Na wote ni wasukuma1.Alli hapi
2.Kafulila
3.Eng Gabriel
Nk
Wameliwa kichwa
NB
Mtaka kutoka Dodoma hadi Njombe ni kama wamemla kichwa kistaarabu.
Ajirekebishe tabia yake ya u much know, kiburi na dharau.
Alisifiwa mwanzo naona sasa hivi anaharibu,sifa zinamlevya wahenga walipata kusema"...... Mgema akisifiwa tembo hulitia maji."
Lkn ni mtu poa sana, amenyooka na hamung'unyi maneno....Amekua mkubwa kuliko Dodoma...
Mabaki ya waunga juhudi yamepanguswa1.Alli hapi
2.Kafulila
3.Eng Gabriel
Nk
Wameliwa kichwa
NB
Mtaka kutoka Dodoma hadi Njombe ni kama wamemla kichwa kistaarabu.
Ajirekebishe tabia yake ya u much know, kiburi na dharau.
Alisifiwa mwanzo naona sasa hivi anaharibu,sifa zinamlevya wahenga walipata kusema"...... Mgema akisifiwa tembo hulitia maji."
Wamekula kichwa [emoji26]David Kafulila alikuwa anamsifia raisi na ccm juzi tu, sioni alipohamishiwa.
Unamzungmzia tumbili[emoji16]Kafulila kafulia tena?
Sasa akatafute kazi ya kuajiriwa.
Siasa sio ajira!
Madhara ya nafasi za kuteuliwa ukiwa na umri mdogo ndio hizi wamala kichwa ushazoeq kunyanyua mabegaMaskini. Ndio kwanza nyumba yake iko kwenye lenta! Sijui atakuja kupanga upade mmoja Sinza! 😀😀😀
Aje huku nimfundishe kubeti. Maisha lazima yaendelee.Madhara ya nafasi za kuteuliwa ukiwa na umri mdogo ndio hizi wamala kichwa ushazoeq kunyanyua mabega
Juzi nilikuwa namsikia Kinana analalamika kuwa nafasi yake ni 'mbaya'.CCM CCM CCM CCM CCM
unakuta msg ya dereva wa V8 inasema bye sirHuu uteuz wa usiku wa manane Ni balaaa tupu, unaamka kibarua kimeota mbawa[emoji848]
Brig Gen Gaguti mtwara naye katolewa! Mbuge kagera outBrigedia Jenerali balozi Wilbert Ibuge mkuu wa mkoa wa Ruvuma