Hawawezi fanya hivyo coz hawa ndio ndio vibaraka na chawa wa raisi. Hii miccm huijui inavyopenda kupeana kula.Wakapumzike tuu. Maisha ni kubadilishana vijiti. Umepata dhamani ya ukuu wa mkoa/wilaya/uwaziri nk kwa miaka 2-3 au zaidi na bado unalalamika?
Hizi kazi zitangazwe watu washindanishwe au ziwe za mkataba!
Mmmmmh!!! Sasa mbona hafananii kabisa na wasukuma. Hakuna msukuma Mbishi vile, pia ni nadra sana kukuta Msukuma anasaliti wenzake. Zitto na Kafulia wote wamebeba tabia za watu wa ile nchi jirani na Kigoma .Kafulila baba yake Msukuma mama yake mfipa. Kafulila kwa kisukuma kasufuria. Baba yake alikuwa mwalimu Nguruka mkoani Kigoma na ndipo alipozaliwa lakini ni msukuma.
Hoja kuu ni KATIBA mpya itokanayo na RASIMU alosimamia Judge WARIOBA kabla haijachakachuliwa kuwa Katiba pendekezwa.Rais Samia Suluhu amefanya mabadiliko ya wakuu wa mikoa nchini huku akiingiza majina mapya tisa akiwemo Albert Chalamila aliyeteuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Kagera.
Wakuu wa mikoa 10 wamebaki kwenye vituo vyao vya kazi vya awali huku 7 wakihamishwa.
Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mara, Ally Hapi ameachwa katika orodha mpya, dhahma hiyo pia imewakumba aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Simiyu, David Kafulila.
Pia aliyekuwa katibu mkuu wa Bunge na baadae kupewa mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kigaigai nae ametemwa.
======
Mkeka wa wakuu wa mikoa.
View attachment 2306342View attachment 2306343
View attachment 2306345
Kafulila kafukuzwa kazi? Labda kwa ajili ya kubishana na Wachina.
Unabishana na watu wakubwa,one telephone call ,and you are gone in a puff of smoke.
Chalamila Ni muhumini mzuri Sana kwa mwamposaHeee kweli uchawi upo
Hahaha hata kwa Chalamila mlisema hivyohivyo (Sukuma Gang) ila leo karudishwa mnasema ilikuwa ni misinterpretation ya kauli zake, nyinyi tulieni tu hawa CCM wana namna yao ya kupeana ulaji.Issue ya Chalamila ilikuwa ni misinterpretation tu ya kauli yake. Lakini huyu Hapi, atarudi endapo ikitokea masalia ya utawala wa JPM yakibahatika kushika nchi.
Resurgence! Renaissance! Rejuvenation! Regeneration! Resu
Huyu jamaa jinsi alivyo na vituko vyake ni kam Pastor Daniel Mgogo.Resurgence! Renaissance! Rejuvenation! Regeneration! Resumption!View attachment 2306441
Mbembe yule!Msukuma yule wewe. Si kila anayetokea Kigoma ni muha
Labda wamelipiza pale alipomtusi Ndalichako
Sasa uwe porini huko. Nani ana kujua. System na Nchi sasa ipo DomKwani akitaka kugombea urais ni lazima awe Dodoma?
Just one telephone call!! you are gone like little dogKafulila kafukuzwa kazi? Labda kwa ajili ya kubishana na Wachina.
Unabishana na watu wakubwa,one telephone call ,and you are gone in a puff of smoke.
Chalamila Ni muhumini mzuri Sana kwa mwamposa
Hata ubunge ukiundiwa zengwe la kufutwa uanachama si unatoka tu. Tu seme tu siasa si hasa yatosha
Hizi kazi zipo kwa ajili ya kila mtanzania mwenye sifa zinazoendana nazo; possibly wewe ukiwa ni mmoja wao. Unakuwa mpumbavu wewe kwa kuziita kuwa ni za kipumbavu kwa sababu in essence, wewe pia ni mmojawapo wa watu wanaowajibika kufanya kazi hizi, na pasipo hiari yako. Ni kwa sababu tu tuna tatizo la ajira, ndiyo maana inaonekana kama kazi hizi ni ulaji na za hiari wakati siyo. Mamlaka za uteuzi zikishaamua kuwa wewe ufanye kazi hizo, inakuwa siyo hiari. Sema tu kwa sababu tunaozihitaji tupo wengi, ikitokea ukaamua kuomba uachwe apewe mtu mwingine, mamlaka za uteuzi huwa hazioni sababu yoyote ya kuendelea kumng'ang'ania mtu mmoja wakati walio na sifa bado wapo wengi tu mtaani. Tuseme kwa mfano, wewe ndiyo mtu pekee mwenye sifa ya kufanya kazi ambayo mamlaka ya uteuzi imeamua kukuteua, katika mazingira hayo unakuwa huna hiari ya kutokufanya kazi hiyo; whether unapenda au hupendi, kazi hiyo lazima utaifanya; iwe ni ukuu wa Mkoa au uwaziri, ni lazima utafanya bila kujali unapenda au hupendi
Ndio maana wajanja wanajiwahi na mighorofa !!
Hana kazi huyo... kumbe hata wao kwa wao mbogamboga aka fisiemu huwa wanadharauliana?Leo ukimpigia atapokea chap! Ila nawe una moyo missed calls 70[emoji15][emoji3064]
lkn wengine wameonewa ukiangalia watoto wa vigogo wa zamani hawajaguswa bali wanaguswa watoto ambao baba zao hawakuwa vigogo.kweli nimeamini aliyenacho huongezewa.Huu uteuz wa usiku wa manane Ni balaaa tupu, unaamka kibarua kimeota mbawa[emoji848]