Mbna hakuna km nimesema hana uwezo.Jamaa ana uwezo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipoooWabebane tu
Kila laheri kwake akaipambanie tasnia yake na wanamichezo pia.Mwana FA ndani...!!! all the best wateule wote!!!
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Lucas mwashambwa soma hiyooo!?Lucas Mwashambwa kaambuli patupu pamoja na kukata viuno kote huko🤣
Uhuru umezidi tumbua za kambale hukuziona?Mimi naona hata yeye Mwenyewe ajiondoe tu maana heleweki anachofaya.
Yupo kama nyoka haeleweki kalala au amekaa
Haamini au?Kuna 1 niko nae naona anashushiwa mapongezi huku mwenyewe kazima data!
Wabunge wa mikoa yako ni brainlessMikoa ya Tanga na Pwani ina mawaziri na manaibu waziri kama wote. Sidhani mkoa wa mara ama Manyara ama Simiyu una waziri hata mmoja.
Babutale inaoneka ni elimu ndio inamfanya asiwe hata na confidence ya kuongea bungeni. Haka jaribu ku deal na udhaifu wake watu mkashughulikia asubuhi na mapema!Boga kama hilo unaweza ukalipa kazi gani asa?huo ubunge wenyewe amshukuru jiwe.
"Kupima upepo" na "kushangazwa" zinamaanisha kwamba hastahili na tutaumizwa.Mbna hakuna km nimesema hana uwezo.
Hii ni kula kwa zamuMikoa ya Tanga na Pwani ina mawaziri na manaibu waziri kama wote. Sidhani mkoa wa mara ama Manyara ama Simiyu una waziri hata mmoja.
At least kamuondoa hapo kwenye UchaguziKwamba Mahera bado anaweza kuaminiwa kwenye Uongozi!!!?
Silinde katuhumiwa na nani?!Hivi kweli kiongozi wa umeshutumiwa kuhusika na matendo machafu ambayo hatakubaliki katika jamii lakini bado unapewa tu uongozi
Silinde anatuhumiwa hivyo hafai kuendelea kuwepo katika ofisi ya umma, hii ni kulindana
Sio Mahera tu, wenye tuhuma ni wengi sana ambao wanatakiwa waondoke kwenye ofisi za umma kupisha uchunguzi dhidi yao, mfano ni huyo Silinde, etcSina imani na Mahera.
Pole sukuma gangHakuna miradi ya kuzindua,Wala viwanda,asipofsnya hv,atakuwa hasikiki,
Hizi kwenye political science,zinaitwa,"events planned for political gains"
Bora Silinde hili la Mahera linatia simanzi sanaHivi kweli kiongozi wa umeshutumiwa kuhusika na matendo machafu ambayo hatakubaliki katika jamii lakini bado unapewa tu uongozi
Silinde anatuhumiwa hivyo hafai kuendelea kuwepo katika ofisi ya umma, hii ni kulindana