Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula ni sawa wazee kuwaoa mabinti wadogo, wanawaharibia future
Sheria ya ndoa ya sasa hivi ina mapungufu gani?Mimi nimetuma maombi ya marekebisho ya sheria ya ndoa. Hayo ya mashitaka ni yako.
Wewe mbona hukuoa lijimama na wala huwezi hata kusex nalo? Acha kuwapotosha mabinti wa wenzako mkuu.Pumba tupu..kama binti ana miaka18 shida nini.?!..umelipima shimo lake?!..unaweza kukuta mzee mwenyewe anapiga mbizi.Ndoa yeyote ile ni jambo la heshima na umri is not an issue
Umri wa Mume wa Rais, unaujua?Sasa wewe kwa akili zako hilo lina athari gani kwa uchumi wetu,.....bora aboreshe elimu watu kama nyie mtakua na wide analysis en understanding on basic human rights hamtaandika ujinga kama hu
Kweli kabisa tpaul ana bipolar disorderwewe siyo mzima
Tafuta hela wewe! Utakufa kwa ndoto za Alinacha!Bila shaka wewe ni mmoja wa ile mizee yenye uchu wa ngono mnaotaka kutuharibia mabinti zetu. Mwaka huu lazima sheria iwapige pin muwe mnawaoa wazee wenzenu. Acheni kuchezea maisha ya mabinti za watu.
Una uhakika na ulisemalo? Kulala na binti under 18 ni kubaka kwa sheria ya kujamiiana. Huhitaji Rais hapo. Wewe ni taahira tuNimekuambia baadhi yao huwa under 18 na wengine hushawishiwa na wazazi kwa sababu ya ufukara mkuu
Utakuja kufia kifuani kwa tamaa zako za ngono; achana na mabinti wadogo watakutegua kiuno mkuuTafuta hela wewe! Utakufa kwa ndoto za Alinacha! Jaribu kuwa positive thinker na siyo unajitwisha mizigo ambayo inakufanya unazidi kurudi nyuma kimaisha. Mwanamke bila wewe kuwa na uwezo kiuchumi atakudharau na kwenda kushughulikiwa na wazee wenye fedha tu.