Rais Samia afanya mabadiliko Wakuu wa Mikoa. Ally Hapi, Kigaigai, Kafulila na Eng. Robert Gabriel watemwa

Alizidi sifa sana... Ujuvi mwingii!
 
Happy ni mjinga kama Jaffo, wanawaza ngono tu... Hapi anapenda chini anakula mpaka machoko.
 
Happy ni mjinga kama Jaffo, wanawaza ngono tu... Hapi anapenda chini anakula mpaka machoko.
Nafikiri swala la ngono ni swala binafsi na huwa linazidi kukosa mashoko pale unapokosekana ushahidi wa moja kwa moja. Kula machoko inaweza kuwa big deal lakini utaaminikaje?

Tukisema tufuatilie maswala ya ngono, ninauhakika hata SSH hajalala na mwanaume mmoja tangu azaliwe, je hafai kwasababu hiyo pekee??
 
RC Kilimanjaro naye kaliwa kichwa ...issue ya wakulima na wafugaji kule West Kilimanjaro imemuondoa
 
hizi kazi za kuteuliwa za kiwaki kweli kweli !

yaani unalala umelindwa na Bodyguard unaamka asubuhi unaambiwa kusanya vilago hata yule Bodyguard aliyekua amekulinda usiku anakuona kama paka

bado hujatanga tanga ka nzige leo Dom,kesho Moro,keshokutwa Mtwara,kesho yake kazi huna

nyie 🙌
 
Kazi za kipumbavu sana unakua at President's disposal all the time. Mara uhamishwe, mara ufutwe as though maisha yako hayana dira. Huwa sielewi kwanini wanazikubali.
MONEY, POWER, RESPECT AND AJIRA
 
Ikimpendeza Kafulila arudi CDM kuunga jitihada za kudai Katiba Mpya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…