Sukuma gang mfyuuuuuHuyu Bibi ndio kazi pekee anayoiweza hii. Teua, tengua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sukuma gang mfyuuuuuHuyu Bibi ndio kazi pekee anayoiweza hii. Teua, tengua.
Yule comedian karudi tena. Watu walimiss kuchekaAlly Hapi wamemtapika.
Amelala akiamka atakutana na meseji za pole
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Maskini. Ndio kwanza nyumba yake iko kwenye lenta! Sijui atakuja kupanga upade mmoja Sinza! [emoji3][emoji3][emoji3]
Yahaya Ismail Navanda mkuu mpya wa mkoa simiyuSimiyu haipo popote kwenye hizi teuzi, Kafulila kaa mkao wa kula, either unesahaulika, au ndio vile tena......
Huyu aliwahi Sema wazee Hawa wakae kimya.Wazee walikuwa wanamlia timing tuAlly Hapi wamemtapika.
Amelala akiamka atakutana na meseji za pole
Marco Gaguti nilikuwa namuelewa sana tangu akiwa Kagera, sasa sijui mama kampeleka wapi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hizi teuz za usiku wa manane bila kujua ushatumbuliwa, unaweza jikuta unafika ofsin na bodaboda dreva wako kakugomea[emoji16]
Kashakuwa niagieni niagieni....David Kafulila alikuwa anamsifia raisi na ccm juzi tu, sioni alipohamishiwa.
Hata kwa MH magufuli mlisema haya , mwacheni rais afanye kaziHuyu Bibi ndio kazi pekee anayoiweza hii. Teua, tengua.
Ubabe baada ya ajali ya basi la shuleHata mimi yule Afande nilikua namuelewa sana na mikakati yake pale Mtwara. Ila mamlaka za uteuzi ndiyo inajua, lakini kwa jicho la kawaida alikua mtu poa sana pale Mtwara, ufuatiliaji, kutaka kuukuza mkoa kibiashara, kuupa promo nk. Anyway, labda atapangiwa nafasi nyingine kwenye kazi yake kuu.
Hivi kuna ambaye amewahi kukataa teuzi?Kazi za kipumbavu sana unakua at her disposal all the time. Mara uhamishwe, mara ufutwe as though maisha yako hayana dira. Huwa sielewi kwanini wanazikubali.
Sifa nazo zilizidi anabishana hata na maagizo ya wakuu wake kama mawaziri.Sijui kwa nini kamhamisha Mtaka pale Dodoma?
Sijawahi kusikia but I would never take one.Hivi kuna ambaye amewahi kukataa teuzi?