Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
MaraKwan alkua mkoa gan?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MaraKwan alkua mkoa gan?
kapangiwa nyumbani kwakeMeja Jenerali Charles Mbuge mkuu wa mkoa wa Kagera amepangiwa wapi
ubalozi wa babu yake! sura ya kilimo kwanza uipeleke ubalozi! apumzike alee wajukuuUbalozi Sri lanka kama sikosei 😎
umemaanisha Chalamila?Heee kweli uchawi upo
Kaharibu wapi mkuu, hebu eleza.1.Alli hapi
2.Kafulila
3.Eng Gabriel
Nk
Wameliwa kichwa
NB
Mtaka kutoka Dodoma hadi Njombe ni kama wamemla kichwa kistaarabu.
Ajirekebishe tabia yake ya u much know, kiburi na dharau.
Alisifiwa mwanzo naona sasa hivi anaharibu,sifa zinamlevya wahenga walipata kusema"...... Mgema akisifiwa tembo hulitia maji."
Hao wanahitajika jeshini makao makuu, kuna kazi wanaenda kupangiwaBrig Gen Gaguti mtwara naye katolewa! Mbuge kagera out
mmhHao wanahitajika jeshini makao makuu, kuna kazi wanaenda kupangiwa
Hoyeee[emoji23][emoji23]CCM CCM CCM CCM CCM
Hahaha[emoji23]Yani Mshana wewe ndio wa kumuunganisha mwenzio na kifurushi cha wiki na wakati aliomba umuunge na kifurushi cha miaka mitano!
Ona sasa ndege yake imeisha mafuta kati kati ya safari... [emoji3][emoji3][emoji3]
Lkn ni mtu poa sana, amenyooka na hamung'unyi maneno....Amekua mkubwa kuliko Dodoma...
Mataga mtapata taabu sana,Makamba hatoki pale.Huyo Samia angetuondolea na Makamba pale wizara ya nishati tungemuona ana akili kiasi.
Kwa nini?Ukiona unapelekwa Mara na ulikua na kashfa ndogo ndogo ujue unatafutiwa namna ya kuliwa kichwa.
Safiiii Sana Mama kutuachia KafulilaSimiyu haipo popote kwenye hizi teuzi, Kafulila kaa mkao wa kula, either unesahaulika, au ndio vile tena......
Hana upoa wowote, Kama Ni jamaa yako mwambie ajiamdae, gharika lajaLkn ni mtu poa sana, amenyooka na hamung'unyi maneno....
Sema CCM mtu kama yule hawamuelewi maana wengi wao ni wanafiki...