Rais Samia afanya mabadiliko Wakuu wa Mikoa. Ally Hapi, Kigaigai, Kafulila na Eng. Robert Gabriel watemwa

Rais Samia afanya mabadiliko Wakuu wa Mikoa. Ally Hapi, Kigaigai, Kafulila na Eng. Robert Gabriel watemwa

Utajiskiaje sku ya kuapishwa wateule wapya Raisi akatangaza nafas zao mpya....kuombeana mabaya hakujawah kuleta tija , Mungu hujibu ombi la kila mmoja Kwa nyakat tofaut regards anapitia magumu kiasi gan na ana makando Kias gan
 
Mwanajeshi ambaye ni mwalimu wa sayansi ya siasa pia mwanadiplomasia mahiri balozi brigedia jenerali Wilbert Ibuge akiongea na madiwani

26 June 2022

“SIVAI KOMBATI KWA KUIGIZA MIMI NI MWANAJESHI,TUCHAPE KAZI”,RC IBUGE



Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge amewaeleza madiwani wa Halmashauri za Mkoa wa Ruvuma kwa nyakati tofauti kuwa jukumu alilopewa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ni kusimamia utendaji kazi ili kusukuma gurudumu la maendeleo kwa wananchi wa Ruvuma kwa kutekeleza Ilani ya CCM ya 2020 hadi 2025 na kwamba hana mpango wa kuingia kwenye Siasa.

Source : Nyasa DC online

WASIFU:

Brig.Jenerali Wilbert Augustine Ibuge

WORK EXPERIENCE

  • 15 May, 2021 to-date-Regional Commissioner, Ruvuma Region.
  • 06 February, 2020 - 15 May, 2021 - Permanent Secretary, Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation.
  • 01 October, 2019 to 06 February, 2020 – Ambassador, Director and Chief of Protocol, Ministry of Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation.
  • April to September, 2019 – Brigade Operations and Training Officer, 2002(Western) Infantry Brigade Group, Tanzania People’s Defence Forces (TPDF).
  • 18 January, 2016 to 30 March, 2019 – Head of Defence Affairs and Planning in the Organ on Politics, Defence and Security Cooperation Directorate at the Southern African Development Community (SADC) Secretariat Headquarters, Gaborone, Botswana.
  • June, 2007 to December, 2015 – Minister Plenipotentiary and Military Adviser, Permanent Mission of the United Republic of Tanzania to the United Nations, New York, USA.
  • 2003 to 2005 – Assistant Lecturer (International Relations and International Law) in the Department of Political Science and Public Administration, University of Dar es Salaam, Tanzania.
  • 1993 through to 2020 – (various): Military career promotions, from Commission as an Officer Cadet (1993), Second Lieutenant (1995) up to Brigadier General (2020). Gen. Ibuge has also held numerous command and senior staff officer appointments on various units, operational deployments and Headquarters with in the Tanzania People’s Defence Forces. He remains in active service.
  • ACADEMIC QUALIFICATIONS
  • Ambassador Brig. Gen. Ibuge is currently a Ph.D. Candidate at the Department of Political Science and Public Administration of the University of Dodoma.
  • Gen. Ibuge also holds a Bachelor of Arts (BA) in Political Science and Public Administration (Honours, First Class) and a Master of Arts (MA) in Political Science and International Relations from the University of Dar es Salaam.
  • The General is also a graduate of the South African National War College (SANWC) and holder of a National Diploma (Postgraduate) in Defence and Security Studies, SANWC, Pretoria Republic of South Africa.
  • NATIONALITY: Tanzanian.
Source : Wilbert Augustine Ibuge
Mimi naona bora wa baki na kazi zao za kijeshi tu.
 
Zama zimebadilika njooni mtaani mjue machungu ya tozo ya miamala na bidhaa kupanda maradufu huenda mlipandisha mabega au ni jambo la kupokezana kijiti maana sisi wote ni watanzania
Basi Kafulila alipoteuliwa nilikuwa na shida fulani nilimpigia simu mara 70 na text 10 hakujibu mpaka leo anatenguliwa. Nadhani ajifunze siyo kila mtu wa anayekupigia simu ana njaa
 
Mwanza kulikuwa na shida labda kama mlikuwa hamuoni!! Acha huyu jamaa aondoke aisee

Maji ni shida huu mwez wa pili sasa
Miradi mingi inasua sua, mfano termina ya airport pale, soko kuu kati pale na mingine mingi tu
Upigaji hela kwenye halmashauri haswa mapato ya ndani

Mkuu wamkoa yeye kila siku kwenye ziara ambazo hazikuwa naimpact yoyote kuuboresha mji! So acha wamlekichwa!! Ikizingatiwa uchaguzi unakaribia mama anajua kamda yaziwa anahitaji support from the ground so kaletwa malima ki mkakati
 
Atakuwa alikwisha jiandaa kisaikolojia...
Its a game of thrones! Leo yuko huyu, kesho yuko yule...
Leo uko kwenye kiyoyozi, kesho uko kwenye mionzi, unapigwa na jua.
Leo unafunguliwa mlango wa V8, kesho unashika bomba kwenye DCM la Gongo la Mboto.
Hata nae atakuwa kashukuru. Maana huwezi fanya kazi na watu wanaokuvizia muda wote wakutoe. Hata ile kauli ya mama alipotembelea mara kuwa nilitaka niwapige wote chini ilidhihirisha.

Kikubwa records zake za utendaji tunazo na ally ni mwanasiasa asiyechoka.
 
Pongezi kwawalio pandishwa, na pia walio baki kwenye vituo vyao, ila namshauri Mkuu wa Mkoa wa JIji la DSM yeye pamoja wa wakuu wake wa wilaya waongeze bidii kwenye mambo ya msingi, haswa yanayo husu maendeleo ya wananchi.
wajitahidi kutatua kero za wananchi ,
wajitahidi kufuatilia miradi inayo endelea ktk maeneo yao na kuhahiki thamani ya pesa.

Kero ni nyingi.
 
Mwanza kulikuwa na shida labda kama mlikuwa hamuoni!! Acha huyu jamaa aondoke aisee

Maji ni shida huu mwez wa pili sasa
Miradi mingi inasua sua, mfano termina ya airport pale, soko kuu kati pale na mingine mingi tu
Upigaji hela kwenye halmashauri haswa mapato ya ndani

Mkuu wamkoa yeye kila siku kwenye ziara ambazo hazikuwa naimpact yoyote kuuboresha mji! So acha wamlekichwa!! Ikizingatiwa uchaguzi unakaribia mama anajua kamda yaziwa anahitaji support from the ground so kaletwa malima ki mkakati
Na Ile ziara yake iliyoua waandishi wa habar , ana prefer kuxungukia mkoani mara kwenda ukerewe wakat kuna cheap flight ya meli chap kidog , mji ulishakuwa mchafu na hauko organized jamaa bonge la Fala Sana yule
 
Kuna wajeda naona kama wamenyofolewa, kama yule wa Mtwara...

Ngoja tuone watapangiwa wapi
 
Wengine wanatumia fursa ku set mambo yao kwa muda mfupi kwakuwa wanajua aina ya kazi ilivyo.
Ukipata ukuu wa Mkoa hata kwa miezi 6 tu fanya kitu.
Na huo ndio ukweli !! Refers kwa yule wanagombea ghorofa na tajiri wa yanga! Ana mighorofa mingapi ? Kwa Africa Tumbo kwanza !! Kwa wazungu Nchi kwanza !! Ndio maana wanalipana mishahara ya kujikimu kimaisha hata kama huna kazi huko ulaya !! Siye tutasubiri sana !!
 
Wengine wanatumia fursa ku set mambo yao kwa muda mfupi kwakuwa wanajua aina ya kazi ilivyo.
Ukipata ukuu wa Mkoa hata kwa miezi 6 tu fanya kitu.

Kwahiyo wapo kimaslahi yao zaidi
 
Basi Kafulila alipoteuliwa nilikuwa na shida fulani nilimpigia simu mara 70 na text 10 hakujibu mpaka leo anatenguliwa. Nadhani ajifunze siyo kila mtu wa anayekupigia simu ana njaa
Kanafiki sana hako kamtu
 
Chalamila angeletwa Jiji la DSM lingebadilika.
Chalamila ni mchapakazi hodari sana, tunashukuru kwa Rais kuliona hilo na kumrudisha ulingoni.
 
Back
Top Bottom