Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Usiniletee mada ya takataka aliekufa for a good reason.Hiyo takataka tumeshaisahau.Hayati JPM alikuwa anatembea na mfuko wa pesa anawapa kina Peter Tino na nyingine anatoa mchango wa ujenzi wa vyoo vya sekondari mikoani, zile zilikuwa pesa zake binafsi au kodi zetu?.
Hoja yangu ni kuwa huyo ni rais wa nchi na ni mzazi mwenye ubinadamu.Usiniletee mada ya takataka aliekufa for a good reason.Hiyo takataka tumeshaisahau.
Hoja yangu ni kwamba hilo fungu lake kubwa ni kodi zetu ambazo hata kama akiamua kuzirudisha kwetu kwa njia ya kutoa huduma katika jamii hapaswi kusema kuwa anatupa zawadi wakati ni fedha zetu.Huyo analo fungu kubwa tu la mengineyo ndio linatumika kwa masuala ya kijamii.
Tatizo lako ni lugha tu!!. Vipi kama yale mashuka kayanunua yeye na familia yake?. Asiseme mbele ya watu kisa atasimangwa na kodi tunazolipa?.Hoja yangu ni kwamba hilo fungu lake kubwa ni kodi zetu ambazo hata kama akiamua kuzirudisha kwetu kwa njia ya kutoa huduma katika jamii hapaswi kusema kuwa anatupa zawadi wakati ni fedha zetu.
No wonder God allows idiots like you to live to make us lough🤣You are a disgrace to the sukuma community.
Rais ayanunue yale mashuka yeye kwa kipato kipi alicho nacho?!Halafu hoja kuu hapa ni kwamba pale Rais anapotoa huduma za kimaendeleo ambazo ni jukumu lake hapaswi kusema kuwa ametoa zawadi labda awe anaongea na matahira.Tunalipa kodi ili serikali itoe huduma za kimaendeleo pamoja na haki.Tatizo lako ni lugha tu!!. Vipi kama yale mashuka kayanunua yeye na familia yake?. Asiseme mbele ya watu kisa atasimangwa na kodi tunazolipa?.
Mentality ya “kodi zetu” ni ya kimaskini.
HahahaMkuu
Yani stand imekuwa chanzo kikuu cha mapato ya nchi !!!!!!
Kutoa mashuko imekuwa ni nongwa ya kisiasa!!Rais ayanunue yale mashuka yeye kwa kipato kipi alicho nacho?!Halafu hoja kuu hapa ni kwamba pale Rais anapotoa huduma za kimaendeleo ambazo ni jukumu lake hapaswi kusema kuwa ametoa zawadi labda awe anaongea na matahira.Tunalipa kodi ili serikali itoe huduma za kimaendeleo pamoja na haki.
Pale serikali wanapokuwa wazembe katika kutoa huduma za kimaendeleo sehemu fulani kisha siku fulani wanaibuka na kutoa huduma hiyo na kudai kuwa wanatoa zawadi basi viongozi wa serikali hiyo watakuwa wana funza kichwani badala ya ubongo!
😂 😂 😂Yeye haendi bandarini kama mwendazake?
Serikali inanunua mashine za mabilion kila mwaka kupitia process maalum ambapo budget hiyo hupitia kwanza bungeni,tenda kutangazwa na kadhalika.Kutoa mashuko imekuwa ni nongwa ya kisiasa!!
Serikali inayonunua mashine za mabilioni kila mwaka kiongozi wake akisema nimekuja na mashuka tayari ni kosa!!?
Kila kitu kinatazamwa kisiasa, kodi yangu na yako inafanya mengi makubwa hili la mashuka ni dogo sana.
Mabavicha mmekwama!Eti ziara ya kushtukiza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na wanyonge wanapiga makofi kibao!!! Bado tuna safari ndefu sana Mkuu.
Hiyo mimba aliyokuachia leta hapa tuileeDaaaahhh, unahangaika sana baada ya mungu wenu kuwatoka
Kwako wewe maendeleo ni Samia kumwaga hela mtaani ili bavicha muwe mnaokota!Wewe utakua MPUSH ambaye anaona SGR, BOMBARDIER na flyover ukijumlisha mataa ya barabarani ndio maendeleo. I am sorry for you.
Assuming you are right. Alitumia miaka Tisa km 1400 which means kila mwaka alijenga zaidi ya kilomita Mia KWA TECNOLOJIA YA WAKATI HUO. NOW LOOK Hawa waturuki wametumia miaka mingapi kujenga km 190 na haijakamilika kwa tecnolojia ya 2021. HUONI KUNA SHIDA HAPO?
AMA NIONGEE KISUKUMA CHA TABORA NDAANI NDANI HUKO???
Tulia wewe kima! Samia anawakomesha mataga na sukuma gang na isitoshe anarudisha hela mtaani ili bavicha muwe mnaokotaWewe uliona wapi Rais anatoa zawadi kwa wananchi katika mambo ambayo ni jukumu lake kuyafanya!Rais anapaswa kutumia kodi zinazotolewa na wananchi katika kuwapa huduma na haki.
Huyu yeye yuko busy kutoa zawadi katika mambo ambayo ni jukumu la Serikali kuyafanya.Yaani serikali inafanya uzembe katika kutoa huduma kisha inarudi na changa la macho la kutoa zawadi.Samia anakuja kuwa Rais wa ovyo zaidi kuwahi kuongoza Tanzania.
View attachment 1804769
Duh kwa hiyo flyover za Tazara na Ubungo bado zinajengwa?Tulicheleweshwa sana huku tunadanganywa na SGR na flyover ambazo hazitakaa ziishe.
SGR Ni Gbadolite Kama chattle.
Wazalendo wa kweli ndio kina nani kwa mfano?Anachoweza ni kutumia ile kalamu nyekundu tu pale mezani kwa JPM, labda na kuwafyekelea mbali wazalendo wa kweli. Nothing more, nothing less!!!
Wanatafuta hata vitu visivyo na msingi ili mradi tu waonekane wanakosoa.Tulia wewe kima! Samia anawakomesha mataga na sukuma gang na isitoshe anarudisha hela mtaani ili bavicha muwe mnaokota