kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 18,585
- 16,780
Aanze kumtegemea mkewe.Kafulila kafulia tena?
Sasa akatafute kazi ya kuajiriwa.
Siasa sio ajira!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aanze kumtegemea mkewe.Kafulila kafulia tena?
Sasa akatafute kazi ya kuajiriwa.
Siasa sio ajira!
Ni mtego amepewa asije kunyanyua mabega juu kama enzi zile za giza.Chalamila ndani ya nyumba!!
Ally Masanywa alimchomolea marehemu uteuzi wa ukuu wa wilayaSijawahi kusikia but I would never take one.
Ukikataa uteuzi wa Rais ni dharau.Kazi za kipumbavu sana unakua at her disposal all the time. Mara uhamishwe, mara ufutwe as though maisha yako hayana dira. Huwa sielewi kwanini wanazikubali.
Ukikataa uteuzi wa Rais ni dharau.
Hapa sijaelewa shida ilikuwa nini, jamaa alikuwa vizuri, may be ana mengineyo ambayo Mh. Rais pekee ndiye anayajua, pamoja na "vyombo"Robert Gabriel kaachwa
Hujui kusoma? Kaachwa wapi?Safiiii Sana Mama kutuachia Kafulila
Wengine wanatumia fursa ku set mambo yao kwa muda mfupi kwakuwa wanajua aina ya kazi ilivyo.Yeye kukuhamisha au kukuachisha anapojisikia ni dharau zaidi Bora nifanye michongo mingine kuliko Leo nipo DSM kesho kigoma keshokutwa sina kazi. Ndo maana wengi wanataka ubunge it offers more job security
Kafulila Ni Bwana Mughabho Wa KigomaNa wote ni wasukuma
Kwa faida ya wafaidika !! Msamiati mpya !!Kazi iendelee
HaaResurgence! Renaissance! Rejuvenation! Regeneration! Resumption!View attachment 2306441
Hivi yupo wapi huyu... Ana roho mbaya sana huyu jamaa.Mabele Makubi atakua amefurahi sana kusikia Robati kaondolewa...