Rais Samia afanya Mabadiliko ya Makatibu Tawala na Wakurugenzi Watendaji Serikali za Mitaa

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2021
Posts
577
Reaction score
2,595
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko ya Makatibu Tawala wa Wilaya na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri za Serikali za Mitaa.

Katika mabadiliko hayo, Mheshimiwa Rais amefanya uteuzi mpya pamoja na kuwahamisha vituo vya kazi baadhi ya Makatibu Tawala na Wakurugenzi Watendaji.

Mabadiliko hayo ni kama ifuatavyo:


 
Tuwekee na mkeka wa wakurugenzi. Maana kuna kama mama kamoja hivi snitch nilizinguana nako.

Nataka nione kama na kenyewe kamehamishwa kutoka Halmashauri fulani hivi. Maana siyo kwa kujisikia kule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…