?Antony Mtaka ali faa abaki DODOMA ili awe Rais ajaye wa Tz. Hii kumuhamishahamisha ni kumuogopa au??
Aina hizi za ajira ndio zinapelekea Hawa wakuu kuwa wadokozi wa pesa za Uma na kupiga madili.Wengine wanatumia fursa ku set mambo yao kwa muda mfupi kwakuwa wanajua aina ya kazi ilivyo.
Ukipata ukuu wa Mkoa hata kwa miezi 6 tu fanya kitu.
Atakuwa alikwisha jiandaa kisaikolojia...
Its a game of thrones! Leo yuko huyu, kesho yuko yule...
Leo uko kwenye kiyoyozi, kesho uko kwenye mionzi, unapigwa na jua.
Leo unafunguliwa mlango wa V8, kesho unashika bomba kwenye DCM la Gongo la Mboto.
Mara ni Demotion zone sio kwa teuzi pekee, hata utumishi.Kwa hiyo huko lazima utakutwa na kashfa kubwa ya/za kukung'oa.
DaaahKahamishiwa home.[emoji23]
1.Alli hapi
2.Kafulila
3.Eng Gabriel
Nk
Wameliwa kichwa
NB
Mtaka kutoka Dodoma hadi Njombe ni kama wamemla kichwa kistaarabu.
Ajirekebishe tabia yake ya u much know, kiburi na dharau.
Alisifiwa mwanzo naona sasa hivi anaharibu,sifa zinamlevya wahenga walipata kusema"...... Mgema akisifiwa tembo hulitia maji."
Kafulila tumepotezakafulila pia
Acha uongo. Ni mkoa sawa na mikoa mingine yoyoteMara ni Demotion zone sio kwa teuzi pekee, hata utumishi.
Inawezekana, lakini haogopwi. Siri ya mtungi !Antony Mtaka ali faa abaki DODOMA ili awe Rais ajaye wa Tz. Hii kumuhamishahamisha ni kumuogopa au??
Ina maana atakuwa anajishtukia kwenda kwenye vijiofisi vya watu kuomba kazi na kutumwa tumwa au sio!?Sio jobless tu! anakuja kuwa professional jobless.
Kumbe !Huyu Mbuzi alikuwa anapenda sana kiki na kuwatoa kafara wafanyakazi wa chini yake.
Hizi kazi zipo kwa ajili ya kila mtanzania mwenye sifa zinazoendana nazo; possibly wewe ukiwa ni mmoja wao. Unakuwa mpumbavu wewe kwa kuziita kuwa ni za kipumbavu kwa sababu in essence, wewe pia ni mmojawapo wa watu wanaowajibika kufanya kazi hizi, na pasipo hiari yako. Ni kwa sababu tu tuna tatizo la ajira, ndiyo maana inaonekana kama kazi hizi ni ulaji na za hiari wakati siyo. Mamlaka za uteuzi zikishaamua kuwa wewe ufanye kazi hizo, inakuwa siyo hiari. Sema tu kwa sababu tunaozihitaji tupo wengi, ikitokea ukaamua kuomba uachwe apewe mtu mwingine, mamlaka za uteuzi huwa hazioni sababu yoyote ya kuendelea kumng'ang'ania mtu mmoja wakati walio na sifa bado wapo wengi tu mtaani. Tuseme kwa mfano, wewe ndiyo mtu pekee mwenye sifa ya kufanya kazi ambayo mamlaka ya uteuzi imeamua kukuteua, katika mazingira hayo unakuwa huna hiari ya kutokufanya kazi hiyo; whether unapenda au hupendi, kazi hiyo lazima utaifanya; iwe ni ukuu wa Mkoa au uwaziri, ni lazima utafanya bila kujali unapenda au hupendiKazi za kipumbavu sana unakua at President's disposal all the time. Mara uhamishwe, mara ufutwe as though maisha yako hayana dira. Huwa sielewi kwanini wanazikubali.
Kafulila baba yake Msukuma mama yake mfipa. Kafulila kwa kisukuma kasufuria. Baba yake alikuwa mwalimu Nguruka mkoani Kigoma na ndipo alipozaliwa lakini ni msukuma.Kafulila Ni Bwana Mughabho Wa Kigoma
Kwamba hujaona Nawanda anakwenda Simiyu? Kafulila Bwana!! Wewe fungasha tu, kwenye barua ya Yunus hakuna kipengele cha waliotumbuliwa.Raisi amefanya teuzi, mikoa yote ya Tanzania Bara ipo kwenye mkeka, kasoro Mkoa wa Simiyu tu.
Tayari watu wana assume Kafulila kaliwa kichwa, pamoja na Mkoa wake kitoonekana kwenye huo mkeka.
Zuhura Yunus weka sawa mambo yako, makosa madogo madogo yanajirudia sana, kila siku na jambo jipya.
Kuna Mtu amesema amekimbia?Kafulila bado yupo Simiy
Wewe una barua fake labda.Kipenge namba tisa ni teuzi ya Mkuu wa mkoa wa Tabora.