jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Kisa anachukia mziki,basi anamchukia hadi mtunzi au muimbaji,usikute akawachukia hadi mashabiki wake!!Ni msomi wa masters tena kutoka abroad. Au mziki unakuchanganya?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app