Rais Samia aingilie kati tatizo la wazee kuwaoa mabinti wadogo; aagize sheria ya ndoa kurekebishwa

Jambo wakuu!

Sitaki kuwachosha, naingia kwenye mada moja kwa moja. Kumekuwa na wimbi baya la wazee kuwaoa mabinti wadogo ambao ni sawa na watoto au​
Mtu akishafikisha miaka 18 anahesabiwa mtu mwenye haki ya kufanya maamuzi yake mwenyewe, ikiwamo kuoa na kuolewa.

Hilo liko kisheria.

Sasa hao wanaoolewa wanalazimishwa?

Au wako chini ya miaka 18?
 
Mzee wa msoga naye ninasikia fununu anataka kuvuta kibebi kidogo
 
Yan unashindwa kumshauri afocus kwenye mambo ya mhimu unamwambia anze kudeal na hisia za watu
Suala ndoa ni kisheria sio hisia za watu mkuu.

Ndio maana sheria inakataza watu ambao ni ndugu kuoana hata kama hisia zao zinawabana kuoana.

umenipata eeh?
 
Mtu akishafikisha miaka 18 anahesabiwa mtu mwenye haki ya kufanya maamuzi yake mwenyewe, ikiwamo kuoa na kuolewa.

Hilo liko kisheria.

Sasa hao wanaoolewa wanalazimishwa? Au wako chini ya miaka 18?
Baadhi yao ni under 18 na wengine wanarubuniwa kwa kuwa wanatoka kwenye familia fukara
 
Unamuonea wivu Augustino Lyatonga Mrema. Jamaa keshaopoa kabinti kadogo keupe, hata usemeje haitasaidia wala kubadilisha kitu.
 
Sasa mambo ya familia za watu wewe yanakuhusu nini?
Sio suala la familia hili bali ni suala la uvunjivu wa sheria.

Ndio maana wazazi wakiwazuia watoto kwenda shule huchukuliwa hatiua za kisheria.

Hawaachiwi kwa sababu eti hilo ni jambo la familia.

Umenipata?
 
Sio suala la familia hili bali ni suala la uvunjivu wa sheria. Ndio maana wazazi wakiwazuia watoto kwenda shule huchukuliwa hatiua za kisheria. Hawaachiwi kwa sababu eti hilo ni jambo la familia. Umenipata?
Kwa walio chini ya miaka 18 nimekwambia kafungue kesi polisi.

Hao wengine walio zaidi ya miaka 18 ni suala la familia.

Mpaka sasa ushafungua kesi ngapi?
 
Kwa walio chini ya miaka 18 nimekwambia kafungue kesi polisi.

Hao wengine walio zaidi ya miaka 18 ni suala la familia.

Mpaka sasa ushafungua kesi ngapi?
Mkuu mimi nimetuma maombi kwa mama Samia aingilie kati, kwa mtu kama wewe usiyejuasheria hata nikuelimisheje huwezi kunielewa mkuu.
 
Mkuu mimi nimetuma maombi kwa mama Samia aingilie kati, kwa mtu kama wewe usiyejuasheria hata nikuelimisheje huwezi kunielewa mkuu.
Kwa nini unamtumia mashtaka Rais Samia wakati kuna mfumo wa sheria unaoanzia polisi?

Sheria gani hiyo inayosema mashtaka ya jinai yaanze kwa rais?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…