Rais Samia aingilie kati tatizo la wazee kuwaoa mabinti wadogo; aagize sheria ya ndoa kurekebishwa

Huyu Agostino Mrema kilichomtokea Pius Ng'wandu kinamnyemelea very soon. Mzigo wote ule atauweza kweli yule mzee aliyechoka kama ng'onda?
Kwanza kabisa hiyo habari nzima ya Mrema kuoa ni fake news.

Mpaka hapo ushaingia cha kike.
 
Kwanza kabisa hiyo habari nzima ya Mrema kuoa ni fake news.

Mpaka hapo ushaingia cha kike.
Kwa hiyo yule aliyemuoa leo ni jini sio binadamu? 😳 😳 😳
 
Na mabinti mnaowapa mimba na kuaacha then baadae mnakuja jinadi hamuoi single mother mnalichukuliaje
Wanawake wanajiachisha wenyewe, hakuna mwanaume anayemuacha mwanamke mkuu.
 

Tuanze na wewe umeoa???
Maana mada za ndoa zinapendeza wakizidiskas wanandoa
 
Tuanze na wewe umeoa???
Maana mada za ndoa zinapendeza wakizidiskas wanandoa
Changia mada iliyo mezani, usichangie ndoa za watu mkuu
 
Kwa hiyo yule aliyemuoa leo ni jini sio binadamu? 😳 😳 😳
Aah, my bad. Kuna binti alikanusha. Nafikiri watu wa mitandao walitumia picha yake kwa uongo.

Mrema anasema ana haki ya kuoa, mke wake alifariki, na huyu anayemuoa kafuata taratibu zote za kanisa na wazazi wa mke wameridhika.

Wewe tatizo lako nini?

Ulitaka wewe uolewe na Mrema?

 
Kama kafika miaka 18 mambo yao waachieni wenyewe...

Hata hivyo binti kakanusha...
 
Naunga mkono Ili kuepuka ya mengi na jack, na kuleta migogoro kwenye familia. Mabinti wanafata mirathi. Huwezi sema binti wa miaka ishirini kuolewa na mzee wa miaka 70.
 
Umri wa miaka 70 ni umri wa kujitengeneza na Mola wako ujiandae mwisho mwema, ashiki ni mind inatawalika.
 
Watu mnachekesha sana .. [emoji1][emoji1]
 
Wamechukua demu wako? Hakuna kitabu cha dini kimeweka vigezo vya tofauti ya umri kwa wanaotaka kuoana. Acha waoane.
 
Wazee hawana utelezi
Mpaka utafute artificial
Ivo vibint ni kushika tu skioo unapata utelezi
 
Mleta Mada yupo sahihi kabisa, hizi kesi za Mirathi mtaani zimekuwa nyingi sana hasa kwa mabinti wadogo waliofiwa na waume zao ambao ni wazee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…