Rais Samia aingilie kati tatizo la wazee kuwaoa mabinti wadogo; aagize sheria ya ndoa kurekebishwa

Rais Samia aingilie kati tatizo la wazee kuwaoa mabinti wadogo; aagize sheria ya ndoa kurekebishwa

Mkuu naona una hasira kama umepokonywa mubebe na huyo Mzee, hakuna namna sasa…. jitahidi nawe uzeeke vizuri tu.
Natetea maadili ya kitaifa mkuu; sitaki nchi iendelee kupata laana kwa sababu ya kumuasi Mungu.
 
Sheria iweke tofauti ya umri wa watu wanaofaa kuoana; ikiwa tofauti ya umri itakuwa kubwa (kwa mfano miaka kuanzia 20 na kuandelea) basi ndoa hiyo ichukuliwe kuwa ni batili na mhusika (mume) atakayekuwa ametenda kosa hilo achukuliwe hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kupigwa faini, kufungwa jela au vyote kwa pamoja
Etiiii??!
Mkuu, haya maswala ya "moyo/kupenda" ni magumu na mazito sana. Mie nimeamua kua ndugu msikilizaji/mtazamaji.
 
Ushauri kwa mabinti ni: usimkubali mzee wa miaka 70, umkubali kuanzia 90 na juu. Maana hautakuwa muda refu vile hadi utakapokuwa mtu huru tena.
 
Kabisa maana tunagombania mabinti na wazee na mnaoishana nao logde na club
 
Kabisa maana tunagombania mabinti na wazee na mnaoishana nao logde na club
Umeona eeh? Ni shida. Lakini utashangaa baadhi ya vijana wanasapoti wazee kupora mabinti huku wao vijana wakikosa wasichana wa kuwaoa. Inauma sana.
 
Umeona eeh? Ni shida. Lakini utashangaa baadhi ya vijana wanasapoti wazee kupora mabinti huku wao vijana wakikosa wasichana wa kuwaoa. Inauma sana.
Kifuatacho kuna siku utashindwa kusimamisha mkonga halafu umuombe msaada Rais Samia akusaidie usimamishe.
 
Kifuatacho kuna siku utashindwa kusimamisha mkonga halafu umuombe msaada Rais Samia akusaidie usimamishe.
Sasa kama mashine itashindwa kufanya kazi baada ya kukosa mbunye kwa muda mrefu kwa kuwa wazee wamechukua mbunye zetu zote kwanini nisilalamike mkuu? Wewe vipi?
 
Sasa kama mashine itashindwa kufanya kazi baada ya kukosa mbunye kwa muda mrefu kwa kuwa wazee wamechukua mbunye zetu zote kwanini nisilalamike mkuu? Wewe vipi?
Mwanamme acha kulialia.

Ama sivyo kifuatacho utaomuomba Rais Samia na wewe utafutiwe mume.
 
Jambo wakuu!

Sitaki kuwachosha, naingia kwenye mada moja kwa moja. Kumekuwa na wimbi baya la wazee kuwaoa mabinti wadogo ambao ni sawa na watoto au wajukuu zao na kibaya zaidi, baadhi ya wazee hao waliwahi kulitumikia taifa kwa nyadhifa kubwa.

Tofauti na matarajio ya wengi kuwa wazee hawa walipaswa kuonyesha mfano bora kwa watanzania, badala yake wamegeuka kuwa kero kwa kugeuza uharibifu wa mabinti kuwa jambo la umaarufu. Halafu wamekuwa siku zote wakitamba kabla na baada ya kufanya vitendo hivyo wakidhani kuwa wanafanya jambo zuri. Inasikitisha sana.

Baadhi ya viongozi wakubwa wa kitaifa ambao wamejitumbukiza kwenye mchezo huu mchafu wa kuwaoa mabinti wadogo ni Profesa Kapuya, Pius Ngwandu, Abrahamu Mengi na kesho tarehe 24/03/2022 mzee Augustine Lyatonga Mrema ametangaza kufunga ndoa na binti mbichi kabisa anayelingana na wajukuu zake. Namuomba Mh mama Samia uingilie kati jambo hili kwa kuagiza Wizara ya Sheria kuifanyia mabadiliko sheria ya ndoa ya mwaka 1971 ili kuwasnusuru mabinti wasiolewe na wazee vikongwe.

Sheria iweke tofauti ya umri wa watu wanaofaa kuoana; ikiwa tofauti ya umri itakuwa kubwa (kwa mfano miaka kuanzia 20 na kuandelea) basi ndoa hiyo ichukuliwe kuwa ni batili na mhusika (mume) atakayekuwa ametenda kosa hilo achukuliwe hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kupigwa faini, kufungwa jela au vyote kwa pamoja. Watanzania wanapaswa kuiga mfano bora wa Pius Msekwa na John Malecela waliowaoa watu wazima wanaolingana nao kiumri.

Mama Samia umefanya jambo jema kuwaruhusu mabinti waliozaa kurejea shule kutimiza ndoto zao za kielimu. Hapa umeupiga mwingi mama yangu mpendwa. Adhma yako ya kutoa elimu kwa mabinti haiwezi kutimia ikiwa mabinti hao unaowapigania kurudi shule kupata elimu watakwapuliwa na wazee wenye uchu wa ngono.

Nakuomba pia ushughulikie tatizo hili la mabinti wadogo kuolewa na baba au babu zao ili kuwakoa mabinti wanaoingia kwenye mtego huu wa fisi wapenda ngono.

Watu wanaweza kuchukulia jambo hili kuwa dogo lakini ukiliangalia kwa jicho la latu, hili ni tatizo kubwa sana linaweza kuathiri maadili ya kitaifa na ukosefu wa uzalendo na utii wa sheria. Ikiwa wazee wataendelea na tabia yao hii ya kuwaoa mabinti wadogo kuna uwezekano vijana wadogo wakiume nao wakaanza kuwaoa wanawake watu wazima ili kulipiza kisasi. Ndio.

Ipo siku vijana watakosa mabinti wa kuwaoa na kuwageukia vikongwe. Endapo nchi itafikia hatua hii, maadili ya kitaifa yatamomonyoka kwa kiasi kikubwa. Kuliko kusubiri ukuta uanguke tujenge mpya, nakuomba mama Samia uingilie kati suala hili kabla hali haijwa mbaya sana.

Nawasilisha.​
Aanze na Makunduchi kwani huko kwao ni mila na utamaduni wao.
 
Unless kama ni watoto rika la kwenda shule, tena zile za Sekondari. Hawa wengine wenye umri mkubwa zaidi ya shule za Sekondari; kwa upande wangu mimi naomba sana wamsamehe Rais kwa sababu hayupo kwa ajili kuingilia affairs za watu
Tumhamasisheni Rais kuchapa kazi ikiwa ni pamoja na kutembelea miradi mikubwa ya maendeleo aliyoachiwa ili KAZI IENDELEE; haya mambo ya starehe za watu wenye fedha zao yeye yanamhusu nini wakati kwenye kiota chake ana vifaranga zaidi ya million 60; vyote vina njaa na kila kimoja kimeachama mdomo knataka akitemee chakula mdomoni kiweze kula na kushiba?
 
Huyu Agostino Mrema kilichomtokea Pius Ng'wandu kinamnyemelea very soon. Mzigo wote ule atauweza kweli yule mzee aliyechoka kama ng'onda?
 
Mtoa mada ww bado uko nyuma sana na dunia hii kuhusu wanawake, hujui kitu
 
Na mabinti mnaowapa mimba na kuaacha then baadae mnakuja jinadi hamuoi single mother mnalichukuliaje
 
Ungekuwa hapo mfano mke wa mrema kaolewaa na kijana wa miakaa 30 isingekuwa habari ,ilaa kosa mremaa kuoa binti Mdogo ndio kosaa,vijanaa wenyewe wakuoaa wapo wapi mzee baba ,acha binti wawatu kapataa pakujisitirii maishaa yaendeleee
 
Back
Top Bottom