ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Sisi tunasubiri 2025 tumpangueMwaka 2025 kama Watanzania wanajitambua atapanguliwa yeye,na kama uchaguzi utafanyika Kwa katiba hii hii baaaaaaasi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi tunasubiri 2025 tumpangueMwaka 2025 kama Watanzania wanajitambua atapanguliwa yeye,na kama uchaguzi utafanyika Kwa katiba hii hii baaaaaaasi.
Vidole vilizidi kumsundaAtakuwa aliifanya wizara shamba la bibi
Nakuunga mkono ni zamu ya wavaa misuli. Wafanye watulie, kipindi Cha mzilakende hadi vyeo vya idarani walipeana wale nduguhalaf kwanini ndugu zetu mmeibeba hiyo kama agenda ..kipindi cha mwenda zake baraza la mawaziri na Makatibu wa kuu musilam unatafuta kwa tochi ila hakuna aliekua akilalamika ..msiwe Ivo ndugu zetu hii inchi ni yetu sote..twende na jina tanzania
😅😅😅Hilo nalo wakalitazame🏃Hii comment imenichekesha ila cha kushangaza haina option ya kureply sijui ina siri gani ndani yake
👇
View attachment 2530591
Liweke waziRamadhani Kailima yuko rational sana!
Kabisa kabisa..Nakuunga mkono ni zamu ya wavaa misuli. Wafanye watulie, kipindi Cha mzilakende hadi vyeo vya idarani walipeana wale ndugu
Rufiji maliasiliMkuranga si yule wa maliasili?
Asante sanaRufiji maliasili
Mifugo Mkuranga
Unawasimamisha kazi watumishi Kwa uonezi bado uendelee kukaa ofisini? Acha aone machungu ya uonezi.Mkuu wa Mkoa wa Tanga katenguliwa??
What happened kwa huyu jamaa, mbona alikua anaonekana ni mpambanaji sana
Kwani kuna sheria mawaziri watoke kila mkoa?Yaani mawaziri ni Tanga, Pwani, Zanzibar. Mikoa mingine mmoja mmoja sana.
Mara haina waziri, Simiyu haina waziri. Shinyanga sijui kama yupo, Geita sijui kama yupo.
Mkwe wa maliasili ninamkubali sana utendaji wakeRufiji maliasili
Mifugo Mkuranga
Mkoa wa Pwani mawaziriYaani mawaziri ni Tanga, Pwani, Zanzibar. Mikoa mingine mmoja mmoja sana.
Mara haina waziri, Simiyu haina waziri. Shinyanga sijui kama yupo, Geita sijui kama yupo.
Wewe ndo unajidanganya,kazi pale ardhi hazimaliziki. Yeye lengo lake lilikuwa na awe waziri kamili wizara hiyo.
Anaposema amemali kazi maana yake tayari amekomba ardhi kama apendavyoWewe ndo unajidanganya,kazi pale ardhi hazimaliziki. Yeye lengo lake lilikuwa na awe waziri kamili wizara hiyo.
Hawa walioko Chadema?!Wachaga wamejaa sana kwenye hii serikali katika level za exparte
Kila MTU alambe asali
duu! kama ni hivyo basi ana bahati sana cause huyu Jamaa nadhani ni memba wa muda wa kundi la kukataa ndoa alisemaga kuwa bado yupoyupo, ingawa awali alidai pia yeye na hawa mabinti ni kitu kimojaNdiye
Dr Tale vipi jamani??
Yule MafiaMkuranga si yule wa maliasili?
😂😂😂Mikoa ya Tanga na Pwani ina mawaziri na manaibu waziri kama wote. Sidhani mkoa wa mara ama Manyara ama Simiyu una waziri hata mmoja.