Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Hamduni-TAKUKURU, Makala-Dar, Kafulila-Arusha, Chalamila-Mwanza, Sendiga-Iringa, Makongoro...

HAPI HAPI HAPI HAPI....

HONGERA ZAKE KOMREDI ALLY SALIM HAPI.....

Wenye FITNA HOI....

SIASA NI SAFARI WAZEE🤣🤣🤣🤣
 
Mwambie ajie Dar Gymkhana club over 40 tunacheza kila Jumanne na Alhamisi.Tulikuwa na Striker hatari Mhe.Masauni siku hizi simuoni!
Alivo kua moshi jioni zoezi ana pigia moshi club, huwezi mshtukia kama ni mkuu
 
Kigaigai ameondolewa kama katibu wa bunge, ameletwa katibu mwingine ambaye ataenda kusimamia haki na utawala bora bungeni. Kongole nyingi kwa mama.
 
Mbungo alikuwa anapenda sana zile sare.
 
Naunga mkono hoja sioni mantiki ya kubadilsha kituo sababu kama anafaa basi wananchi wa mkoa huo wanastahili huyo mtu sio mkoa mwingine kama hafai nikuweka mtu mwingine tu sio leo yuko hapa kesho yuko pale mimi sielewi sababu. Huwezi kuwa mkuu wa mkoa mzuri tu mfano Moro halafu kesho unapelekwa Iringa je watu wa Moro hawastahili kuwa na mtu mzuri. Mimi nadhani either your IN or Out. Naunga hoja ni ushamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…