Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,649
- 6,680
Mkeka umetoka Vat Khan huu!Ngoja nijidai uteuzi watu wengi wa upande wa mbalamwezi sijauona
Mbalamwezi oyeee
Msalaba ziii
Full stop.
Hii sio batch ya Msoga 😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkeka umetoka Vat Khan huu!Ngoja nijidai uteuzi watu wengi wa upande wa mbalamwezi sijauona
Mbalamwezi oyeee
Msalaba ziii
Full stop.
yaan daahBrigadia General Kaguti wapi amepelekwa, MMJ makao makuu?
Brig Gen Gaguti mtwara naye katolewa! Mbuge kagera out
Yani Mshana wewe ndio wa kumuunganisha mwenzio na kifurushi cha wiki na wakati aliomba umuunge na kifurushi cha miaka mitano!Kahamishiwa home.[emoji23]
Hata mimi ninesikitika,he was good to be there,ila ana Karama sana ya kuendeleza Mkoa acha akapachange na huko.Sijui kwa nini kamhamisha Mtaka pale Dodoma?
Ungemalizia kabisa kwa lile hanikizo lako la ubaguzi wa kikabilaMabaki ya waunga juhudi yamepanguswa
Daah...yaan daah
Ubalozi Sri lanka kama sikosei 😎Meja Jenerali Charles Mbuge mkuu wa mkoa wa Kagera amepangiwa wapi
Mbona lugha hiyo inafaa kule juu zaidi ya hapo alipo, kwa jinsi nchi inavyohitaji aina hiyo ya uongozi!ni kusimamia utendaji kazi ili kusukuma gurudumu la maendeleo kwa wananchi wa Ruvuma kwa kutekeleza Ilani ya CCM ya 2020 hadi 2025 na kwamba hana mpango wa kuingia kwenye Siasa.
Huyu Mbuzi alikuwa anapenda sana kiki na kuwatoa kafara wafanyakazi wa chini yake.Robert Gabriel kaachwa
Anapenda kiki,hana tofauti na Mwendazake.Sijui kwa nini kamhamisha Mtaka pale Dodoma?