Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Usiniletee mada ya takataka aliekufa for a good reason.Hiyo takataka tumeshaisahau.Hayati JPM alikuwa anatembea na mfuko wa pesa anawapa kina Peter Tino na nyingine anatoa mchango wa ujenzi wa vyoo vya sekondari mikoani, zile zilikuwa pesa zake binafsi au kodi zetu?.