Rais Samia afanya mabadiliko Wakuu wa Mikoa. Ally Hapi, Kigaigai, Kafulila na Eng. Robert Gabriel watemwa

Rais Samia afanya mabadiliko Wakuu wa Mikoa. Ally Hapi, Kigaigai, Kafulila na Eng. Robert Gabriel watemwa

1.Alli hapi
2.Kafulila
3.Eng Gabriel
Nk
Wameliwa kichwa

NB
Mtaka kutoka Dodoma hadi Njombe ni kama wamemla kichwa kistaarabu.
Ajirekebishe tabia yake ya u much know, kiburi na dharau.
Alisifiwa mwanzo naona sasa hivi anaharibu,sifa zinamlevya wahenga walipata kusema"...... Mgema akisifiwa tembo hulitia maji."
Na wote ni wasukuma
 
1.Alli hapi
2.Kafulila
3.Eng Gabriel
Nk
Wameliwa kichwa

NB
Mtaka kutoka Dodoma hadi Njombe ni kama wamemla kichwa kistaarabu.
Ajirekebishe tabia yake ya u much know, kiburi na dharau.
Alisifiwa mwanzo naona sasa hivi anaharibu,sifa zinamlevya wahenga walipata kusema"...... Mgema akisifiwa tembo hulitia maji."
Mabaki ya waunga juhudi yamepanguswa
 
Madhara ya nafasi za kuteuliwa ukiwa na umri mdogo ndio hizi wamala kichwa ushazoeq kunyanyua mabega
Aje huku nimfundishe kubeti. Maisha lazima yaendelee.

Hata sie tuliwahi kuwa kwenye viyoyozi.

Siku naambiwa paki hapa gari letu, ajira ikaisha nilidhani ndio mwisho wa Dunia.

Leo hii Mungu si Athumani, napandisha kaghorofa, maisha yanaendelea kama kawa.

So, waliopigwa chini, wajue kabisa kuwa maisha lazima yaendelee...
 
Brigadia General Marco Elisha Gaguti wapi amepelekwa, MMJ makao makuu?

1658977631373.png

Picha : Marco Elisha Gaguti kutoka maktaba za online.
 
Balozi Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge mkuu wa mkoa wa Ruvuma vipi amehamishiwa mambo ya nje ? Mkuu wa Itifaki na katibu mkuu wizara ya mambo ya nje awamu ya JPM wanampeleka wapi ?

10 August 2020
Ambassador Brigadier General Wilbert Augustin Ibuge



Ambassador Brigadier General Wilbert Augustin Ibuge, Permanent Secretary, Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation, United Republic of Tanzania speaking at the SADC Senior Officials virtual meeting on 10 August, 2020
Source : Southern Africa Development Community, SADC
 
Back
Top Bottom