Rais Samia afanya mabadiliko Wakuu wa Mikoa. Ally Hapi, Kigaigai, Kafulila na Eng. Robert Gabriel watemwa

Rais Samia afanya mabadiliko Wakuu wa Mikoa. Ally Hapi, Kigaigai, Kafulila na Eng. Robert Gabriel watemwa

Brig. Gen. Mbuge alitolewa jeshini kwa muda na kupelekwa kuwa RC Kagera na baada ya teuzi za CDF na Mnadhimu sasa anarejea tena jeshini
 
1.Alli hapi
2.Kafulila
3.Eng Gabriel
Nk
Wameliwa kichwa

NB
Mtaka kutoka Dodoma hadi Njombe ni kama wamemla kichwa kistaarabu.
Ajirekebishe tabia yake ya u much know, kiburi na dharau.
Alisifiwa mwanzo naona sasa hivi anaharibu,sifa zinamlevya wahenga walipata kusema"...... Mgema akisifiwa tembo hulitia maji."
Labda wamelipiza pale alipomtusi Ndalichako
 
Hizi assumption mimi huwa siamini kama mpo serious wakuu, unakuta mtu labda alikuwa waziri kwa miongo kadhaa (mf Lukuvi) kisha akitumbuliwa tuamini kwamba atakuwa anapigwa mionzi ya jua au kushika bomba la daladala kama sisi?[emoji23]

Huyu Ally Happy pamoja na mahela waliyochota enzi za baba yao wakiwa na akina Sabaya na Makonda, watapigwaje mionzi ya jua? We si unaona life la Makonda bado anakula raha tu.

Me siamini kama kuna MWANA-CCM anaeweza kushika nyazifa za miaka kafhaa afu akatika masikini.
Ni kweli mkuu wengi wameshajiwekeza na wana miradi yao mikubwa tu kama mashamba, ufugaji na biashara na pia wana nyumba zilizo sehemu nzuri kwa hyo wanachokosa ni kufunguliwa milangi tu ya hzo v8 za serikal, ukiwa kweny nyadhifa kubwa kama hizo pesa ipo mkuu, ukiachana na mshahara.
 
1.Alli hapi
2.Kafulila
3.Eng Gabriel
Nk
Wameliwa kichwa

NB
Mtaka kutoka Dodoma hadi Njombe ni kama wamemla kichwa kistaarabu.
Ajirekebishe tabia yake ya u much know, kiburi na dharau.
Alisifiwa mwanzo naona sasa hivi anaharibu,sifa zinamlevya wahenga walipata kusema"...... Mgema akisifiwa tembo hulitia maji."
Mtaka ni mjanja mjanja. Maneno mengi hata vitabu vyenyewe hasomi,sifa lukuki.
 
Atakuwa alikwisha jiandaa kisaikolojia...
Its a game of thrones! Leo yuko huyu, kesho yuko yule...

Leo uko kwenye kiyoyozi, kesho uko kwenye mionzi, unapigwa na jua.
Leo unafunguliwa mlango wa V8, kesho unashika bomba kwenye DCM la Gongo la Mboto.
Kazi za hovyo sana hizi.
Yaani mtu unaishi kama kunguru, huijui kesho yako.

Ndio maana wengi wanaopata hizi nafasi wanakuwa WAPIGAJI balaa.
 
Atakuwa alikwisha jiandaa kisaikolojia...
Its a game of thrones! Leo yuko huyu, kesho yuko yule...

Leo uko kwenye kiyoyozi, kesho uko kwenye mionzi, unapigwa na jua.
Leo unafunguliwa mlango wa V8, kesho unashika bomba kwenye DCM la Gongo la Mboto.
Those politicians hawalijui hili.

Ukitaka kuamini angalia wakati Bashite na yule Mmasai wanaempiga danadana mahakamani jinsi walivyokuwa wamejisahu.
 
Mwanza kulikuwa na shida labda kama mlikuwa hamuoni!! Acha huyu jamaa aondoke aisee

Maji ni shida huu mwez wa pili sasa
Miradi mingi inasua sua, mfano termina ya airport pale, soko kuu kati pale na mingine mingi tu
Upigaji hela kwenye halmashauri haswa mapato ya ndani

Mkuu wamkoa yeye kila siku kwenye ziara ambazo hazikuwa naimpact yoyote kuuboresha mji! So acha wamlekichwa!! Ikizingatiwa uchaguzi unakaribia mama anajua kamda yaziwa anahitaji support from the ground so kaletwa malima ki mkakati
Mwanza ali faa aje Anthony Mtaka.

Hizi teuzi tengua za Samia binafsi huwa sioni tija yake. Ni hovyo hovyo tu.
 
Ngoja nijidai uteuzi watu wengi wa upande wa mbalamwezi na nyota sijauona

Mbalamwezi na nyota 'kobazi' oyeee
Misalaba na Rozali ziii
Full stop.
Sikutaka kucheka ila we jamaa mchokozi sana 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom