chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Hiki chuma kipelekwe infantry kikaongoze huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki chuma kipelekwe infantry kikaongoze huko
Yaani Kagera ni Mkoa wa majangaKagera tumepigwa na kitu kizito kichwani
Kwanza huko serikalini nani msafi?? 90% ya viongozi ni HOMO.Nafikiri swala la ngono ni swala binafsi na huwa linazidi kukosa mashoko pale unapokosekana ushahidi wa moja kwa moja. Kula machoko inaweza kuwa big deal lakini utaaminikaje?
Tukisema tufuatilie maswala ya ngono, ninauhakika hata SSH hajalala na mwanaume mmoja tangu azaliwe, je hafai kwasababu hiyo pekee??
Heshima mkuu 'Frank Wanjiru', imenibidi nishangae, tena sana kwa haya uliyoandika hapa kuhusu huyu Mtaka!Anapenda kiki,hana tofauti na Mwendazake.
Dah! JF bwana. Sijuuuutii kuifahamu!Aje huku nimfundishe kubeti. Maisha lazima yaendelee.
Hata sie tuliwahi kuwa kwenye viyoyozi.
Siku naambiwa paki hapa gari letu, ajira ikaisha nilidhani ndio mwisho wa Dunia.
Leo hii Mungu si Athumani, napandisha kaghorofa, maisha yanaendelea kama kawa.
So, waliopigwa chini, wajue kabisa kuwa maisha lazima yaendelee...
Mjeda anafukuzwaje kazi,tena kwa cheo kama chake ni ngumu sana,Fired
Ukute kuna maandalizi ya chama kipya kitakachoibuka kabla ya 2025. Kina Dr Slaa, Kafulila+ Covid nk.Ikimpendeza Kafulila arudi CDM kuunga jitihada za kudai Katiba Mpya!
Mjanja mjanja tu kaspecialize kwenye ukuu wa wilaya na mkoa tu na technics & sarakasi zote za kubaki katika nafasi hizo anazijua vizuri ndo mana kila mtu akitaja wakuu wa mikoa hawakosi kumuimba yeyeMtaka ni mjanja mjanja. Maneno mengi hata vitabu vyenyewe hasomi,sifa lukuki.
Ukuu wa MkoaBrig general anafukuzwaje?
Kama kweli vile ! Lakini siyo !!Antony Mtaka ali faa abaki DODOMA ili awe Rais ajaye wa Tz. Hii kumuhamishahamisha ni kumuogopa au??
Kwa kweli !!!😁😁 Labda Rais wa TFF,CCM Ina wenyewe.
Yaani sio-hasa au ?Ukweli wake akauzungumzie huko mbali huku tunataka siasa
Mtaka ni mtu wa sifa amini hiloHeshima mkuu 'Frank Wanjiru', imenibidi nishangae, tena sana kwa haya uliyoandika hapa kuhusu huyu Mtaka!
Kumlinganisha Mtaka na Magufuli?
Hebu eleza kidogo unayojua wewe, maana hili jambo ni zito sana.
Nimetokea kumheshimu sana huyo Mkuu wa mkoa kwa kusikia na kuona anayofanya sehemu mbalimbali alikopangwa kazi. Sijaona popote alipofanya mambo ya ajabuajabu.
Kama ni kupenda sifa? Labda huko, lakini hili si hoja sana kama kazi inaonekana.
Kwa hali ya uongozi wa nchi yetu ilivyo sasa, tuwe waangalifu sana kuwakatisha tamaa hata wale wachache wanaojitokeza kuwa tofauti kidogo na uozo uliopo sasa hivi.
Kwa maoni yangu, huyu ni mmoja katika kundi kubwa la viongozi walioko huko CCM ambaye ana nafuu na pengine akipewa nafasi anaweza kufanya mazuri zaidi kwa nchi yetu.
Lakini niseme wazi, mbali ya kumsikia akisema, na kuona baadhi ya aliyosimamia, binafsi simfahamu vizuri zaidi. Kama yapo mambo ambayo wewe unayajua kiasi cha kufikia hitimisho la hayo uliyoandika hapo juu, basi, changia kutufahamisha nasi tujue mambo ya huyu jamaa.
Sio kufukuzwa kule ni kupangiwa majukumu, mwanajeshi anafanya kazi popote. Wenyewe wanaita kupangiwa majukumu, ndio maana unaona anaweza kwenda hata magerezaUkuu wa Mkoa
Hizi ndizo habari wazipendazo sana wabongo.
"Fulani kaliwa kichwa".
Yaani watasahau hadi nyongeza za mishahara.😁
Zilikuwa nyingi sana aisee[emoji16][emoji16][emoji16]Leo ukimpigia atapokea chap! Ila nawe una moyo missed calls 70[emoji15][emoji3064]
Fired kivipi wakati mwenzio anarud kusimamia vikosi jeshin na V8 iko palepaleFired
Kama ni Halima Ndendegu,sina lakusemahivi Tanganyika yetu zaidi ya NGONO kuna kipi zaidi cha kujivunia kama taifa?
Kuna member mmoja kasema eti huyu ni hawara wa Mkwere, nami nikasema ngoja nimuulize google......nilipoangalia picha tu nimeishia kucheka!
View attachment 2307093
Ngoja nijidai uteuzi watu wengi wa upande wa mbalamwezi na nyota sijauona
Mbalamwezi na nyota 'kobazi' oyeee
Misalaba na Rozali ziii
Full stop.